1Porme ande murho vizion O Bakriorho beshelas anda punrhende po plai Zion ai lesa iek shel ai shtarvardesh tai shtar mi zhene. Kodola manush sas le lesko anav ai lesko Dadesko anav ramome pe lenge chikhaturia.
1Kisha nikaona mlima Sioni, na Mwanakondoo amesimama juu yake; pamoja naye walikuwa watu mia moja arobaini na nne elfu ambao juu ya paji za nyuso zao walikuwa wameandikwa jina la Mwanakondoo na jina la Baba yake.
2Ashundem ek glaso anda rhaio sar o bunto katar o baro pai kai zhal, ai sar o bunto katar o rhonjito, ai sas sar kodola kai jilaben le harps.
2Basi, nikasikia sauti kutoka mbinguni, sauti iliyokuwa kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo kubwa. Sauti niliyosikia ilikuwa kama sauti ya wachezaji muziki wakipiga vinubi vyao.
3Ai won jilabade ek nevi jili angla o than le Devlesko, ai angla le shtar zhigeni zhuvindin, ai angla le bish tai shtar manush ( pasturia ) ai nai khonik nashti te jilaben le jile, ferdi le iek shel ai shtarvardesh tai shtar mi manush sai sichon kadia jili. Won sas chinime pala o rat le Kristosko ai skepisarde katar e phuv.
3Walikuwa wanaimba wimbo mpya mbele ya kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe hai wanne na wale wazee. Hakuna mtu aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao watu mia moja arobaini na nne elfu waliokombolewa duniani.
4Kodola si won kai nai marime le zhuvliansa, won si sar le bare sheia, ai lenpe pala O Bakriorho kai godi zhal. Won sas chinime pala o rat le Kristosko, ai si le perve te aven dine ka Del ai ka O Bakriorho.
4Watu hao ndio wale waliojiweka safi kwa kutoonana kimwili na wanawake, nao ni mabikira. Wao humfuata Mwanakondoo kokote aendako. Wamekombolewa kutoka miongoni mwa binadamu wengine, wakawa wa kwanza kutolewa kwa Mungu na kwa Mwanakondoo.
5Chi iek xoxaimos chi avilo anda lengo mui, bi doshale le.
5Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote.
6Porme dikhlem aver angelo vurial ande le cheri. Tradia te phenel e lashi viasta kodolenge pe phuv, ka swako them, vitsa, shib ai manush.
6Kisha nikamwona malaika mwingine anaruka juu angani akiwa na Habari Njema ya milele ya Mungu, aitangaze kwa watu wote waishio duniani, kwa mataifa yote, makabila yote, watu wa lugha zote na rangi zote.
7Wo phendia le baro glasosa, "Luvudis O Del la dragostiasa ai darasa. Ke o chaso lesko krisako avilino. Luvudin les kai kerdia o rhaio, ai e phuv, ai e maria, ai le thana kai o pai avela avri andai phuv."
7Akasema kwa sauti kubwa, "Mcheni Mungu na kumtukuza! Maana saa imefika ya kutoa hukumu yake. Mwabuduni yeye aliyeumba mbingu na nchi, bahari na chemchemi za maji."
8Ai aver angelo liape pala leste, phenelas, "O Babylon pelo! O baro foro Babylon pelo! Ke woi kerdia sa le thema te pen e mol katar lako memalo traio ai laki kurvi.
8Malaika wa pili alimfuata huyo wa kwanza akisema, "Ameanguka! Naam, Babuloni mkuu ameanguka! Babuloni ambaye aliwapa mataifa yote wainywe divai yake--divai kali ya uzinzi wake!"
9Porme o trito angelo liape pala lende, phenelas le baro glasosa, "Te si vari kon kai luvudil o chorho zhiganai ai lesko xoxamlo del, ai premil ek semno po lesko vas vai chikhat,
9Na malaika wa tatu aliwafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, "Yeyote anayemwabudu yule mnyama na sanamu yake na kukubali kutiwa alama yake juu ya paji la uso wake au juu ya mkono wake,
10kodo manush musai pel anda e mol anda e xoli le Devleski, e mol si shordia bi le paiasa amime lasa ande le Devleski kuchi le xoliariko. Avena pe lende ek baro chinuimos kai dukhal o stato ai e goji la iagasa ai o sulfer kai phabol angla le swuntsi angelonge le Bakriorhosko.
