1Zvino zvakaitika kuti taparadzana navo, tikabva nechikepe, tikarurama muKose, fume muRodhe, tikabvapo, tikasvika Patara;
1Tulipokwisha agana nao, tulipanda meli tukaenda moja kwa moja mpaka Kosi. Kesho yake tulifika Rodo, na kutoka huko tulikwenda Patara.
2tikati tawana chikepe, chaiyambukira Fonisiya, tikapinda, tikaenda nechikepe.
2Huko, tulikuta meli iliyokuwa inakwenda Foinike, hivyo tulipanda, tukasafiri.
3Takati toona Saipuresi, tikaisiya kuruoko rweruboshwe, tichienda Siria nechikepe, tikamhara paTire; nekuti chikepe chaifanira kututunura mutoro wacho ipapo;
3Baada ya kufika mahali ambapo tuliweza kuona Kupro, tulipitia upande wake wa kusini tukaelekea Siria. Tulitia nanga katika mji wa Tiro ambapo ile meli ilikuwa ipakuliwe shehena yake.
4zvino takati tawana vadzidzi, tikagarapo mazuva manomwe; ivo vakati kubudikidza nemweya kuna Pauro arege kukwira kuJerusarema.
4Tulikuta waumini huko, tukakaa pamoja nao kwa muda wa juma moja. Waumini hao wakawa waongea kwa nguvu ya Roho, wakamwambia Paulo asiende Yerusalemu.
5Zvino takati tapedza mazuva iwayo takabuda tikaenda; uye vose vakatiperekedza nevakadzi nevana, kusvikira kunze kweguta; ipapo tikafugama pamahombekombe tikanyengetera.
5Lakini muda wetu ulipokwisha tuliondoka. Wote pamoja na wanawake na watoto wao walitusindikiza mpaka nje ya mji. Tulipofika pwani, sote tulipiga magoti tukasali.
6Tawonekana takapinda muchikepe, asi ivo vakadzokera kwavo.
6Kisha tuliagana; sisi tukapanda meli nao wakarudi makwao.
7Isu takati tapedza rwendo kubva Tire, tikasvika Pitoremai, tikakwazisa hama, tikagara navo zuva rimwe.
7Sisi tuliendelea na safari yetu kutoka Tiro tukafika Tolemai ambapo tuliwasalimu ndugu zetu, tukakaa nao siku moja.
8Zvino fume isu taiva veboka raPauro tikabva, tikasvika Kesariya; zvino tikapinda mumba maFiripi muevhangeri, waiva umwe wevanomwe, tikagara naye.
8Kesho yake tuliondoka tukaenda Kaisarea. Huko Kaisarea tulikwenda nyumbani kwa mhubiri Filipo. Yeye alikuwa mmoja wa wale saba waliochaguliwa kule Yerusalemu.
9Iyeyu wakange ane vakunda vana, mhandara dzaiporofita.
9Alikuwa na binti watatu ambao walikuwa na kipaji cha unabii.
10Zvino takati tichigarap mazuva mazhinji, kwakauya kubva Judhiya umwe muporofita wainzi Agabhusi,
10Baada ya kukaa huko siku kadhaa, nabii mmoja aitwaye Agabo alifika kutoka Yudea.
11uye wakati asvika kwatiri, akatora bhanhire raPauro, akazvisunga makumbo nemaoko, akati: Mweya Mutsvene unoreva kudai: Saizvozvo vaJudha paJerusarema vachasunga murume, mwene webhanhire iri, nekumuisa mumaoko avahedheni.
11Alitujia, akachukua mkanda wa Paulo, akajifunga mikono na miguu, akasema "Roho Mtakatifu asema hivi: Wayahudi kule Yerusalemu watamfunga namna hii mtu mwenye ukanda na kumtia mikononi mwa watu wa mataifa."
12Zvino takati tichinzwa zvinhu izvi, isu tose nevenzvimbo iyo tikamukumbirisa kuti arege kukwira kuJerusarema.
12Tuliposikia hayo, sisi na wale watu wengine waliokuwa hapo tulimsihi Paulo asiende Yerusalemu.
13Asi Pauro akapindura, akati; Munoitei, muchichema nekuodza moyo wangu? Nekuti ini ndakagadzirira kwete kusungwa chete, asi nekufa paJerusarema nekuda kwezita raIshe Jesu.
13Lakini yeye alijibu, "Mnataka kufanya nini? Mnataka kuvunja moyo wangu kwa machozi? Niko tayari siyo tu kutiwa ndani kule Yerusalemu, ila hata kufa kwa ajili ya Bwana Yesu."
14Zvino wakati achiramba kudzorwa, tikanyarara tikati: Kuda kwaIshe ngakuitwe.
14Tuliposhindwa kumshawishi tulinyamaza, tukasema tu: "Mapenzi ya Bwana yafanyike"
15Zvino shure kwem, takarongedza, tikakwira kuJerusarema.
