Shona

Swahili: New Testament

Acts

27

1Zvino kwakati kwatemwa kuti tiende Itaria nechikepe, vakakumikidza Pauro nevamwe vasungwa kuna Jurio mukuru wezana, wehondo yaAgasito.
1Walipokwisha amua tusafiri mpaka Italia, walimweka Paulo pamoja na wafungwa wengine chini ya ulinzi wa Yulio aliyekuwa ofisa wa jeshi katika kikosi kiitwacho "Kikosi cha Augusto."
2Zvino takati tapinda muchikepe cheAdhiramitiyamu, chaiva choda kuenda nepamisha yemahombekombe eAsia, tikabva muchikepe Arisitako muMakedhonia weTesaronika anesu.
2Tulipanda meli ya Adiramito iliyokuwa inasafiri na kupitia bandari kadhaa za mkoa wa Asia, tukaanza safari. Aristarko, mwenyeji wa Makedonia kutoka Thesalonika, alikuwa pamoja nasi.
3Fume tikabata Sidhoni, Juriasi akaitira Pauro zvakanaka, akamutendera kuti aende kushamwari dzake, kuti abatsirwe.
3Kesho yake tulitia nanga katika bandari ya Sidoni. Yulio alimtendea Paulo vizuri kwa kumruhusu awaone rafiki zake na kupata mahitaji yake.
4Takati tabva ipapo, tikapfuura nechikepe nenyasi kweSaipuresi, nekuti mhepo yaitipikisa.
4Kutoka huko tuliendelea na safari, lakini kwa kuwa upepo ulikuwa unavuma kwa kasi kutujia kwa mbele, tulipitia upande wa kisiwa cha Kupro ambapo upepo haukuwa mwingi.
5Zvino takati tayambuka gungwa reKirikia nePamufiriya, takasvika Maira yeRisia.
5Halafu tulivuka bahari ya Kilikia na Pamfulia, tukatia nanga Mura, mji wa Lukia.
6Ipapo mukuru wezana akawana chikepe cheAreksandira chaienda Itaria, ndokutipinzamo.
6Hapo yule ofisa alikuta meli moja ya Aleksandria iliyokuwa inakwenda Italia, na hivyo akatupandisha ndani.
7Zvino takati tananaira nechikepe mazuva mazhinji, tikasvika pakatarisana neKinido nemanainai, mhepo isingatitenderi, tikapfuura nenyasi kweKirete, mhiri kwakatarisana neSarimoni.
7Kwa muda wa siku nyingi tulisafiri polepole, na kwa shida tulifika karibu na Nido. Kwa sababu upepo ulikuwa bado unatupinga, tuliendelea mbele moja kwa moja tukapitia upande wa Krete karibu na rasi Salmone ambapo upepo haukuwa mwingi.
8Tikapapfuura nemanainai, ndokusvika pane imwe nzvimbo panonzi Zororo Rakanaka, pedo neguta reRasea.
8Tulipita kando yake polepole tukafika mahali paitwapo "Bandari Nzuri", karibu na mji wa Lasea.
9Zvino nguva huru yakati yapfuura, nekufamba nechikepe kwava nenjodzi, nekuti kutsanya kwakange kwatopfuura, Pauro akavakurudzira,
9Muda mrefu ulikuwa umepita, na hata siku ya kufunga ilikuwa imekwisha pita. Sasa ilikuwa hatari sana kusafiri kwa meli. Basi, Paulo aliwapa onyo:
10achiti kwavari: Varume, ndinoona kuti rwendo urwu ruchava nekukuvara nekurashikirwa kukuru, zvisati zviri zvemutoro nechikepe chete, asi nekweupenyu hweduwo.
10"Waheshimiwa, nahisi kwamba safari hii itakuwa ya shida na hasara nyingi si kwa shehena na meli tu, bali pia kwa maisha yetu."
