1Zvino tinokuzivisai, hama, nyasha dzaMwari dzakapiwa pakereke dzeMakedhonia;
1Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu ameyajalia makanisa ya Makedonia.
2kuti pakati pekuidzwa kukuru kwedambudziko, kuwanzwa kwemufaro wavo neurombo hwavo ukuru, zvakawedzera pafuma yekupa kwavo.
2Waumini wa huko walijaribiwa sana kwa taabu; lakini furaha yao ilikuwa kubwa hivi hata wakawa wakarimu kupita kiasi, ingawaje walikuwa maskini sana.
3Nekuti vakanga vakasununguka pavanokwanisa napo, ndinopupura, kunyange kupfuura pavakakwanisa napo,
3Naweza kushuhudia kwamba walikuwa wakarimu kadiri ya nguvu zao na hata zaidi. Kwa hiari yao wenyewe,
4nechikumbiro chikuru vakatikumbirisa, kuti tigamuchire chipo nekugovana parubatsiro rwevatsvene;
4walitusihi sana wapewe nafasi ya kushiriki katika huduma hii ya kuwasaidia watu wa Mungu.
5uye kwete sezvatakatarisira, asi ivo vakatanga kuzvipa kuna Ishe, nekwatiri nechido chaMwari.
5Hilo lilikuwa jambo ambalo hatukulitazamia kabisa! Kwanza walijitolea wao wenyewe kwa Bwana, kisha wakajitolea wenyewe kwetu pia, kufuatana na mapenzi ya Mungu.
6Zvekuti takakumbira Tito, kuti sezvaakanga atanga, apedzisewo kwamuri basa iri renyasha.
6Kwa sababu hiyo, tulimsihi Tito aliyeianza kazi hiyo awasaidieni pia muitekeleze huduma hii ya upendo miongoni mwenu.
7Zvino sezvamakawanza pazvose, parutendo, pashoko, paruzivo, nepakushingaira kose, neparudo rwenyu kwatiri, tarirai kuti muwanze pabasa iri renyashawo.
7Ninyi mna kila kitu: imani, uwezo wa kusema, elimu; bidii yote ya kutenda mema, na upendo wenu kwetu. Hivyo, tunatazamia muwe wakarimu katika huduma hii ya upendo.
8Handitauri sekutema murairo, asi nekushingaira kwevamwe uye ndichiidza uchokwadi hwerudo rwenyu.
8Siwapi ninyi amri, lakini nataka tu kuonyesha jinsi wengine walivyo na bidii ya kusaidia ili nipate kujua jinsi upendo wenu ulivyo wa kweli.
9Nekuti munoziva nyasha dzaIshe wedu Jesu Kristu, kuti kunyange akanga akafuma, asi nekuda kwenyu wakava murombo, kuti imwi kubudikidza neurombo hwake mufume.
9Maana, ninyi mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo: yeye, ingawa alikuwa na kila kitu, alijifanya maskini kwa ajili yenu, ili kutokana na umaskini wake, awatajirishe.
10Pachinhu ichi ndinopa zano; nekuti izvi zvichakubatsirai, imwi makatotanga gore rakapera, kwete kuita chete, asi muchidawo.
10Kuhusu jambo hili, basi, nawapeni shauri hili: inafaa kwenu kutekeleza sasa yale mliyoanza mwaka jana. Ninyi mlikuwa wa kwanza kuchukua hatua na kuamua kufanya hivyo.
11Asi zvino pedzisai kuitawo; kuti sezvamakanga mune moyo unoda, saizvozvo kuripo kupedzisa pane zvamunazvo.
11Basi, kamilisheni shughuli hiyo; na kama vile mlivyokuwa na hamu kubwa ya kusaidia, basi, fanyeni bidii vivyo hivyo, kadiri ya uwezo wenu, kuikamilisha.
12Nekuti kana chishuwo chiripo chipo chinogamuchirika zvichiinda nezvine munhu, zvisingaindi nezvaasina.
