Shona

Swahili: New Testament

1 Timothy

3

1Ishoko rakatendeka rekuti: Kana munhu achishuva basa reutariri, unoshuva basa rakanaka;
1Msemo huu ni wa kweli: mtu akitaka kuwa kiongozi katika kanisa, huyo anatamani kazi nzuri.
2naizvozvo mutariri unofanira kuva usina chaangapomerwa, murume wemukadzi umwe, wakangwara, wakasvinura, unozvibata, unoitira vaeni rudo, unoziva kudzidzisa,
2Basi, kiongozi wa kanisa anapaswa awe mtu asiye na lawama; anapaswa awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu na utaratibu; ni lazima awe mkarimu na anayeweza kufundisha;
3usiri chidhakwa, usingafariri kurwa, usingakariri mibairo yakaipa; asi wakadzikama, usina gakava, usingakariri mari;
3asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda fedha;
4unobata imba yake zvakanaka, une vana vanozviisa pasi nekukudza kose;
4anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
5Nekuti kana munhu asingazivi kubata imba yake, ungachengeta sei kereke yaMwari?
5Maana kama mtu hawezi kuongoza vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu?
6Asava mutendi mutsva, kuti zvimwe nekukudzwa angawira mukutonga kwadhiabhorosi
6Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa.
7Uyezve unofanira kupupurirwa zvakanaka nevari kunze, kuti zvimwe arege kuwira mukumhurwa nemumusungo wadhiabhorosi.
7Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa Ibilisi.
8Saizvozvo vadhikoni* ngavave vanokudzwa, vasina manzwi maviri, vasingadi waini zhinji, vasingakariri fuma yakaipa;
8Wasaidizi katika kanisa wanapaswa pia kuwa watu wenye tabia njema na wanyofu; wasiwe wanywaji mno wa divai au wenye tamaa ya fedha;
9vanochengeta chakavanzika cherutendo muhana yakachena.
9wanapaswa kuzingatia kwa dhamiri njema ukweli wa ndani wa imani.
10Naivava ngavatange kuidzwawo, ipapo vashumire kana vasina chavangapomerwa.
10Ni lazima kwanza wathibitishwe, na wakionekana kuwa wanafaa, basi, watoe huduma yao.
11Saizvozvowo vakadzi vavo ngavave vanokudzwa, kwete vacheri, vakasvinura, vakatendeka pazvose.
11Wake zao wanapaswa pia kuwa na tabia njema, wasiowasengenya watu, wenye kiasi na waaminifu katika mambo yote.
12Vadhikoni ngavave varume vane mukadzi umwe, vanobata vana vavo nedzimba dzavo zvakanaka.
12Msaidizi katika kanisa lazima awe na mke moja tu, na awezaye kuongoza vema watoto wake na nyumba yake.
13Nekuti avo vakashumira zvakanaka, vanozviwanira chimiro chakanaka, nekutsunga kukuru parutendo rwuri muna Kristu Jesu.
13Maana wasaidizi wanaofanya kazi yao vizuri hujipatia msimamo mzuri, na wanaweza kusema bila hofu juu ya imani yao katika Kristo Yesu.
14Zvinhu izvi ndinokunyorera, ndichitarisira kuuya kwauri nekukurumidza;
14Ninakuandikia barua hii nikiwa na matumaini ya kuja kwako hivi karibuni.
15asi kana ndikanonoka, ndinoda kuti uzive kuti unofanira kufamba sei mumba maMwari, inova kereke yaMwari mupenyu, mbiru nehwaro hwechokwadi.
15Lakini kama nikicheleweshwa, basi, barua hii itakufahamisha mwenendo tunaopaswa kuwa nao katika nyumba ya Mungu, ambayo ni kanisa la Mungu aliye hai, na ambalo ni nguzo na msingi wa ukweli.
16Hazvipikiswi kuti chakavanzika chekunamata Mwari chikuru; Mwari wakaratidzwa panyama, wakanzi wakarurama pamweya, wakaonekwa nevatumwa, akaparidzwa kuvahedheni, akatendwa panyika, akakwidzwa mukubwinya.
16Hakuna mashaka yoyote juu ya ukuu wa siri ya dini yetu: Alionekana katika umbo la kibinadamu alithibitishwa na Roho kuwa ni mwadilifu, akaonekana na malaika. Alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa popote ulimwenguni, akachukuliwa juu mbinguni katika utukufu.