1Nekuti Merikizedheki uyu, mambo weSaremi, mupristi waMwari Wekumusoro-soro, wakasangana naAbhurahamu achidzoka kubva kunoponda madzimambo, akamuropafadza,
1Melkisedeki alikuwa mfalme wa Salemu, na kuhani wa Mungu Mkuu. Abrahamu alipokuwa anarudi kutoka vitani ambako aliwaua wafalme, Melkisedeki alikutana naye akambariki,
2Abhurahamu wakapawo kwaari chegumi chezvose; iye pakutanga ari nekududzirwa mambo wekururama, uye shure kweizvozvo mambo weSaremi, ndokuti mambo werugare;
2naye Abrahamu akampa sehemu ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo. (Maana ya kwanza ya jina hili Melkisedeki ni "Mfalme wa Uadilifu"; na, kwa vile yeye alikuwa mfalme wa Salemu, jina lake pia lina maana ya "Mfalme wa Amani.")
3asina baba, asina mai, asina dzinza, asina mavambo amazuva, kana kuguma kweupenyu, asi wakafananidzwa neMwanakomana waMwari, unogara ari mupristi nekusingaperi.
3Baba yake na mama yake hawatajwi, wala ukoo wake hautajwi; haisemwi alizaliwa lini au alikufa lini. Anafanana na Mwana wa Mungu, na anaendelea kuwa kuhani daima.
4Zvino rangarirai kuti kukura kwakadini kweuyu, wakapiwa nateteguru Abhurahamu chegumi chezvaakapamba.
4Basi, mwaona jinsi mtu huyu alivyokuwa maarufu. Baba Abrahamu alimpa sehemu moja ya kumi ya vitu vyote alivyoteka vitani.
5Zvino zvirokwazvo avo vari vanakomana vaRevhi, vakagamuchira basa reupristi, vane murairo wekutora chegumi kuvanhu, zvichienderana nemurairo, ndiko kuti kuhama dzavo, kunyange vakabva muchiuno chaAbhurahamu;
5Tunajua vilevile kwamba kufuatana na Sheria, wana wa Lawi ambao ni makuhani, wanayo haki ya kuchukua sehemu ya kumi kutoka kwa watu, yaani ndugu zao, ingawaje nao ni watoto wa Abrahamu.
6asi iye dzinza rake risina kuverengerwa kwavari wakagamuchira chegumi kubva kuna Abhurahamu akamuropafadza iye wakange ane zvivimbiso.
6Lakini huyo Melkisedeki hakuwa wa ukoo wa Lawi, hata hivyo alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu; tena akambariki yeye ambaye alikuwa amepewa ahadi ya Mungu.
7Zvino pasina kupikisa kose, muduku unoropafadzwa nemukuru.
7Hakuna mashaka hata kidogo kwamba anayebariki ni mkuu zaidi kuliko yule anayebarikiwa.
8Uye pano vanhu vanofa vanogamuchira zvegumi; asi apo agamuchira uyo unopupurirwa kuti mupenyu.
8Tena, hao makuhani wanaopokea sehemu ya kumi, ni watu ambao hufa; lakini hapa anayepokea sehemu ya kumi, yaani Melkisedeki, anasemekana kwamba hafi.
9Zvino kunganzi, Revhiwo unogamuchira zvegumi iyewo wakapa zvegumi muna Abhurahamu;
9Twaweza, basi, kusema kwamba Abrahamu alipotoa sehemu moja ya kumi, Lawi (ambaye watoto wake hupokea sehemu moja ya kumi) alitoa sehemu moja ya kumi pia.
10Nekuti wakange achiri muchiuno chababa vake, apo Merikizedheki akamuchingamidza.
10Maana Lawi hakuwa amezaliwa bado, bali ni kama alikuwa katika mwili wa baba yake, Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye.
11Naizvozvo, kana kupedzeredzwa kwaivapo neupristi hweRevhi (nokuti pasi pahwo vanhu vakapiwa murairo), ko umwe mupristi waifanira kuzomukirei wenhevedzo yerudzi rwaMerikizedheki, asingaidzwi wenhevedzo yerudzi rwaAroni?
11Kutokana na ukuhani wa Walawi, watu wa Israeli walipewa Sheria. Sasa, kama huduma ya Walawi ingalikuwa kamilifu hapangekuwa tena na haja ya kutokea ukuhani mwingine tofauti, ukuhani ambao umefuata utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki, na si ule wa Aroni.
12Nekuti kana upristi hwuchishandurwa, zvinofanirawo kuti kuve neshanduko yemurairo.
12Maana ukuhani ukibadilika ni lazima Sheria nayo ibadilike.
13Nekuti iye unorehwa zvinhu izvi pamusoro pake wakange ari werumwe rudzi, rwakanga rusino munhu wakambobata basa paaritari.
13Naye Bwana wetu ambaye mambo hayo yote yanasemwa juu yake, alikuwa wa kabila lingine, na wala hakuna hata mmoja wa kabila lake aliyepata kutumikia madhabahuni akiwa kuhani.
