Shona

Swahili: New Testament

1 Corinthians

12

1Zvino maererano nezvipo zveMweya, hama, handidi kuti musaziva.
1Ndugu, kuhusu vipaji vya kiroho, napenda mfahamu vizuri mambo haya:
2Munoziva kuti maiva vahedheni, muchitungamirirwa kuzvifananidzo izvi mbeveve, sevanokwehwa.
2Mnajua kwamba, kabla ya kuongoka kwenu, mlitawaliwa na kupotoshwa na sanamu tupu.
3Saka ndinokuzivisai, kuti hakuna munhu unotaura neMweya waMwari unoti: Jesu rushambwa; Uye hakuna munhu ungati: Jesu ndiIshe, kunze kwekuda kweMweya Mutsvene.
3Basi, jueni kwamba mtu yeyote anayeongozwa na Roho wa Mungu hawezi kusema: "Yesu alaaniwe!" Hali kadhalika, mtu yeyote hawezi kusema: "Yesu ni Bwana," asipoongozwa na Roho Mtakatifu.
4Zvino kune marudzi akasiyana ezvipo, asi Mweya ndeumwe.
4Vipaji vya kiroho ni vya namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja.
5Uye kune nzira dzakasiyana dzekushumira, asi Ishe mumwe.
5Kuna namna nyingi za kutumikia, lakini Bwana anayetumikiwa ni mmoja.
6Kuti marudzi amabasa akasiyana siyana, asi ndiMwari mumwe, iye unobata zvose mune vose.
6Kuna namna mbalimbali za kufanya kazi ya huduma, lakini Mungu ni mmoja, anayewezesha kazi zote katika wote.
7Asi umwe neumwe unopiwa kuratidza kweMweya, kune zvinobatsira.
7Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote.
8Nekuti kune umwe kunopiwa neMweya shoko reuchenjeri, nekune umwe shoko reruzivo neMweya iwoyu,
8Roho humpa mmoja ujumbe wa hekima, na mwingine ujumbe wa elimu apendavyo Roho huyohuyo.
9nekune umwe rutendo, neMweya iwoyu, nekune mumwe zvipo zvekuporesa neMweya iwoyu,
9Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya;
10nekune umwe kuita mabasa esimba, nekune umwe kuporofita, nekune umwe kunzwisisa zvemweya, nekune umwe marudzi endimi, nekune umwe kududzira ndimi;
10humpa mmoja kipaji cha kufanya miujiza, mwingine kipaji cha kusema ujumbe wa Mungu, mwingine kipaji cha kubainisha vipaji vitokavyo kwa Roho na visivyo vya Roho; humpa mmoja kipaji cha kusema lugha ngeni, na mwingine kipaji cha kuzifafanua.
11asi izvi zvose zvinoitwa neMweya iwoyu mumwe chete, unogovera umwe neumwe sezvaanoda.
11Hizo zote ni kazi za Roho huyohuyo mmoja, ambaye humpa kila mtu kipaji tofauti, kama apendavyo mwenyewe.
12Nekuti muviri sezvauri umwe, uye une mitezo mizhinji, nemitezo yose yemuviri uyu umwe, kunyange iri mizhinji, muviri umwe; wakadarowo Kristu.
12Kama vile mwili ulivyo mmoja wenye viungo vingi, na viungo hivyo vyote--ingawaje ni vingi--hufanya mwili mmoja, ndivyo ilivyo pia kwa Kristo.
13Nekuti neMweya umwe isu tose takabhabhatidzirwa mumuviri umwe; kana vaJudha kana vaGiriki, kana varanda kana vakasununguka; isu tose takamwiswa paMweya umwe.
13Maana sisi, tukiwa Wayahudi au watu wa mataifa mengine, watumwa au watu huru, sote tumebatizwa kwa Roho mmoja katika mwili huo mmoja; na sote tukanyweshwa Roho huyo mmoja.
14Nekuti muviri hausi mutezo umwe asi mizhinji.
14Mwili hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi.
15Kana rutsoka rukati: Nekuti handisi ruoko, handisi wemuviri; zvisinei naizvozvi, harwusi rwemuviri here,
15Kama mguu ungejisemea: "Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili", je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha!
16Nenzeve kana ikati: Nekuti handisi ziso, handisi wemuviri; nekuda kwezvizvi haizi yemuviri here?