11Asi mukuru wezana wakateerera mufambisi wechikepe nemwene wechikepe, kupfuura zvinhu zvakarehwa naPauro.
11Lakini yule ofisa alivutiwa zaidi na maoni ya nahodha na ya mwenye meli kuliko yale aliyosema Paulo.
12Zvino sezvo zororo rakange risina kunaka kugara muchando, vazhinji vavo vakayambira kuti pabviwe, zvimwe vangasvika Fenikisi vagarepo muchando; ndiro zororo reKirete, rakange rakatarira chamhembe mavirira nemaodzanyemba mavirira.
12Kwa kuwa bandari hiyo haikuwa mahali pazuri pa kukaa wakati wa baridi, wengi walipendelea kuendelea na safari, ikiwezekana mpaka Foinike. Foinike ni bandari ya Krete inayoelekea kusini-magharibi na kaskazini-magharibi; na huko wangeweza kukaa wakati wa baridi.
13Zvino mhepo yechamhembe yakati ichirira zvishoma, vakafunga kuti vawana vavariro yavo, vakabvisa zvisungo zvechikepe, vakatevedza Kirita nechikepe.
13Basi, upepo mzuri wa kusi ulianza kuvuma, nao wakadhani wamefanikiwa lengo lao; hivyo wakang'oa nanga, wakaiendesha meli karibu sana na pwani ya Krete.
14Asi pasina nguva kwakasimuka mhepo ine simba ichipikisa, yainzi Yuro-kiridhoni*;
14Lakini haukupita muda, upepo mkali uitwao "Upepo wa Kaskazi" ulianza kuvuma kutoka kisiwani.
15Zvino chikepe chakati chabatwa, chisingagoni kumirisana nemhepo tikachirega chichienda.
15Upepo uliipiga ile meli, na kwa kuwa hatukuweza kuukabili, tukaiacha ikokotwe na huo upepo.
16Zvino takamhanya zasi kwechimwe chiwi chiduku, chinonzi Kraudha, tikakwanisa kusungira chikepe nemutsutsuru.
16Kisiwa kimoja kiitwacho Kanda kilitukinga kidogo na ule upepo; na tulipopita kusini mwake tulifaulu, ingawa kwa shida, kuusalimisha ule mtumbwi wa meli.
17Vakati vachisimudza, vakashandisa zvibatsiro, vakasunga chikepe nepasi; vachitya kuti vacharasikira pajecha reSitisi, vakaderedza maseiri, ndokungotorwa.
17Wale wanamaji waliuvuta mtumbwi ndani, kisha wakaizungushia meli kamba na kuifunga kwa nguvu. Waliogopa kwamba wangeweza kukwama kwenye ufuko wa bahari, pwani ya Libya. Kwa hiyo walishusha matanga na kuiacha meli ikokotwe na upepo.
18Zvino isu tichatambudzwa kwazvo nedutu remhepo, fume vakabudisa nhumbi kunze;
18Dhoruba iliendelea kuvuma na kesho yake wakaanza kutupa nje shehena ya meli.
19nezuva retatu, takarasa zvombo zvechikepe nemaoko edu.
19Siku ya tatu, wakaanza pia kutupa majini vifaa vya meli kwa mikono yao wenyewe.
20Zvino hakuna kuonekwa zuva kana nyeredzi mazuva mazhinji, nedutu risati riri duku remhepo richingosimba, kubva ipapo tariro yose yekuti tichaponeswa ikapera.
20Kwa muda wa siku nyingi hatukuweza kuona jua wala nyota; dhoruba iliendelea kuvuma sana, hata matumaini yote ya kuokoka yakatuishia.
21Zvino vakati vagara nguva refu vasingadyi, Pauro akamira pakati pavo, akati: Varume, mungadai makanditeerera mukasabva Kirete, mukapukunyuka kutambudzika nekurashikirwa uku.