10yeye mwenyewe atakunywa divai ya ghadhabu ya Mungu, ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake bila kuchanganywa na maji. Mtu huyo atateseka ndani ya moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele ya Mwanakondoo.
11Ai e thu katar lenge baro chinuimos avela sa data ai sagda. Nai hodinimos lende adiese vai eriate, ke won luvudisarde o zhungalo zhigania ai lesko xoxamnlo del, ai premisarde o semno kai si o anav le zhungalo zhigenesko.
11Moshi wa moto unaowatesa kupanda juu milele na milele. Watu hao waliomwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kutiwa alama ya jina lake, hawatakuwa na nafuu yoyote usiku na mchana."
12Pala kodia, le shave le Devleske trobul te garaven lengo pachamos ando Jesus, ai te garaven E Vorba le Devleski ando lengo ilo zhando gor.
12Kutokana na hayo, ni lazima watu wa Mungu, yaani watu wanaotii amri ya Mungu na kumwamini Yesu, wawe na uvumilivu.
13Porme ashundem ek glaso anda rhaio, phenelas, "Ramos kadala vorbi, 'De akanara kodola kai si mule, kodola kai si murhe avena raduime.'" "E" phenel O Duxo, "Won hodinin katar lenge buchi. Sa le lashe dieli kai kerde lenape pala lende."
13Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, "Andika! Heri watu ambao tangu sasa wanakufa wakiwa wameungana na Bwana." Naye Roho asema, "Naam! Watapumzika kutoka taabu zao; maana matunda ya jasho lao yatawafuata."
14Ande murho vizion, dikhlem ek nuvero parno, ai beshelas po nuvero sas iek kai miazolas O Jesus, akhardo O Shav le Manushesko, le kononasa la sumnakaski po lesko shero, ai ek skurto shuri ando lesko vas.
14Kisha nikatazama, na kumbe palikuwapo wingu jeupe hapo. Na juu ya wingu hilo kulikuwa na kiumbe kama mtu. Alikuwa amevaa taji ya dhahabu kichwani, na kushika mundu mkononi mwake.
15Porme aver angelo avilo katar o tampla, akhardia ando zuralo glaso leste kai beshel po nuvero, ai phendia leske, "Thos chi shuri andre ai chidas o jiv, ke avilisas e vriama te chides o jiv, ke o jiv la phuviake vunzhe zhiralo.
15Kisha malaika mwingine akatoka Hekaluni, na kwa sauti kubwa akamwambia yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu, "Tafadhali, tumia mundu wako ukavune mavuno, maana wakati wa mavuno umefika; mavuno ya dunia yameiva."
16Kodo kai beshlo po nuvero vazdia leski shuri opral e phuv, ai o jiv sas chidino andek than.
16Basi, yule aliyekuwa amekaa juu ya wingu akautupa mundu wake duniani, na mavuno ya dunia yakavunwa.
17Porme aver angelo avilo anda rhaio katar o tampla le Devlesko. Vi sas les ek skurto shuri te shinel o jiv.
17Kisha malaika mwingine akatoka katika Hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali.
18Aver angelo kai si les putiera pe iag avilo katar o altari, phendia ando zuralo glaso leste kai sas les e skurto shuri, phenel, "Les chi shuri te shines le struguro katar le krenzhi la puviake ke zhiralo te chidis.
18Kisha malaika mwingine msimamizi wa moto, akatoka madhabahuni akamwambia kwa sauti kubwa yule malaika mwenye mundu wenye makali, "Nawe tia huo mundu wako mkali, ukakate vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva!"
19Ai o angelo shindia le krenzhi katar e phuv, ai thodia e fruta ando baro than kai keren e mol, pherdo sas e xoli le Devleski.
19Basi, malaika huyo akautupa mundu wake duniani, akakata zabibu za dunia, akazitia ndani ya chombo kikubwa cha kukamulia zabibu, chombo cha ghadhabu ya Mungu.
20Won phiradepe opral les avrial o foro, ai o rat avilo avri o than kai won keren e mol. O rat sas sar o pai kai zhal, dui shela maili lungo, ai wucho sar o shero le grastesko.
20Zabibu zikakamuliwa ndani ya hilo shinikizo lililoko nje ya mji, na damu ikatoka katika shinikizo hilo mtiririko mrefu kiasi cha mita mia tatu na kina chake kiasi cha mita mia mbili.