15Baada ya kukaa pale kwa muda, tulifunga mizigo yetu, tukaendelea na safari kwenda Yerusalemu.
16Nevamwe vadzidzi veKesariya vakaenda nesu, uye vakauya neumwe Minaasoni weSaipuresi, mudzidzi wakare watainogara naye.
16Wengine kati ya wale wafuasi wa Kaisarea walienda pamoja nasi, wakatupeleka nyumbani kwa Mnasoni ambaye tulikuwa tunakwenda kukaa naye kwa muda. Mnasoni alikuwa mwenyeji wa Kupro na alikuwa amekuwa muumini kwa siku nyingi.
17Zvino takati tichisvika kuJerusarema, hama dzikatigamuchira nemufaro.
17Tulipofika Yerusalemu, ndugu waumini walitupokea vizuri sana.
18Fume Pauro akapinda nesu kuna Jakobho; nevakuru vose vakange varipo.
18Kesho yake Paulo alikwenda pamoja nasi kumwamkia Yakobo, na wazee wote wa kanisa walikuwako pia.
19Zvino wakati avakwazisa, ndokuvarondedzera chimwe nechimwe chezvinhu zvakaitwa naMwari pakati pevahedheni nekushumira kwake.
19Baada ya kuwasalimu, Paulo aliwapa taarifa kamili kuhusu yote Mungu aliyokuwa ametenda kati ya mataifa kwa njia ya utumishi wake.
20Ivo vakati vachizvinzwa, vakakudza Ishe, vakati kwaari: Unoona, hama, kuti zvuru zvingani zvevaJudha vanotenda; vose vanoshingairira murairo;
20Waliposikia hayo, walimtukuza Mungu. Kisha wakamwambia Paulo, "Ndugu, unaweza kuona kwamba kuna maelfu ya Wayahudi ambao sasa wamekuwa waumini na wote hao wanashika kwa makini Sheria ya Mose.
21zvino vakaudzwa nezvako kuti iwe unodzidzisa vaJudha vose vari pakati pevahedheni kuti vasiye Mozisi, uchiti varege kudzingisa vana, kana kufamba netsika.
21Wamepata habari zako kwamba umekuwa ukiwafundisha Wayahudi wanaoishi kati ya mataifa mengine kuwa wasiijali Sheria ya Mose, wasiwatahiri watoto wao na kwamba wasizifuate mila za Wayahudi.
22Zvino chii? Zvirokwazvo zvakafanira kuti chaunga chiungane, nekuti vachanzwa kuti wasvika.
22Sasa, mambo yatakuwaje? Ni dhahiri kuwa watapata habari kwamba umekwisha wasili hapa.
23Naizvozvo ita izvi zvatinotaura kwauri: Tine varume vana vane mhiko;
23Basi, fanya kama tunavyokushauri. Tunao hapa watu wanne ambao wameweka nadhiri.
24zvino uvatore, uzvinatse pamwe navo, uvaripire kuti vaveure misoro; kuti vose vazive kuti zvose zvavakaudzwa maererano newe hapana zviripo; asi iwewo pachako unofamba zvakanaka uchichengeta murairo.
24Jiunge nao katika ibada ya kujitakasa, ukalipe na gharama zinazohusika, kisha wanyolewe nywele zao. Hivyo watu wote watatambua kwamba habari zile walizoambiwa juu yako hazina msingi wowote, na kwamba wewe binafsi bado unaishi kufuatana na maagizo ya Sheria za Mose.
25Asi maererano nevahedheni vanotenda, takavanyorera nekutema kuti vasachengeta zvinhu zvakadai, kunze kwekuti vazvidzore pane zvakabayirwa zvifananidzo, neropa nezvakadzipwa neupombwe.
25Kuhusu wale watu wa mataifa mengine ambao wamekuwa waumini, tumekwisha wapelekea barua tukiwaambia mambo tuliyoamua: wasile chochote kilichotambikiwa miungu ya uongo, wasinywe damu, wasile nyama ya mnyama aliyenyongwa, na wajiepushe na uasherati."
26Ipapo Pauro akatora varume avo zuva raitevera, akazvinatsa pamwe navo, akapinda mutembere kuti azivise kupera kwemazuva okunatsa, kusvikira kwabairwa chibairo cheumwe neumwe.
26Basi, kesho yake Paulo aliwachukua wale watu akafanya ibada ya kujitakasa pamoja nao. Kisha akaingia Hekaluni kutoa taarifa kuhusu mwisho wa siku za kujitakasa na kuhusu dhabihu itakayotolewa kwa ajili ya kila mmoja wao.
27Zvino mazuva manomwe akati opera, vaJudha vaibva Asia vakamuona mutembere, vakamutsa vanhu vose vakaisa maoko kwaari.