16Kama sikio lingejisemea: "Kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili", je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La!
17Dai muviri wose raiva ziso, kunzwa kwaivepi? Kana wose waiva kunzwa, kunhuwidza kungadai kuripi?
17Kama mwili wote ungekuwa jicho, sikio lingekuwa wapi? Na kama mwili wote ungekuwa sikio, mtu angewezaje kunusa?
18Asi zvino Mwari wakagadza mutezo umwe neumwe pamuviri sezvaakada.
18Lakini kama ilivyo, Mungu alizipanga sehemu hizo tofauti katika mwili kama alivyopenda.
19Asi kana yose yaiva mutezo umwe, muviri ungadai uri kupi?
19Kama sehemu zote zingekuwa kiungo kimoja, mwili ungekuwa wapi?
20Asi zvino mitezo mizhinji, asi muviri umwe.
20Ukweli ni kwamba, sehemu za mwili ni nyingi, lakini mwili ni mmoja.
21Uye ziso harigoni kuti kuruoko: Handinei newe; kanazve musoro kutsoka: Handinei newe;
21Basi, jicho haliwezi kuuambia mkono: "Sikuhitaji wewe", wala kichwa hakiwezi kuiambia miguu: "Siwahitaji ninyi."
22Asi zvikuru mitezo iyo yemuviri inoonekwa seisina simba, ndiyo inodikamwa;
22Zaidi ya hayo, inaonekana kwamba sehemu zile za mwili zinazoonekana kuwa ni dhaifu ndizo zilizo muhimu zaidi.
23naiyo yemuviri yatinofunga kuti haikudzwi, ndiyo yatinopa rukudzo zvakawedzerwa; nemitezo iyo yedu isina kunaka, kunaka kwakawedzerwa;
23Tena, viungo vile tunavyovifikiria kuwa havistahili heshima kubwa, ndivyo tunavyovitunza kwa uangalifu zaidi; viungo vya mwili ambavyo havionekani kuwa vizuri sana, huhifadhiwa zaidi,
24asi yedu yakanaka haishaiwi; asi Mwari wakabatanidza muviri pamwe, achipa rukudzo rukuru kune iyo yaishayiwa,
24ambapo viungo vingine havihitaji kushughulikiwa. Mungu mwenyewe ameuweka mwili katika mpango, akakipa heshima zaidi kiungo kile kilichopungukiwa heshima,
25kuti parege kuva nokupatsanurana pamuviri; asi mitezo ichengetane zvakaenzana.
25ili kusiweko na utengano katika mwili bali viungo vyote vishughulikiane.
26Kana mutezo umwe uchitambudzika, mitezo yose inotambudzika pamwe nawo; kana mutezo umwe uchikudzwa, mitezo yose inofara pamwe nawo.
26Kama kiungo kimoja kinaumia viungo vyote huumia pamoja nacho. Kiungo kimoja kikisifiwa viungo vingine vyote hufurahi pamoja nacho.
27Zvino imwi muri muviri waKristu, nemutezo umwe neumwe.
27Basi, ninyi nyote ni mwili wa Kristo; kila mmoja wenu ni kiungo cha mwili huo.
28Mwari wakagadza vamwe pakereke, kutanga vaapositori, kechipiri vaporofita, kechitatu vadzidzisi, kozouya mabasa esimba, tevere zvipo zvekuporesa, mabasa erubatsiro, utungamiriri, ndimi dzakasiyana siyana.
28Mungu ameweka katika kanisa: kwanza mitume, pili manabii, tatu walimu; kisha ameweka wale wenye kipaji cha kufanya miujiza, kuponya, kusaidia; viongozi na wenye kusema lugha ngeni.
29Vose vaapositori here? Vose vaporofita here? Vose vadzidzisi here? Vose mabasa esimba here?
29Je, wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni walimu? Wote ni wenye kipaji cha kufanya miujiza?
30Vose vane zvipo zvekuporesa here? Vose vanotaura nendimi here? Vose vanodudzira here?
30Je, wote ni wenye kipaji cha kuponya? Wote ni wenye kipaji cha kusema lugha ngeni? Je, wote hufafanua lugha?
31Asi shuvai zvipo zvakanakisisa. Uye zvakadaro ndinokuratidzai nzira yakaisvonaka kupfuura dzose.
31Muwe basi, na tamaa ya kupata vipaji muhimu zaidi. Nami sasa nitawaonyesheni njia bora zaidi kuliko hizi zote.