1Pala kadia, ande murho vizion, dikhlem ek wudar kai sas phuterdo ando rhaio. O pervo glaso kai ashundem sas sar o baro bashamos la tuturazasko. Phendia mange, "Aven opre katse, ai Me sikavava tu so trobul te kerdiolpe mai angle!"
1Baada ya hayo nilitazama nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. Na ile sauti niliyoisikia pale awali ambayo ilikuwa kama sauti ya tarumbeta, ikasema, "Njoo hapa juu nami nitakuonyesha mambo yatakayotukia baadaye."
2Strazo simas tela le Duxoski putiera. Ashun! O than kai o amperato beshel si ando rhaio. Sas Iek kai beshlo po than.
2Mara nikachukuliwa na Roho. Kumbe, huko mbinguni kuna kiti cha enzi na juu yake ameketi mmoja.
3Kodo kai beshlo kotse miazolas sar ek Jasper-diamond parno kai strefialas ek baro strefaimos ai ek Sardius-lolo bax kai strefial, ai ek rhaza kruglom O Swunto Than kai Wo beshel, Kodo miazolas sar ek Emerald-zeleno bax.
3Huyo aliyeketi juu yake alikuwa kama almasi na jiwe zuri jekundu. Upinde wa mvua ulikuwa unang'aa kama zumaridi na ulikizunguka kiti cha enzi pande zote.
4Ai kruglom o than kai beshel O Amperato sas bish tai shtar skamina, ai pe le skamina sas le bish tai shtar manush (elders- pasturia), ai sas pe lende parne tsalia;, ai sas sumnakai kononena pe lenge shere.
4Kulikuwa na duara la viti ishirini na vinne kukizunguka kiti cha enzi, na juu ya viti hivyo wazee ishirini na wanne walikuwa wameketi wamevaa mavazi meupe na taji za dhahabu vichwani.
5Rhonjito tele ai rhonjito avile anda o than kai Wo beshlo, ai glasuria sas ande rhonjito. Ai sas angla o than kai Wo beshlo efta lampuria phabonas, kodole sas le efta Duxuria le Devleske.
5Umeme, sauti na ngurumo, vilikuwa vinatoka kwenye hicho kiti cha enzi. Taa saba za moto zilikuwa zinawaka mbele ya hicho kiti cha enzi. Taa hizo ni roho saba za Mungu.
6Anglal o than kai Wo beshlo sas ek maria la staklaki kai strefial. Ai mashkaral o than ai kruglom o than pe swako rik sas shtar zhigeni kai sas pherdo iakha anglal ai palal.
6Mbele ya kiti cha enzi kulikuwa na kitu kama bahari ya kioo, angavu kama jiwe linga'aalo sana. Katika pande zote za hicho kiti cha enzi na kukizunguka, kilikuwa na viumbe hai vinne. Viumbe hivyo vilikuwa vimejaa macho mbele na nyuma.
7O pervo zhigania zhuvindil sas sar ek liono, o duito sas sar ek vetselo, o trito zhigania zhuvindil sas les ek mui sar o manush, ai o shtarto sas sar ek vulio ( baro chirikli).
7Kiumbe cha kwanza kulikuwa kama simba, cha pili kama ng'ombe, cha tatu kilikuwa na sura kama mtu, na cha nne kilikuwa kama tai anayeruka.
8Swako anda le shtar zhigeni zhuvindil sas les shov phaka, ai sas les but iakha kruglom ai andre. Adiese ai e riate won shoxar chi aterdion te phenenas, "Swunto, Swunto, Swunto si le Devles, O Del la putierako. Kodo kai sas, ai Kodo kai si, ai Kodo kai si te avel!"
8Viumbe hivyo vinne vilikuwa na mabawa sita kila kimoja, na vilikuwa vimejaa macho, ndani na nje. Usiku na mchana, bila kupumzika huimba: "Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Bwana, Mungu Mwenye Uwezo, aliyekuwako, aliyeko na anayekuja!"
9Kana le zhegani zhudindin den luvudimos ai respektimos ai naisimos leste, ka kodo kai beshlo po Lesko than sar Amperato, Kodo kai zhuvindil sa data ai sa data.
9Kila mara viumbe vinne vilipoimba nyimbo za kumtukuza, kumheshimu na kumshukuru huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi, ambaye anaishi milele na milele,
10Le bish tai shtar manush (pasturia) peren tele angle Leste ai rhugin Leste, Kodo kai zhuvindil sa data ai sa data. Ai thon lenge kononuria angla leste ai phenenas,
10wale wazee ishirini na wanne hujiangusha mbele ya huyo aliyeketi juu ya kiti cha enzi na kumwabudu huyo ambaye anaishi milele na milele; na huziweka taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema:
11"Amaro Devles, ai Amaro Del, si vorta tuke te avel O Barimos strefial ai o luvudimos ai e putiera, Tu kerdian swako fielo sar tu manglian. Won si kerde ai sas kerde ke tu manglia kadia."
11"Wewe ni Bwana na Mungu wetu, unastahili utukufu na heshima na nguvu; maana wewe uliumba vitu vyote, na kwa matakwa yako kila kitu kimepewa uhai na uzima."