1Zvino ini, hama, ndakanga ndisingagoni kutaura nemwi sekune veMweya, asi sekune venyama, sekune vacheche muna Kristu.
1Ndugu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu mlio na huyo Roho. Nilipaswa kusema nanyi kama watu wa kidunia, kama watoto wachanga katika maisha ya Kikristo.
2Ndakakumwisai mukaka, kwete chikafu chikukutu; nekuti makanga musati mogona kudya, zvakare nazvino hamugoni.
2Ilinibidi kuwalisheni kwa maziwa, na si kwa chakula kigumu, kwani hamkuwa tayari kukipokea. Hata sasa hamko tayari.
3Nekuti muchiri venyama; Nekuti zvapachine godo pakati penyu, negakava nekupatsanurana, hamusi venyama, muchifamba sevanhu here?
3Maana bado mu watu wa kidunia. Je, si kweli kwamba bado uko wivu na magombano kati yenu? Mambo hayo yanaonyesha wazi kwamba ninyi bado ni watu wa kidunia, mnaishi mtindo wa kidunia.
4Nekuti kana umwe achiti: Ini ndiri waPauro, neumwe achiti: Ini waAporo, hamuzi venyama here?
4Mmoja wenu anaposema, "Mimi ni wa Paulo", na mwingine, "Mimi ni wa Apolo", je, hiyo haionyeshi kwamba mnaishi bado kama watu wa dunia hii tu?
5Ko Pauro chii? Uye Aporo chii? Asi varanda vamakatenda kubudikidza navo, uye umwe neumwe sekupiwa kwaakaitwa naMwari.
5Apolo ni nani? na Paulo ni nani? Sisi ni watumishi tu ambao tuliwaleteeni ninyi imani. Kila mmoja wetu anafanya kazi aliyopewa na Bwana.
6Ini ndakadzvara, Aporo wakadiridza, asi Mwari wakakudza.
6Mimi nilipanda mbegu, Apolo akamwagilia maji; lakini aliyeiotesha mbegu ni Mungu.
7Naizvozvo unodzvara haazi chinhu, kana unodiridza, asi Mwari unokudza.
7Wa maana si yule aliyepanda mbegu, au yule aliyemwagilia maji; wa maana ni Mungu aliyeiwezesha mbegu kuota.
8Zvino unodzvara neunodiridza ndevamwe; asi umwe neumwe uchagamuchira mubairo wake zvichienderana nebasa rake.
8Yule aliyepanda na yule aliyemwagilia maji wote ni sawa, ingawa kila mmoja atapokea tuzo lake kufuatana na jitihada yake mwenyewe.
9Nekuti tiri vashandi vaMwari pamwe naye; muri munda waMwari, muri chivakwa chaMwari.
9Maana sisi ni ndugu, wafanyakazi pamoja na Mungu; na ninyi ni shamba lake; ninyi ni jengo lake.
10Nekuda kwenyasha dzaMwari dzakapiwa kwandiri, semuvaki nyanzvi wakachenjera, ndakaronga nheyo; umwe unovaka pamusoro padzo. Asi umwe neumwe ngaachenjere kuti unovaka sei pamusoro padzo.
10Kwa msaada wa neema aliyonipa Mungu, nimefaulu, kama mwashi stadi mwenye busara, kuweka msingi ambao juu yake mtu mwingine anajenga. Basi, kila mmoja awe mwangalifu jinsi anavyojenga juu yake.
11Nekuti hakuna umwe unogona kuronga imwe nheyo, asi iyo yakarongwa, inova Jesu Kristu.
11Hakuna mtu awezaye kuweka msingi mwingine badala ya ule uliokwisha wekwa, yaani Yesu Kristo.
12Zvino kana ani nani achivaka pamusoro penheyo iyi, ndarama, sirivheri, mabwe anokosha, matanda, uswa, mashanga,
12Juu ya msingi huo mtu anaweza kujenga kwa dhahabu, fedha au mawe ya thamani; anaweza kutumia miti, majani au nyasi.
13basa reumwe neumwe richabudiswa pachena; nekuti zuva iro richazvibudisa pachena, nekuti richazarurwa nemoto; uye moto uchaidza basa reumwe neumwe kuti rakadini.
13Iwe iwavyo, ubora wa kazi ya kila mmoja utaonekana wakati Siku ile ya Kristo itakapoifichua. Maana, Siku hiyo itatokea na moto, na huo moto utaipima na kuonyesha ubora wake.
14Kana basa raani nani raakavaka pamusoro payo richigara, uchagamuchira mubairo.
14Ikiwa alichojenga mtu juu ya huo msingi kitaustahimili huo moto, atapokea tuzo;
15Kana basa raani nani rikapiswa, ucharashikirwa; asi iye amene uchaponeswa, asi sewakabuda nemumoto.
15lakini kama alichojenga kitaunguzwa, basi, atapoteza tuzo lake; lakini yeye mwenyewe ataokolewa kana kwamba ameponyoka kutoka motoni.
16Hamuzivi kuti imwi muri tembere yaMwari here, uye kuti Mweya waMwari unogara mamuri?
16Je, hamjui kwamba ninyi ni hekalu la Mungu, na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
17Kana ani nani achiparadza tembere yaMwari, Mwari uchamuparadza; nekuti tembere yaMwari itsvene, inova imwi.
17Basi, mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu; maana hekalu la Mungu ni takatifu, na hekalu hilo ni ninyi wenyewe.
18Ngakurege kuva neunozvinyengera. Kana umwe pakati penyu achizviona sewakachenjera panyika ino, ngaave benzi, kuti ave wakachenjera.
18Msijidanganye! Mtu yeyote miongoni mwenu akijidhania mwenye hekima mtindo wa kidunia, heri awe mjinga kusudi apate kuwa na hekima ya kweli.
19Nekuti njere dzenyika ino upenzi kuna Mwari. Nekuti kwakanyorwa kuchinzi: Unobata vakachenjera paumhare hwavo;
19Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: "Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao."
20uyezve: Ishe unoziva ndangariro dzevakachenjera, kuti hadzina maturo.
20Na tena: "Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai."
21Naizvozvo ngakurege kuva neunozvikudza nevanhu. Nekuti zvinhu zvose ndezvenyu,
21Basi, mtu asijivunie watu. Maana kila kitu ni chenu.
22kana Pauro, kana Aporo, kana Kefasi, kana nyika, kana upenyu; kana rufu, kana zvinhu zviripo, kana zvinhu zvinouya; zvose ndezvenyu,
22Paulo, Apolo na Kefa, ulimwengu, maisha na kifo; mambo ya sasa na ya baadaye, yote ni yenu.
23nemwi muri vaKristu, naKristu ndewaMwari.
23Lakini ninyi ni wa Kristo naye Kristo ni wa Mungu.