1Murhe phral, zhanen vunzhe so si te motav tumenge ke zhanen o zakono. O zakono si les putiera pek manush zhi ka traiil.
1Ndugu zangu, bila shaka mtaelewa yafuatayo, maana ninawazungumzia watu wanaojua Sheria. Sheria humtawala mtu wakati akiwa hai.
2Ke iek zhuvli kai si ansurime, phangli la katar o zakono peske rhomesa zhi kai godi traiil lako rhom; numa te merela lako rhom skepime la anda zakono kai phandelas la lesa.
2Mathalan: mwanamke aliyeolewa anafungwa na sheria muda wote mumewe anapokuw hai; lakini mumewe akifa, hiyo sheria haimtawali tena huyo mwanamke.
3Numa te kerdiola e rhomni avre manusheski, ai lako rhom inker zhuvindo lo, kodo bushol kurvimos; numa te merela lako rhom, skepime la katar o zakono, ai sai kerdiol e rhomni avre manusheski bi te avel kurvia.
3Hivyo mwanamke huyo akiishi na mwanamume mwingine wakati mumewe yungali hai, ataitwa mzinzi; lakini mumewe akifa, mwanamke huyo yu huru kisheria, na akiolewa na mwanamume mwingine, yeye si mzinzi.
4Sakadia tumenge, murhe phral. Tume san mule le zakonoske kai san andek than chidine ka stato le Kristosko; ai te aven avresko, tume san akana kodoleske kai sas zhuvindime mashkar le mule, saxke te keras lashe dieli le Devleske.
4Hali kadhalika ninyi ndugu zangu: ninyi pia mmekufa kuhusu Sheria kwa kuwa ninyi ni sehemu ya mwili wa Kristo; sasa mmekuwa wake yeye aliyefufuliwa kutoka wafu ili tupate kuzaa matunda mema kwa ajili ya Mungu.
5Chaches kana traiisarasas pala amaro stato, le chorhe dieli, kai o zakono rimolas, kerdionas ande sa amaro stato, ai angerenas ame kai martia.
5Maana, tulipokuwa tukiishi kimaumbile tu, tamaa mbaya zikichochewa na Sheria, zilifanya kazi katika miili yetu, na kuchuma pato la kifo.
6Numa akana skepime sam katar o zakono, ke muliam kal dieli kai ankerenas ame phangle; akana sai keras buchi le Devleski aver fielo tela putiera le Swuntone Duxoski, ai na mai sar mai anglal telai puiera le zakonoske kai sas ramome.
6Lakini sasa tumekuwa huru kutoka vifungo vya Sheria, kwa sababu tumekufa kuhusu lile jambo lililotufanya sisi watumwa. Sasa tunatumikia kufuatana na maisha mapya ya Roho, na si kufuatana na hali ile ya kale ya Sheria iliyoandikwa.
7Apo so mothas? Ke o zakono bezex si? Nichi, Vov si! Numa o zakono kerdia ma te zhanav so si o bezex. Ke nas te zhanav ke nai mishto te mangav so si avres, te na phendino mange o zakono, "Te na mangav so si avres."
7Je, tuseme basi, kwamba Sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila Sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama Sheria isingalikuwa imesema: "Usitamani."
8O bezex dabai astardia te kerel ande mande katar o zakono, but dieli chorhe kai keren ma te mangav so si avres.
8Kwa kuitumia hiyo amri, dhambi ilipata fursa ya kuamsha kila aina ya tamaa mbaya ndani yangu. Maana, bila Sheria dhambi ni kitu kilichokufa.
9ke bi le zakonosko o bezex nulo lo. Mai anglal bi le zakonosko traiivas; numa kana avilo o zakono, o bezex zhuvindisailo, ai me mulem.
9Wakati mmoja mimi nilikuwa hai mbali na Sheria; lakini amri ilipokuja, dhambi ilifufuka,
10O zakono, kai trobulas te ingerel ka traio, ingerdia man kai martia.
