Romani: New Testament

Swahili: New Testament

Revelation

12

1Antunchi dichili ek shodo diela ando rhaio, ek zhuvli lia pe late o kham, le shunutosa tela lake punrhende, ai le desh u dui chererhaiasa po lako shero pala ek konona.
1Kisha ishara kubwa ikaonekana mbinguni. Palikuwa hapo mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi chini ya miguu yake, na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake!
2Woi sas phari la glatasa, ai tsipilas zurales ke sas la dukh, ai azhukerelas pala e glata te avel biandilo.
2Alikuwa mja mzito, na akapaaza sauti kwa maumivu na uchungu wa kujifungua mtoto.
3Ai strazo aver shodo diela dichili ando rhaio, ek baro lolo sap kai sas les efta shere ai desh shinga, ai pe swako shero sas ek konona.
3Ishara nyingine ikatokea mbinguni: joka kubwa jekundu na lenye pembe kumi na vichwa saba; na kila kichwa kilikuwa na taji.
4Leski phori lia pesa e trito partia le chererhaiange katar o cheri ai shudia le pe phuv. Ai o baro sap beshlo angla e zhuvli kana avelas lake glata, vunzhe te xal o tsinorho strazo kana sas biandilo.
4Joka hilo liliburuta kwa mkia wake theluthi moja ya nyota za anga na kuzitupa duniani. Nalo lilisimama mbele ya huyo mama aliyekuwa karibu kujifungua mtoto, tayari kabisa kummeza mtoto, mara tu atakapozaliwa.
5Latar sas kerdilo ek Tsinorho kai sas te poronchil pe sa le thema ek kotor sastresa, ai lako Tsinorho sas lino opre ka Del ai ka Lesko than.
5Kisha mama huyo akajifungua mtoto wa kiume, ambaye atayatawala mataifa yote kwa fimbo ya chuma. Lakini mtoto akanyakuliwa na kupelekwa kwa Mungu na kwenye kiti chake cha enzi.
6Ai e zhuvli nashli ande pusta, kai O Del lashardia o than lake, te lel sama latar pala iek mi ai dui shela ai shovardesh diesa.
6Huyo mama akakimbilia jangwani, ambako Mungu alikuwa amemtayarishia mahali pa usalama ambapo angehifadhiwa kwa muda wa siku elfu moja mia mbili na sitini.
7Porme sas o marimos ando rhaio. Michael ai leske angelon marenaspe le baro sapesa ai leske angelonsa kai sas pele.
7Kisha kukazuka vita mbinguni: Mikaeli na malaika wake walipigana na hilo joka, nalo likawashambulia pamoja na malaika wake.
8O baro sap ai leske angelon chi nirisarde. Nas lenge than ando rhaio.
8Lakini joka hilo halikuweza kuwashinda, na hatimaye hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yake na malaika wake.
9Ai o baro sap, o phuro sap si akhardo o beng , Devil, ai Satano, kai atsavel sa e lumia: sas shudino avri anda rhaio leske angelonsa.
9Basi, joka hilo kuu likatupwa nje. Joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia Ibilisi au Shetani. Ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. Naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
10Porme ashundem ek baro glaso ando rhaio, phenelas, "Akana o skepimos avilo, ai zor, ai e amperetsia le Devleski, ai e putiera le Kristosko si katse la putierasa! Kodo kai dia duma nasul pa le shave le Devleske angla Del ediese ai eriate, sas shudino avri anda rhaio ai shudia tele pe phuv.
10Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mbinguni ikisema: "Sasa ukombozi utokao kwa Mungu umefika! Nguvu na Utawala wa Mungu wetu umedhihirika. Na Kristo wake ameonyesha mamlaka yake! Maana yule mdhalimu wa ndugu zetu, aliyesimama mbele ya Mungu akiwashtaki usiku na mchana, sasa ametupwa nje.
11Won nirisarde pala o rat le Bakriorhosko, ai pala lenge vorbi kai phende pa Kristo, nai drago lenge lengo traio numa dine lenge traiuria ka Del.
11Ndugu zetu wameshinda kwa damu ya Mwanakondoo na kwa nguvu ya ukweli walioutangaza; maana hawakuyathamini maisha yao kuwa kitu sana, wakawa tayari kufa.
12Pala kodia, Raduisavo, O rhaio! Ai tume kai si kotse. Aven raduime! Nasul tumenge la lumiake ai la mariake! Ke o beng hulelas tele tumende ando baro xoliariko, ke wo zhanel kai si les xantsi vriama."
12Kwa sababu hiyo, furahini enyi mbingu na vyote vilivyomo ndani yenu. Lakini, ole wenu nchi na bahari, maana Ibilisi amewajieni akiwa na ghadhabu kuu, kwa sababu anajua kwamba siku zake zilizobakia ni chache."
13Kana o baro sap kai si o beng arakhlia peste pe phuv, strazo wo rodelas e zhuvli, e dei le tsinorhosko.
13Joka lilipotambua kwamba limetupwa chini duniani, likaanza kumwinda yule mama aliyekuwa amejifungua mtoto wa kiume.
14Woi sas dini dui bare phaka sar le phaka le vulioske te vurial ande pusta, ka than kai si lashardo lake, kai si garadi katar o baro sap (o beng) pala trin ai dopash bersh.
14Lakini mama huyo akapewa mabawa mawili ya tai apate kuruka mbali sana na hilo joka, mpaka mahali, pake jangwani ambapo angehifadhiwa salama kwa muda wa miaka mitatu na nusu.
15Porme o sap shaglia pai katar lesko mui, sar pai kai zhal, karing e zhuvli te lel la ando pai.
15Basi, joka likatapika maji mengi kama mto, yakamfuata huyo mama nyuma ili yamchukue.
16Numa zhutisardia la e phuv, kana e phuv phuterdia lako mui ai nakadia o pai!
16Lakini nchi ikamsaidia huyo mama: ikajifunua kama mdomo na kuyameza maji hayo yaliyotoka kinywani mwa hilo joka.
17Porme o baro sap sas defial xoliariko ai gelo te marel lake shavensa, sa kai garaven ai keren le zakonuria le Devleske ai phenen kai won si le shave le Jesusoske.
17Basi, joka hilo likamkasirikia huyo mama, likajiondokea, likaenda kupigana na wazawa wengine wa huyo mama, yaani wote wanaotii amri za Mungu na kuuzingatia ukweli wa Yesu.