Shona

Swahili: New Testament

Hebrews

9

1Zvino zvirokwazvo sungano yekutanga yakanga ine zviga zvekushumira Mwari, nenzvimbo tsvene yenyika.
1Agano la kwanza lilikuwa na taratibu zake za ibada na pia mahali patakatifu pa ibada palipojengwa na watu.
2Nekuti tende rekutanga rakagadzirwa raiva nechigadziko chemwenje, netafura, nezvingwa zvekuratidza; ndiyo inonzi nzvimbo tsvene.
2Palitengenezwa hema ambayo sehemu yake ya nje iliitwa Mahali Patakatifu. Humo mlikuwa na kinara cha taa, meza na mikate iliyotolewa kwa Mungu.
3Zvino mberi kwevheiri rechipiri kwakange kune tende rainzi nzvimbo tsvene kune dzose,
3Nyuma ya pazia la pili, kulikuwa na hema iliyoitwa Mahali Patakatifu Kupita Pote.
4yakanga ine mudziyo wendarama wezvinonhuhwira, neareka yesungano yakanga yakanamwa nhivi dzose nendarama, imomo makanga mune hari yendarama yakanga ine mana, netsvimbo yaAroni yakadeya kutunga, nemahwendefa esungano;
4Humo mlikuwa na madhabahu ya dhahabu kwa ajili ya kufukizia ubani, na Sanduku la Agano, ambalo lilikuwa limepakwa dhahabu pande zote, na ndani yake mlikuwa na chungu cha dhahabu kilichokuwa na mana; fimbo ya Aroni iliyokuwa imechanua majani, na vile vibao viwili vilivyoandikwa agano.
5pamusoro payo makerubhi okubwinya, akadzikatira chigaro chetsitsi; chatisingagoni kurondedzera tichiita chimwe chimwe ikozvino.
5Juu ya hilo Sanduku kulikuwa na viumbe vilivyodhihirisha kuweko kwa Mungu, na mabawa yao yalitanda juu ya mahali ambapo dhambi huondolewa. Lakini sasa, hatuwezi kusema kinaganaga juu ya mambo hayo.
6Zvinhu izvi zvakati zvagadzirwa saizvozvo, vaparista vaipinda nguva dzose mutende rekutanga, vachiperedzera mabasa ekushumira Mwari;
6Mipango hiyo ilitekelezwa kisha ikawa desturi kwa makuhani kuingia kila siku katika hema ya nje kutoa huduma zao.
7asi kune yechipiri mupristi mukuru waipinda ari oga kamwe pagore, kwete asina ropa, raaizvibayirira iye nezvitadzo zvevanhu;
7Lakini kuhani Mkuu peke yake ndiye anayeingia katika lile hema la pili; naye hufanya hivyo mara moja tu kwa mwaka. Anapoingia ndani huwa amechukua damu ambayo anamtolea Mungu kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi ambazo watu wamezitenda bila wao wenyewe kujua.
8Mweya Mutsvene achiratidza ichi, kuti nzira inoenda kunzvimbo tsvene kune dzose yakanga isati yataridzwa tende rekutanga richimire;
8Kutokana na taratibu hizo Roho Mtakatifu anafundisha wazi kwamba wakati ile hema ya nje ingali ipo imesimama, njia ya kuingia Mahali Patakatifu haijafunguliwa.
9wakange uri mufananidzo wenguva iyo yavaibayira nayo zvose zvipo nezvibayiro, zvisingagoni kuperedzera iye unoshumira pahana yake,
9Jambo hili ni mfano wa nyakati za sasa. Linaonyesha kwamba zawadi na dhabihu zinazotolewa kwa Mungu haziwezi kuifanya mioyo ya wale wanaoabudu kuwa mikamilifu,
10nekuti zvinongova zvechikafu, nezvimwiwa, nekushamba kwakasiyana siyana nezviga zvenyama zvavakatemwa kusvikira panguva yekuvandudzwa.
10kwani haya yote yanahusika na vyakula, vinywaji na taratibu mbalimbali za kutawadha. Yote hayo ni maagizo ya njenje tu; na nguvu yake hukoma wakati Mungu atakaporekebisha vitu vyote.
11Asi Kristu wakati asvika ari mupristi mukuru wezvinhu zvakanaka zvinozouya, netende rakapfuura pakukura nepakuperedzerwa, risina kuitwa nemaoko, ndiko kuti risati riri rekusikwa kuno,
11Lakini Kristo amekwisha fika, akiwa Kuhani Mkuu wa mambo yaliyo mema, ambayo sasa yamekwisha fika. Yeye anatoa huduma zake katika hema iliyo bora na kamilifu zaidi, isiyofanywa kwa mikono ya watu, yaani isiyo ya ulimwengu huu ulioumbwa.
12kwete neropa rembudzi kana mhuru, asi neropa rake pachake wakapinda kamwe, panzvimbo tsvene, atiwanira rudzikinuro rwusingaperi.