10nami nikafa. Hiyo amri ambayo shabaha yake ilikuwa kuleta uhai, kwangu imeleta kifo.
11Ke o bezex dabai astardia, kerdia te shubiv ma le zakonosa, ai kerdia te merav.
11Maana, dhambi ilichukua fursa iliyopatiwa na amri hiyo, ikanidanganya na kuniua.
12O zakono Swunto lo, ai vorta, ai lasho.
12Basi, Sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
13Apo so si lasho kerdilo antunchi martia mange? Nichi, Vov si! Pala bezex si, o baio ke si kadia, kadia vorta sar si o bezex. Lia o lashimos te mudarel ma, ai kadia o bezex kerdilo pala zakono defial nasulimos.
13Je, hii inamaanisha kwamba kile kilicho kizuri kimesababisha kifo changu? Hata kidogo! Iliyo ni kwamba, dhambi, ili ionekane dhahiri kuwa ni dhambi, imekitumia kile kilicho kizuri na kusababisha kifo changu. Hivyo dhambi, kwa njia ya ile amri, ilijionyesha kikamilifu jinsi ilivyo mbaya mno.
14Zhanas ke o zakono katar O Del si; Numa me sim stato, bichindo le bezexeske.
14Tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi.
15Ke chi zhanav so kerav; chi kerav so mangav, ai kerav so chi mangav.
15Sielewi nifanyacho, maana kile ninachotaka sikifanyi, bali kile ninachochukia ndicho nikifanyacho.
16Kana kerav so chi mangav, ai haliarav kadia ke o zakono lasho lo.
16Ikiwa basi, ninatenda kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba nakubali kuwa ile Sheria ni nzuri.
17Ai akana chi sim me kai kerav kodia, numa o bezex kai si ande mande.
17Basi, si mimi hasa ninayefanya kitu hicho, bali ile dhambi iliyo ndani yangu.
18Zhanav ke so si lasho nai ande mande, nai ande murho stato. Me mangav, numa nai ma e putiera te kerav o mishtimos.
18Najua kwamba hamna jema lolote ndani yangu mimi, kadiri ya ubinadamu wangu. Kwa maana, ingawa nataka kufanya jambo jema, siwezi kulitekeleza.
19Ke chi kerav o mishtimos kai mangav, numa kerav o nasulimos kai chi mangav.
19Yaani, badala ya kufanya lile jambo jema ninalotaka, nafanya lile baya nisilotaka.
20Ai te kerava so chi mangav te kerav, chi sim me kai kerav, kodo si o bezex kai si ande mande.
20Basi, kama ninafanya kinyume cha matakwa yangu, hii inamaanisha kwamba si mimi ninayefanya hayo, bali ni ile dhambi iliyo ndani yangu.
21No arakhav ande mande kado zakono, kana mangav te kerav o mishtimos, o nasulimos astardiol mandar.
21Basi, nimegundua kanuni hii: ninataka kufanya jema, lakini najikuta kwamba lile lililo baya ndilo ninalochagua.
22Ke voliv o zakono le Devlesko ande murho ilo.
22Ndani kabisa katika moyo wangu naifurahia sheria ya Mungu.
23Numa dikhav ande murho stato aver zakono, kai marelpe kodole zakonosa kai murhi goji aliarel ke mishto. Kerel te astardiuav ka zakono le bezexesko kai si ande murho stato.
23Lakini naona kwamba kuna sheria nyingine inayofanya kazi mwilini mwangu, sheria ambayo inapingana na ile inayokubaliwa na akili yangu. Hiyo inanifanya niwe mtumwa wa sheria ya dhambi ifanyayo kazi mwilini mwangu.
24Che chinuime manush sim! Kon skepila ma anda kado stato kai ingerel ma kai martia?
24Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?
25O naisimos te avel le Devleske katar O Jesus Kristo amaro Del! Kadia sai kerav buchi le zakonoski kai si le Devlesko murha gojasa, numa murho stato kerel buchi le zakonoske, o zakono le bezexesko.
25Shukrani kwa Mungu afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya dhambi.