21Baada ya kukaa muda mrefu bila kula chakula, Paulo alisimama kati yao, akasema, "Waheshimiwa, ingalikuwa afadhali kama mngalinisikiliza na kuacha kusafiri kutoka Krete. Kama mngalifanya hivyo tungaliiepuka shida hii na hasara hizi zote.
22Asi zvino ndinokusimudzirai kuti mutsunge moyo; nekuti hakungavi nekurashikirwa neupenyu pakati penyu, asi chikepe.
22Lakini sasa ninawaombeni muwe na moyo; hakuna hata mmoja wenu atakayepoteza maisha yake; meli tu ndiyo itakayopotea.
23Nekuti usiku hwuno kwakamira neni mutumwa waMwari, wandiri wake, newandinoshumira,
23Kwa maana jana usiku malaika wa yule Mungu ambaye mimi ni wake na ambaye mimi ninamwabudu alinitokea,
24achiti: Usatya Pauro; unofanira kumiswa pamberi paKesari; zvino tarira, Mwari wakupa vose vanofamba newe muchikepe.
24akaniambia: Paulo usiogope! Ni lazima utasimama mbele ya Kaisari; naye Mungu, kwa wema wake, amekufadhili kwa kuwaokoa wote wanaosafiri nawe wasiangamie.
25Naizvozvo varume, tsungai moyo; nekuti ndinotenda Mwari kuti zvichava sezvandaudzwa.
25Hivyo, waheshimiwa, jipeni moyo! Maana ninamwamini Mungu kwamba itakuwa sawa kama nilivyoambiwa.
26Asi tinofanira kukandirwa pane chimwe chiwi.
26Lakini ni lazima tutatupwa ufukoni mwa kisiwa fulani."
27Zvino usiku hwegumi neuna hwakati hwasvika, tichangozvuzvurudzwa kukwira nekuburuka muAdhira, panenge pakati peusiku vafambisi vechikepe vakafunga kuti voswedera kune imwe nyika.
27Usiku wa siku ya kumi na nne, tulikuwa tunakokotwa huku na huku katika bahari ya Adria. Karibu na usiku wa manane wanamaji walijihisi kuwa karibu na nchi kavu.
28Vakakanda gavi rekuyera vakawana mafadomi* makumi maviri; vakati vapfuura zvishoma, ndokukandazve gavi rekuyera, vakawana mafadomi* gumi nemashanu;
28Hivyo walitafuta kina cha bahari kwa kuteremsha kamba iliyokuwa imefungiwa kitu kizito, wakapata kina cha mita arobaini. Baadaye wakapima tena wakapata mita thelathini.
29zvino vakatya kuti zvimwe tichawira pamabwe, vakakanda zvimiso zvina neshure kwechikepe, vakashuva kuedza.
29Kwa sababu ya kuogopa kukwama kwenye miamba, waliteremsha nanga nne nyuma ya meli; wakaomba kuche upesi.
30Zvino vafambisi vechikepe vakati vachida kutiza muchikepe, vaburusira igwa mugungwa, vachiita sevanenge vokanda zvimiso mberi kwechikepe.
30Wanamaji walitaka kutoroka, na walikwisha kuteremsha ule mtumbwi majini, wakijisingizia kwamba wanakwenda kuteremsha nanga upande wa mbele wa meli.
31Pauro akati kumukuru wezana nekumauto: Kana ava vakasagara muchikepe, hamugoni kuponeswa.
31Lakini Paulo alimwambia yule ofisa wa jeshi na askari wake, "Kama wanamaji hawa hawabaki ndani ya meli, hamtaokoka."
32Ipapo mauto akagura mabote egwa vakarirega rikawa.
32Hapo wale askari walizikata kamba zilizokuwa zimeshikilia ule mtumbwi, wakauacha uchukuliwe na maji.
33Zvino kwakati koedza, Pauro akakumbirisa vose kuti vadye, achiti: Nhasi izuva regumi nechina, ramakagara muchitsanya, musingadyi chinhu.
