Shona

Swahili: New Testament

2 Peter

2

1Asi kwaiva nevaporofita venhemawo pakati pevanhu, sezvakuchavapowo vadzidzisi venhema pakati penyu, vachapinza pachivande dzidziso dzakatsauka dzinoparadza, vachiramba naiye Ishe wakavatenga, vachizviwisira kuparara kunokurumidza,
1Palitokea manabii wa uongo kati ya watu, na vivyo hivyo walimu wa uongo watatokea kati yenu. Watu hao wataingiza mafundisho maharibifu na kumkana Bwana aliyewakomboa, na kwa njia hiyo watasababisha ghafla maangamizi yao wenyewe.
2zvino vazhinji vachatevera kuparadzwa kwavo; nekuda kwavo nzira yechokwadi ichanyombwa,
2Tena watu wengi watazifuata hizo njia zao mbaya, kwa sababu yao, wengine wataipuuza Njia ya ukweli.
3uye pakuchiva vachakubatai namashoko emano mano; kutongwa kwavo kwakatarwa kare vachita mubairo nei, kutongwa kwavo kwekare hakunonoki, nekuparadzwa kwavo hakutsumwairi.
3Kwa tamaa yao mbaya watajipatia faida kwa kuwaambieni hadithi za uongo. Lakini kwa muda mrefu sasa Hakimu wao yu tayari, na Mwangamizi wao yu macho!
4Nekuti kana Mwari asina kurega vatumwa vakatadza, asi wakavakandira mugehena nekuvakumikidza kumaketeni erima kuti vachengeterwe mutongo;
4Malaika walipotenda dhambi, Mungu hakuwahurumia, bali aliwatupa katika moto wa Jehanamu ambako wamefungwa wakingojea Siku ile ya Hukumu.
5uye haana kurega nyika yekare, asi wakachengetedza Nowa wechisere muparidzi wekururama, paakauyisa mafashame panyika yevasingadi Mwari;
5Mungu hakuihurumia dunia ya hapo kale, bali alileta gharika kuu juu ya nchi ile ya watu wasiomcha Mungu; lakini Noa ambaye alihubiri uadilifu, Mungu alimwokoa pamoja na watu wengine saba.
6akashandura maguta eSodhoma neGomora kuita madota, akaatongera kuparadzwa, akaaita chive chiratidzo kune vachagara vasingadi Mwari;
6Mungu aliadhibu miji ya Sodoma na Gomora, akaiteketeza kwa moto, akaifanya iwe mfano wa mambo yatakayowapata watu wasiomcha Mungu.
7akasunungura Roti wakarurama, wakazvidya moyo nemafambiro anonyangadza evakaipa.
7Alimwokoa Loti, mtu mwema, ambaye alisikitishwa sana na mwenendo mbaya wa watu hao waasi.
8Nekuti munhu uyo wakarurama, agere pakati pavo, pakuona nekunzwa, wakarwadzisa mweya wake wakarurama zuva rimwe nerimwe nemabasa asina murairo.
8Loti aliishi miongoni mwa watu hao, na kwa siku nyingi moyo wake ulikuwa katika wasiwasi mkuu aliposikia matendo yao maovu.
9Ishe unoziva kusunungura vanonamata Mwari pamiidzo, nekuchengetera vasakarurama kusvika pazuva rekutongwa vachirangwa;
9Kwa hiyo, basi, Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa katika majaribu watu wanaomcha Mungu, na jinsi ya kuwaweka waovu katika adhabu hadi Siku ile ya hukumu,
10asi zvikuru ivo vanofamba nemutowo wenyama paruchiva rwetsvina nekuzvidza utongi. Vasina hanya, vane nharo, vasingatyi kutuka utongi;
10hasa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kupuuza mamlaka. Watu hao ni washupavu na wenye majivuno, huvitukana na hawaviheshimu viumbe vitukufu vya juu.
11izvo vatumwa, vanopfuura pasimba neukuru, havauyi nemutongo wekunyomba pamberi paIshe.
11Lakini malaika, ambao wana uwezo na nguvu zaidi kuliko hao walimu wa uongo, hawawashtaki na kuwatukana hao mbele ya Bwana.
12Asi ava vakaita semhuka pachizvarigo dzisina murangariro, dzakaberekerwa kubatwa nekuparadzwa vanotuka zvavasingazivi, naivo vachaparadzwa kwazvo pakuora kwavo,
