Shona

Swahili: New Testament

2 Timothy

4

1Ndinorairisa naizvozvo pamberi paMwari, naIshe Jesu Kristu, iye uchatonga vapenyu nevakafa pakuonekwa kwake neushe hwake;
1Nakuamuru mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu atakayewahukumu watu walio hai na wafu, na kwa sababu anakuja kutawala akiwa Mfalme:
2paridza shoko; iva wakagadzirira nenguva yakafanira, panguva isakafanira; dzora, tsiura, kurudzira nemoyo murefu wose nepadzidziso.
2hubiri huo ujumbe, sisitiza kuutangaza (iwe ni wakati wa kufaa au wakati usiofaa), karipia, onya na himiza watu ukiwafundisha kwa uvumilivu wote.
3Nekuti nguva ichasvika yavacharamba kutendera dzidziso mhenyu, asi zvichienderana nekuchiva kwavo vachazvivunganidzira vadzidzisi, vachirumwa nzeve,
3Utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mafundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayari kusikia.
4vachafuratidza nzeve dzavo pachokwadi, vachitendeusirwa kungano.
4Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.
5Asi iwe svinura pazvinhu zvose, utsungirire pamatambudziko, uite basa remuevhangeri, uzadzise basa rako.
5Wewe, lakini, uwe macho katika kila hali; vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Habari Njema, timiza kikamilifu utumishi wako.
6Nekuti ini ndotodururwa sechibayiro, nenguva yekubva kwangu yasvika.
6Kwa upande wangu mimi, niko karibu kabisa kutolewa dhabihu na wakati wa kufariki kwangu umefika.
7Ndarwa kurwa kwakanaka, ndapedza rwendo, ndachengeta rutendo;
7Nimefanya bidii katika mashindano, nimemaliza safari yote na imani nimeitunza.
8kubva ikozvino, ndakachengeterwa korona yekururama yandichapiwa naIshe Mutongi wakarurama nezuva iroro; kwete kwandiri ndoga, asi kune vose vanoda kuonekwa kwake.
8Na sasa imebakia tu kupewa tuzo la ushindi kwa maisha ya uadilifu, tuzo ambalo Bwana Hakimu wa haki, atanipa mimi Siku ile na wala si mimi tu, ila na wale wote wanaotazamia kwa upendo kutokea kwake.
9Shingaira kuti ukurumidze kuuya kwandiri.
9Fanya bidii kuja kwangu karibuni.
10Nekuti Dhemasi wakandisiya, ada nyika yaikozvino. Akaenda Tesaronika; Kresike kuGaratia, Tito kuDhamatia.
10Dema ameupenda ulimwengu huu akaniacha na kwenda zake Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia, na Tito amekwenda Dalmatia.
11Ruka oga uneni. Tora Mako uuye naye nekuti unondibatsira pakushumira.
11Luka peke yake ndiye aliye hapa pamoja nami. Mpate Marko uje naye, kwa maana ataweza kunisaidia katika kazi yangu.
12Asi Tikiko ndakamutuma kuEfeso.
12Nilimtuma Tukiko kule Efeso.
13Nguvo yandakasiya paTroasi kuna Kapo, kana wouya uuye nayo, nemabhuku, zvikuru magwaro ematebwe.
13Utakapokuja niletee koti langu nililoacha kwa Karpo kule Troa; niletee pia vile vitabu, na hasa vile vilivyotengenezwa kwa ngozi.
14Arekisandiro mupfuri wendarira wakandiitira zvakaipa zvizhinji; Ishe uchamutsiva zvinoenderana nemabasa ake;
14Yule sonara aitwaye Aleksanda amenitendea maovu mengi; Bwana atamlipa kufuatana na hayo matendo yake.
15iwewo umuchenjerere, nekuti wakapikisa zvikuru mashoko edu.
15Jihadhari naye kwa sababu aliupinga ujumbe wetu kwa ukali.
16Pakuzvidavirira kwangu kwekutanga hapana munhu wakamira neni, asi vose vakandisiya. Dai zvarega kuverengerwa kwavari.
16Wakati nilipojitetea kwa mara ya kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu; wote waliniacha. Mungu asiwahesabie kosa hilo!
17Zvakadaro Ishe wakamira neni, akandisimbisa, kuti neni kuparidza kuzikamwe zvakazara nevahedheni vose vanzwe; uye ndakarwirwa pamuromo weshumba.
17Lakini, Bwana alikaa pamoja nami, akanipa nguvu, hata nikaweza kuutangaza ujumbe wote, watu wa mataifa wausikie; tena nikaokolewa katika hukumu ya kifo kama kinywani mwa simba.
18Uye Ishe uchandirwira pabasa rose rakaipa, uye uchandichengetera kupinda ushe hwake hwokudenga; kubwinya ngakuve kwaari nekusingaperi-peri. Ameni.
18Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika Utawala wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina.
19Kwazisa Priska naAkwira, neimba yaOnesiforo.
19Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo.
20Erasto wakasara paKorinde; asi Trofimo ndakamusiya paMireto achirwara.
20Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.
21Shingaira kuuya chando chisati chasvika. Yubhuro unokukwazisa, naPudhe, naRina, naKraudhia nehama dzose.
21Fanya bidii kuja kabla ya majira ya baridi. Ebulo, Pude, Lino na Klaudia wanakusalimu; vilevile ndugu wengine wote.
22Ishe Jesu Kristu ngaave nemweya wako. Nyasha ngadzive nemwi. Ameni.
22Bwana awe nawe rohoni mwako. Nawatakieni nyote neema.