33Karibu na alfajiri, Paulo aliwahimiza wote wale chakula: "Kwa siku kumi na nne sasa mmekuwa katika mashaka na bila kula; hamjala kitu chochote.
34Saka ndinokukumbirisai kuti mudye, nekuti ndezvekuzviponesa; nekuti hakuna ruvhudzi rumwe ruchawa pamusoro weumwe wenyu.
34Basi, ninawasihi mle chakula kwa maana mnakihitaji ili mweze kuendelea kuishi. Maana hata unywele mmoja wa vichwa vyenu hautapotea."
35Wakati areva zvinhu izvi akatora chingwa akavonga kuna Mwari pamberi pavo vose, akati achimedura akatanga kudya.
35Baada ya kusema hivyo, Paulo alichukua mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega, akaanza kula.
36Zvino vakatsunga moyo vose vakatorawo chikafu.
36Hapo wote wakapata moyo, nao pia wakala chakula.
37Zvino taiva tose muchikepe mweya mazana maviri nemakumi manomwe nevatanhatu.
37Jumla tulikuwa watu mia mbili na sabini na sita katika meli.
38Zvino vakati vadya vakaguta, vakarerusa chikepe vachikandira zviyo mugungwa.
38Baada ya kila mmoja kula chakula cha kutosha, walipunguza uzito wa meli kwa kutupa nafaka baharini.
39Kwakati kwaedza, vakasaziva nyika; asi vakaona zororo raiva nejecha, vakarangana kana zvaibvira kuitika, kuti vaise chikepe pariri.
39Kulipokucha, wanamaji hawakuweza kuitambua nchi ile, ila waliona ghuba moja yenye ufuko; wakaamua kutia nanga huko kama ikiwezekana.
40Ipapo vakagura zvimiso, vakazviisa mugungwa, vakasunungura zvisungo zvekudzoresa nazvo, vakasimudzira seiri repamberi kumhepo, vakaruramira kumahombekombe.
40Hivyo walikata nanga na kuziacha baharini, na wakati huohuo wakazifungua kamba zilizokuwa zimeufunga usukani, kisha wakatweka tanga moja mbele kushika upepo, wakaelekea ufukoni.
41Zvino vakati vachisvika panzvimbo pamasanganirano emakungwa maviri, vakagumhirisa chikepe pasi; muromo ukabatwa kwazvo usingazununguki, asi rutivi rweshure rukavhunika nesimba remafungu.
41Lakini walifika mahali ambapo mikondo miwili ya bahari hukutana, na meli ikakwama. Sehemu ya mbele ilikuwa imezama mchangani bila kutikisika. Sehemu ya nyuma ya meli ilianza kuvunjika vipandevipande kwa mapigo ya nguvu ya mawimbi.
42Zvino zano remauto raiva rekuuraya vasungwa, kuti zvimwe vamwe vangashambira vakatiza.
42Askari walitaka kuwaua wafungwa wote kwa kuogopa kwamba wangeogelea hadi pwani na kutoroka.
43Asi mukuru wezana achida kuponesa Pauro, akavadzivisa pazvinangwa zvavo; akaraira kuti vanogona kushambira, vatange kuzviwisira mugungwa, vaende kunyika;
43Lakini kwa vile yule ofisajeshi alitaka kumwokoa Paulo, aliwazuia wasifanye hivyo. Aliamuru wale waliojua kuogelea waruke kutoka melini na kuogelea hadi pwani,
44vamwe vakasara, vamwe pamatanda, vamwe panezvimwe zvipenga zvechikepe. Saizvozvo zvakaitika kuti vose vakapukunyukira kunyika vari vapenyu.
44na wengine wafuate wakijishikilia kwenye mbao au kwenye vipande vya meli iliyovunjika. Ndivyo sisi sote tulivyofika salama pwani.