12Watu hao ambao hutukana chochote kile wasichoelewa, ni sawa na wanyama wasio na akili, ambao huzaliwa na baadaye hukamatwa na kuchinjwa! Wataangamizwa kutokana na uharibifu wao wenyewe,
13uye vachagamuchira mubayiro wokusarurama vanoti mafaro kuita umbozha masikati, ivo makwapa nemavara, vanofara mukunyengera kwavo kana vari pamafundo nemwi,
13na watalipwa mateso kwa mateso ambayo wameyasababisha. Furaha yao ni kufanya, tena mchana kabisa, chochote kinachotosheleza anasa zao za mwili. Hao ni fedheha na aibu tupu kwa jumuiya yenu wakati wanapojiunga nanyi katika karamu zenu, bali wakifurahia njia zao za udanganyifu.
14vane meso azere neupombwe, vasingaregi chivi, vanonyengera mweya isina simba; nemoyo wakarovedzwa kuchiva; vana verushambwa;
14Macho yao yamejaa uzinzi na uwezo wao wa kutenda dhambi hauna kikomo. Huwaongoza watu walio dhaifu mpaka mitegoni. Mioyo yao imezoea kuwa na tamaa ya mali. Wapo chini ya laana ya Mungu!
15vakasiya nzira yakarurama vakatsauka, vachitevera nzira yaBharami waBhosori wakada mibairo yekusarurama
15Wameiacha njia iliyonyoka, wakapotoka na kuifuata njia aliyofuata Balaamu, mwana wa Beori, ambaye alipendelea kupata faida kwa kufanya udanganyifu,
16asi wakatsiurwa pakudarika kwake, chimumumu chembongoro chichitaura nenzwi remunhu chikadzivisa upengo hwemuporofita.
16akakaripiwa kwa ajili ya uovu wake. Punda ambaye hasemi alinena kwa sauti ya binadamu, akaukomesha wazimu wa huyo nabii.
17Ivava zvitubu zvisina mvura, makore anosundwa nemhepo; ivo vakachengeterwa mhute yerima nekusingaperi.
17Watu hao ni kama chemchemi zilizokauka, kama mawingu yanayopeperushwa na tufani; makao yao waliyowekewa ni mahali pa giza kuu.
18Nekuti nokutaura kwavo kukuru kwekuzvikudza kusina maturo, vanonyengera neruchiva rwenyama neunzenza, avo vachangopukunyuka kuna vanogara pakutsauka;
18Husema maneno ya majivuno na yasiyo na maana, na kutumia tamaa zao mbaya za kimwili kuwatega wale ambao wamejitenga hivi karibuni na watu waishio katika udanganyifu.
19vachivavimbisa rusununguko, ivo vomene varanda vekuora; nekuti munhu waakundwa naye, ndiye waanoitwa muranda wake.
19Huwaahidi watu wengine eti watakuwa huru, kumbe wao wenyewe ni watumwa wa upotovu--maana mtu ni mtumwa wa chochote kile kinachomtawala.
20Nekuti kana vapukunyuka patsvina yenyika kubudikidza neruzivo rwaIshe neMuponesi Jesu Kristu vanobatwa nokukundwazve nazvo, kuguma kwavo kwaipa kupfuura kutanga.
20Watu waliokwisha ponyoka katika upotovu wa ulimwengu kwa kupata kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, kisha wakakubali kunaswa na kutawaliwa tena na upotovu huo, hali yao itakuwa mbaya zaidi kuliko awali.
21Nekuti zvaiva nani kwavari kana vasaiziva nzira yekururama, pakuti vamboziva vadzoke pamurairo mutsvene wakakumikidzwa kwavari.
21Ingalikuwa afadhali kwao kama wasingalijua kamwe njia hiyo ya uadilifu kuliko kujua na kisha kuiacha na kupoteza amri takatifu waliyopokea.
22Asi zvakaitika kwavari zvedimikira rechokwadi zvinoti: Imbwa yakadzokera kumarutsi ayozve, nehadzi yenguruve yakanga yashamba, kukuvumburuka mumatope.
22Ipo mithali isemayo: "Mbwa huyarudia matapishi yake mwenyewe," na nyingine isemayo: "Nguruwe aliyekwisha oshwa hugaagaa tena katika matope!" Ndivyo ilivyo kwao sasa.