Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Matthew

2

1O Jesus arakhadilo ando Bethlehem ande Judea. Pe kodia vriama o Herod sas o amperato.
1Yesu alizaliwa mjini Bethlehemu, mkoani Yudea, wakati Herode alipokuwa mfalme. Punde tu baada ya kuzaliwa kwake, wataalamu wa nyota kutoka mashariki walifika Yerusalemu,
2Antunchi le manush kai jinenas le chererhaia avile anda Easto, ai aresle ande Jerusalem. Ai phushle, "Kai kodo kai arakhadilo o Amperato le Zhidovongo? Ame dikhliam leski cherarhai ando Easto, ai aviliam te preznais ai te luvudis les."
2wakauliza, "Yuko wapi mtoto, Mfalme wa Wayahudi, aliyezaliwa? Tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki, tukaja kumwabudu."
3Kana o amperato Herod ashundya pa kadia, darailo zurales, ai chi le manush kai sas ando Jerusalem lesa.
3Mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, yeye pamoja na wakazi wote wa Yerusalemu.
4Chidia andek than sa le bare rasha, ai le manush kai ramon o zakono, ai phushlia le, "Kai trobulas te arakhadilo o Kristo?" Won phende leske,
4Basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa Sheria, akawauliza, "Kristo atazaliwa wapi?"
5"Ando Bethlehem ande Judea. Ke kadia si so ramosardia o profeto,
5Nao wakamjibu, "Mjini Bethlehemu, mkoani Yudea. Ndivyo nabii alivyoandika:
6Ai tu Bethlehem, phuv anda Judea, chi san e mai tsigni andal gazdi andai Judea; ke tutar avela iek gazda kai avela o pastuxo murho narodoske Israel.'"
6Ewe Bethlehemu katika nchi ya Yuda, kwa vyovyote wewe si mdogo kabisa kati ya viongozi wa Yuda; maana kwako atatokea kiongozi atakayewaongoza watu wangu, Israeli."
7Porme o Herod chordanes akhardia le manushen kai jinenas le chererhaia, ai phushlia lendar e vorta vriama kai sikadili e chererhai.
7Hapo, Herode aliwaita faraghani hao wataalamu wa nyota, akawauliza wakati hasa ile nyota ilipowatokea.
8Wo tradia len ande Bethlehem ai phendia lenge, "Zhan ai roden mishto la glata; ai kana arakhena les, phenena i mange, te zhav vi me te preznaiv ai te luvudiv les."
8Kisha akawatuma Bethlehemu akisema, "Nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo. Mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu."
9Kana ashunde ka o amperato, geletar. Ai e chererhai kai dikhlesas ando Easto, zhalas anglal lende, zhi pon aresle po than kai sas e glata.
9Baada ya kumsikiliza mfalme, hao wataalamu wa nyota wakaenda. Kumbe ile nyota waliyokuwa wameiona upande wa mashariki iliwatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali pale alipokuwa mtoto.
10Kana dikhle e chererhai, raduisaile zurales.
10Walipoiona hiyo nyota, walifurahi mno.
11Kana aresle ando kher, dikhle la glata peska dasa e Maria. Thode pe ande changende ai preznaisarde ai luvudisarde les, porme phuterde penge gone, ai dine les podarki: sumnakai, frankincense ai mirrh.
11Basi, wakaingia nyumbani, wakamwona yule mtoto pamoja na Maria mama yake; wakapiga magoti, wakamsujudia. Kisha wakafungua hazina zao, wakampa zawadi: dhahabu, ubani na manemane.
12O Del phendia lenge ando suno te na zhan palpale ka Herod; anda kodia gele pa kaver drom te zhan palpale ande pengo them.
12Mungu aliwaonya katika ndoto wasimrudie Herode; hivyo wakarudi makwao kwa njia nyingine.
13Kana geletar le manush kai jinenas le chererhaia, iek angelo le Devlesko avisailo ka Josef ando suno, ai phendia leske, "Wushti opre, le la glata ai leska da, ai zhatar ande Egypt, besh kotse zhi kai phenava tuke te aves palpale, ke o Herod si te rodel la glata te mudarel les."
13Baada ya wale wageni kuondoka, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto, akamwambia, "Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, mkimbilie Misri. Kaeni huko mpaka nitakapokwambia, maana Herode anakusudia kumwua huyu mtoto."
14O Josef wushtilo, lia la glata ai leska da, ai geletar e riate ande Egypt.
14Hivyo, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akaondoka usiku, akaenda Misri.
15Beshle kotse zhi kai mulo o Herod. Te kerdiol so phendiasas o Del katar o profeto. "Akhardem murhe Shaves avri andai Egypt."
15Akakaa huko mpaka Herode alipokufa. Jambo hilo lilifanyika ili neno alilosema Bwana kwa njia ya nabii litimie: "Nilimwita Mwanangu kutoka Misri."
16Kana o Herod haliardia ke le manush kai jinenas le chererhaia athade les, xolialo zurales. Ai tradia te mudaren sa le shavorhen kai sas ando Bethlehem ai vi avrial kai sas dui bershenge ai mai terne, pala e vriama kai sichilosas katar le manush kai jinen le chrerhaia.
16Herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa, alikasirika sana. Akaamuru watoto wote wa kiume mjini Bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe. Alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota.
17Antunchi pherdilo so phendiasas o profeto Jeremiah.
17Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii Yeremia:
18"Iek glaso ashundilo ande Rama, roimos ai huhuimos. E Rachel rovelas peske shaven; ai chi manglias te pochin la, ke lake glate na mas.
18"Sauti imesikika mjini Rama, kilio na maombolezo mengi. Raheli anawalilia watoto wake, wala hataki kutulizwa, maana wote wamefariki."
19Kana o Herod mulo, ek angelo le Devlesko avisailo ando suno ka Josef ande Egypt,
19Baada ya kifo cha Herode, malaika wa Bwana alimtokea Yosefu katika ndoto kule Misri,
20ai phendia leske, "Wushti opre, le la glata ai leska da, ai zha palpale ande Israel, ke kodola kai rodenas te mudaren la glata mule."
20akamwambia, "Amka! Mchukue mtoto pamoja na mama yake, urudi tena katika nchi ya Israeli, maana wale waliotaka kumwua mtoto huyo wamekwisha kufa."
21O Josef wushtilo, lia la glata ai leska da ai gele ande Israel.
21Basi, Yosefu aliamka, akamchukua mtoto pamoja na mama yake, akarejea katika nchi ya Israeli.
22Numa kana ashundias ke o Archelaus ashilo amperato ande Juda ando than pesko dadesko o Herod, darailo te zhal kotse. Ai ke phendosas leske ando suno katar o Del gelo ande Galilee;
22Lakini Yosefu aliposikia kwamba Arkelao mwanawe Herode alikuwa mfalme wa Yudea mahali pa baba yake, aliogopa kwenda huko. Naye baada ya kuonywa katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa Galilaya,
23Gelo te beshel ando foro Nazareth, te pherdiol so sas phendo katar le profeturia,, ke si te akharen les Nazarene.
23akahamia katika mji uitwao Nazareti. Ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii: "Ataitwa Mnazare."