27Wakati siku hizo saba zilipokaribia kuisha, Wayahudi waliokuwa wametoka katika mkoa wa Asia walimwona Paulo Hekaluni. Wakachochea hasira kati ya kundi lote la watu, wakamtia nguvuni
28vakadanidzira, vachiti: Varume vaIsraeri, batsirai! Uyu ndiye munhu unodzidzisa vose kose-kose zvinopesana nevanhu, nemurairo, nenzvimbo ino, pamusoro pazvo unouisa vaGiriki mutembere, achisvibisa nzvimbo ino tsvene.
28wakipiga kelele: "Wananchi wa Israeli, msaada, msaada! Huyu ndiye yule mtu anayewafundisha watu kila mahali mambo yanayopinga watu wa Israeli, yanayopinga Sheria ya Mose na mahali hapa patakatifu. Hata sasa amewaingiza watu wa mataifa mengine Hekaluni na kupatia najisi mahali hapa patakatifu."
29Nekuti vakange vamboona Trofimo muEfeso anaye muguta, wavaifungidzira kuti Pauro wakamuuisa mutembere.
29Sababu ya kusema hivyo ni kwamba walikuwa wamemwona Trofimo mwenyeji, wa Efeso, akiwa pamoja na Paulo mjini, wakadhani kwamba Paulo alikuwa amemwingiza Hekaluni.
30Neguta rose rakanyonganiswa, vanhu vakamhanyira pamwe; vakabata Pauro, vakamukwevera kunze kwetembere, mikova ikazarirwa pakarepo.
30Mji wote ulienea ghasia; watu wakaja kutoka pande zote, wakamkamata Paulo, wakamburuta, wakamtoa nje ya Hekalu na papo hapo milango ya Hekalu ikafungwa.
31Zvino vakati vachitsvaka kumuuraya, shoko rikakwira kumukuru wechuru chemazana chehondo, kuti Jerusarema rose ranyonganiswa.
31Walikuwa tayari kumuua, lakini habari zilimfikia mkuu wa jeshi la Kiroma kuwa Yerusalemu yote ilikuwa imejaa ghasia.
32Iye pakarepo akatora mauto nevakuru vezana, akaburuka achimhanyira kwavari. Ivo vakati vachiona mukuru wechuru chemazana nemauto, vakarega kurova Pauro.
32Mara, mkuu wa jeshi akawachukua askari na jemadari, akalikabili lile kundi la watu. Nao walipomwona mkuu wa jeshi na askari, wakaacha kumpiga Paulo.
33Zvino mukuru wechuru chemazana akaswedera, akamubata, ndokuraira kuti asungwe nemaketani maviri; akabvunza kuti wainzi ani, uye kuti waitei.
33Mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamtia nguvuni na kuamuru afungwe minyororo miwili. Kisha akauliza, "Ni mtu gani huyu, na amefanya nini?"
34Zvino vamwe pakati pevazhinji vakadanidzira chimwe chinhu, vamwe chimwe; zvino iye asingagoni kuziva chokwadi noekuda kwenyonganyonga, akaraira kuti vamuise kuimba yemauto.
34Wengine katika lile kundi la watu walikuwa wanapayuka kitu hiki na wengine kitu kingine. Kwa sababu ya ghasia hiyo, mkuu wa jeshi hakufaulu kujua kisa kamili. Hivyo, aliamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome.
35Wakati achisvika pamitanho, akaita zvekutakurwa nemauto nekuda kwebongozozo rechaunga;
35Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.
36nekuti chaunga chevanhu chakatevera, chichidanidzira, chichiti: Mubvisei!
36Kwa maana kundi kubwa la watu walimfuata wakipiga kelele, "Muulie mbali!"
37Zvino Pauro oda kupinzwa muimba yemauto wakati kumukuru wechuru: Ko ndingataura nemwi here? Iye akati: Unoziva chiGiriki here?
37Walipokuwa wanamwingiza ndani ya ngome, Paulo alimwomba mkuu wa jeshi akisema, "Naweza kukwambia kitu?" Yule mkuu wa jeshi akamjibu, "Je unajua Kigiriki?
38Ko hausi uya muEgipita wakadeya kumutsa bongozozo pamazuva apfuura here; akaendesa murenje zvuru zvina zvevarume vaiva mhondi?
38Kwani wewe si yule Mmisri ambaye hivi majuzi alianzisha uasi na kuwaongoza majahili elfu nne hadi jangwani?"
39Asi Pauro wakati: Ini ndiri munhu muJudha weTaso muKirikia, munhu weguta risiri duku. Zvino ndinokukumbirai: Nditenderei kutaura kuvanhu.
39Paulo akajibu, "Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso katika Kilikia; mimi ni raia wa mji maarufu. Tafadhali, niruhusu niongee na watu.
40Zvino wakati amutendera, Pauro akamira pamitanho akaninira kuvanhu neruoko; zvino vakati vanyarara kwazvo, akataura kwavari nerurimi rwechiHebheru achiti:
40Yule mkuu wa jeshi akamruhusu. Hivyo Paulo alisimama juu ya ngazi, akawapungia mkono wale watu na walipokaa kimya, akaanza kuongea nao kwa Kiebrania.