12Maana ikiwa mtu ana moyo wa kusaidia, Mungu hupokea kila anachoweza kutoa: hadai zaidi.
13Nekuti hakusi kuti vamwe vave nekurerusirwa, imwi muremerwe;
13Ninyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki.
14kuti pave nekuenzana; panguva ino kupamhidzira kwenyu kuenderane nemashayiro avo kuti kuwanza kwavo kuve semashayiro enyuvo; kuti kuve nekuenzana;
14Kila mlicho nacho sasa cha ziada kiwasaidie wale wanaohitaji, ili nao wakati watakapokuwa na ziada, wawasaidie ninyi katika mahitaji yenu, na hivyo kuwe na usawa.
15sezvazvakanyorwa zvichinzi: Wakaunganidza zvizhinji haana kusarirwa nechinhu; naiye wakaunganidza zvishoma haana kushaiwa.
15Kama Maandiko yasemavyo: "Aliyekusanya kwa wingi hakuwa na ziada, na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa."
16Asi kuvonga kuve kuna Mwari, wakaisa mumoyo maTito kushingaira nemoyo wose kwakadaro kwamuri,
16Namshukuru Mungu aliyeweka ndani ya moyo wa Tito hamu hiyo niliyo nayo mimi ya kuwasaidia.
17Nekuti zvirokwazvo wakagamuchira kurudziro, asi zvaakange achishingaira zvikuru, wakapfuurira kwamuri nechido chake.
17Si tu kwamba alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu.
18Zvino takatuma pamwe naye hama, rumbidzo yake muevhangeri iri pakereke dzose;
18Pamoja naye, tunamtuma ndugu mmoja ambaye sifa zake katika kueneza Habari Njema zimeenea katika makanisa yote.
19zvisati zviri izvozvo chete, asi iye wakasarudzwawo nekereke kuti atiperekedze nenyasha idzi, dzakabatwa nesu mukurumbidzwa kwaiyeyu Ishe; nechishuwo chemoyo wenyu chiratidzwe;
19Zaidi ya hayo, yeye amechaguliwa na makanisa awe mwenzetu safarini wakati tunapopeleka huduma hii yetu ya upendo, huduma tunayoifanya kwa ajili ya utukufu wa Bwana na uthibitisho wa nia yetu njema.
20tichichenjerera izvi, zvimwe mumwe ungatimhura pamusoro pezvipamhidzirwa izvi zvinobatwa nesu.
20Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.
21Tichirangarira zvinhu zvakanaka, kwete pamberi paIshe chete, asi pamberi pevanhuwo.
21Nia yetu ni kufanya vema, si tu mbele ya Bwana, lakini pia mbele ya watu.
22Uye takatumawo navo hama yedu, yatakapupurira kazhinji kushingaira pazvinhu zvizhinji, asi zvino unonyanya kushingaira nekuda kwekuvimba kukuru mamuri.
22Basi, pamoja na ndugu hao, tumemtuma ndugu yetu mwingine ambaye mara nyingi tumempa majaribio mbalimbali, tukamwona kuwa ni mwenye hamu kubwa ya kusaidia; hata sasa amekuwa na moyo zaidi kwa sababu ana imani sana nanyi.
23Zvimwe zvaTito shamwari yangu nemushandi pamwe neni kwamuri, zvimwe hama dzedu vaapositori vekereke kukudzwa kwaKristu.
23Tito ni mwenzangu; tunafanya kazi pamoja kwa ajili yenu; lakini kuhusu hawa ndugu zetu wengine, wanaokuja pamoja nao, hao ni wajumbe wa makanisa, na utukufu kwa Kristo.
24Naizvozvo ratidzai kwavari nepamberi pekereke uchapupu hwerudo rwenyu nehwekuzvikudza kwedu pamusoro penyu.
24Basi, waonyesheni uthabiti wa upendo wenu, makanisa yapate kuona kweli kwamba fahari ninayoona juu yenu ni ya halali.