14Nekuti zvinoonekwa pachena kuti Ishe wedu wakabva kuna Judha; irwo rudzi Mozisi rwaasina kumbotaura chinhu pamusoro parwo maererano neupristi.
14Inafahamika wazi kwamba yeye alizaliwa katika kabila la Yuda ambalo Mose hakulitaja alipokuwa anasema juu ya makuhani.
15Izvi zvinoratidzwawo pachena kwazvo, kana kuchimuka mumwe mupristi wakafanana naMerikizedheki,
15Tena jambo hili ni dhahiri zaidi: kuhani mwingine anayefanana na Melkisedeki amekwisha tokea.
16wakaitwa, kwete nenzira yemurairo wekuraira kwenyama, asi nesimba reupenyu hwusingaperi.
16Yeye hakufanywa kuwa kuhani kwa sheria na maagizo ya kibinadamu, bali kwa nguvu ya uhai ambao hauna mwisho.
17Nekuti iye unopupura achiti: Iwe uri mupristi nekusingaperi wenhevedzo yeimba yaMerikizedheki.
17Maana Maandiko yasema: "Wewe ni kuhani milele, kufuatana na utaratibu wa ukuhani wa Melkisedeki."
18Nekuti kuparadzwa kwemurairo wekutanga kwakaitwa nekuda kweutera hwawo, uye nekuti hauna maturo;
18Basi, ile amri ya zamani ilifutwa kwa sababu ilikuwa hafifu na isiyofaa kitu.
19Nekuti murairo hauna kuperedzera chinhu, asi kuuyisa tariro inopfuura pakunaka, yatinoswedera nayo kuna Mwari.
19Maana Sheria ya Mose haikuweza kukamilisha jambo lolote. Lakini sasa, mahali pake pamewekwa tumaini lililo bora zaidi ambalo kwalo tunaweza kumkaribia Mungu.
20uye, zvaasina kuitwa pasina mhiko;
20Zaidi ya hayo hapa pana kiapo cha Mungu. Wakati wale wengine walipofanywa makuhani hapakuwako kiapo.
21(nekuti ivo vakaitwa vapristi pasina mhiko, asi uyu nemhiko, naiye wakati kwaari: Ishe wakapika, uye haangazvidembi achiti: Iwe uri mupristi nekusingaperi wenhevedzo yeimba yaMerikizedheki);
21Lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alipomwambia: "Bwana ameapa, wala hataigeuza nia yake: Wewe ni kuhani milele."
22Saizvozvo Jesu wakaitwa rubatso rwesungano inopfuura pakunaka.
22Basi, kutokana na tofauti hii, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.
23Ivo zvirokwazvo vaiva vapristi vazhinji, nekuti havana kutenderwa kugara nekusingaperi nechikonzero cherufu.
23Kuna tofauti nyingine pia: hao makuhani wengine walikuwa wengi kwa sababu walikufa na hawakuweza kuendelea na kazi yao.
24Asi uyu nekuti unogara nekusingaperi une upristi hwusingapfuuriri.
24Lakini Yesu si kama wao, yeye anaishi milele; ukuhani wake hauondoki kwake.
25Naizvozvo une simbawo rekuponesa kwakaperedzerwa avo vanouya kuna Mwari naye, zvaanongoraramira kuvareverera nekusingaperi.
25Hivyo, yeye anaweza daima kuwaokoa kabisa wote wanaomwendea Mungu kwa njia yake, maana yeye anaishi milele kuwaombea kwa Mungu.
26Nekuti mupristi mukuru wakadaro ndiye wakatifanira, mutsvene, usina chakaipa, usina kusvibiswa, wakaparadzaniswa nevatadzi, wakakwidzwa kupfuura matenga;
26Basi, Yesu ndiye Kuhani Mkuu ambaye anatufaa sana katika mahitaji yetu. Yeye ni mtakatifu, hana hatia wala dhambi ndani yake; hayumo katika kundi la wenye dhambi na ameinuliwa mpaka juu mbinguni.
27usingatsvaki zuva nezuva, sevaya vapristi vakuru kubayira pakutanga pamusoro pezvivi zvake, pashure zvevanhu; nekuti wakaita izvozvi kamwe, zvikapera, paakazvibayira iye.
27Yeye si kama wale makuhani wakuu wengine; hana haja ya kutoa dhabihu kila siku, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu. Yeye alifanya hivyo mara moja tu wakati alipojitoa yeye mwenyewe, na hiyo yatosha kwa nyakati zote.
28Nekuti murairo unogadza vanhu kuva vapristi vakuru vane utera; asi shoko remhiko, rakatevera murairo, rinogadza Mwanakomana, wakapedzeredzwa nekusingaperi.
28Sheria ya Mose huwateua watu waliokuwa dhaifu kuwa makuhani wakuu; lakini ahadi ya Mungu aliyoifanya kwa kiapo na ambayo imefika baada ya sheria imemteua Mwana ambaye amefanywa mkamilifu milele.