12Yeye aliingia Mahali Patakatifu mara moja tu, tena hakuwa amechukua damu ya mbuzi wala ng'ombe, bali aliingia kwa damu yake yeye mwenyewe, akatupatia ukombozi wa milele.
13Nekuti kana ropa renzombe nerembudzi nemadota etsiru, kana zvichisaswa pavakasvibiswa, zvichivaita vatsvene kusvika pakunatswa panyama,
13Watu waliokuwa najisi kidini waliweza kutakasika na kuwa safi waliponyunyiziwa damu ya mbuzi na ya ng'ombe pamoja na majivu ya ndama.
14zvikuru sei ropa raKrsitu, iye kubudikidza neMweya wekusingaperi wakazvipa sechibayiro kuna Mwari, chisina gwapa kuti richanatsa hana dzenyu pamabasa akafa, kuti mushumire Mwari mupenyu.
14Lakini, kwa damu ya Kristo, mambo makuu zaidi hufanyika! Kwa nguvu za Roho wa milele, Kristo alijitolea mwenyewe dhabihu kamilifu kwa Mungu. Damu yake itatutakasa dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo kifo, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai.
15uye nemhaka iyi ndiye murevereri wesungano itsva, kuti nenzira yerufu kuitira rudzikunuro pakudarika pasi pesungano yekutanga, avo vakadamwa vagopiwa chivimbiso chenhaka isingaperi.
15Kwa hiyo, Kristo ndiye aliyeratibisha agano jipya ili wale walioitwa na Mungu wazipokee baraka za milele walizoahidiwa. Watazipata, kwani kifo kimetokea ambacho huwakomboa watu kutoka yale makosa waliyofanya wakati wa lile agano la kale.
16Nekuti apo pane rugwaro rwenhaka, panofanira kuvapowo rufu rwaiye wakaiita.
16Kwa kawaida wosia hutambuliwa tu kama kifo cha yule aliyeufanya huo wosia kimethibitishwa.
17Nekuti testamendi ine simba kune vakafa; nekuti haitongovi nesimba kana wakaiita achiri mupenyu.
17Wosia hauwezi kutekelezwa mpaka kumetokea kifo, kwani wosia hauna maana ikiwa mwenye kuufanya bado anaishi.
18Naizvozvo kana yekutanga haina kugadzwa pasina ropa.
18Ndiyo maana hata lile agano la kwanza halikuwekwa bila damu kumwagwa.
19Nekuti zviga zvose zvakati zvataurwa kuvanhu vose naMozisi zvichienderana nemurairo, wakatora ropa remhuru nembudzi, nemvura nemakushe matsvuku, nehisopi*, akasasa zvose bhuku romene nevanhu vose,
19Kwanza Mose aliwatangazia watu wote amri zote kama ilivyokuwa katika Sheria; kisha akachukua damu ya ndama pamoja na maji, na kwa kutumia majani ya mti uitwao husopo na pamba nyekundu, akakinyunyizia kile kitabu cha Sheria na hao watu wote.
20achiti: Iri iropa resungano yamakarairwa naMwari.
20Mose alisema: "Hii ni damu inayothibitisha agano mliloamriwa na Mungu mlitii."
21saizvozvo wakasasa neropa zvose tende nemidziyo yose yekushumira.
21Vilevile Mose aliinyunyizia damu ile hema na vyombo vya ibada.
22Zvinhu zvinenge zvose zvinonatswa nemurairo neropa; uye pasina kuteurwa kweropa, hapana kangamwiro.
22Naam, kadiri ya Sheria karibu kila kitu chaweza kutakaswa kwa damu, na dhambi nazo zaondolewa tu ikiwa damu imemwagwa.
23Naizvozvo zvakafanira kuti mifananidzo yezvinhu zviri kumatenga inatswe nezvizvi; asi zvinhu zvekudenga pachazvo zvinatswe nezvibayiro zvakanaka kupfuura izvi.
23Vitu hivi ambavyo ni mfano tu wa mambo halisi ya mbinguni, vililazimika kutakaswa kwa namna hiyo. Lakini vitu vya mbinguni huhitaji dhabihu iliyo bora zaidi.
24Nekuti Kristu haana kupinda panzvimbo tsvene yakaitwa nemaoko, inofananidza iyo iri chaiyo, asi wakapinda kudenga komene, kuti ikozvino aonekwe pamberi paMwari nekuda kwedu;
24Maana Kristo hakuingia Mahali Patakatifu palipojengwa kwa mikono ya watu, ambapo ni mfano tu wa kile kilicho halisi. yeye aliingia mbinguni kwenyewe ambako sasa anasimama mbele ya Mungu kwa ajili yetu.
25kwetewo kuti azvibayire kazhinji, semupristi mukuru unopinda panzvimbo tsvene gore rimwe nerimwe neropa rezvimwe;
25Kuhani Mkuu wa Wayahudi huingia Mahali Patakatifu kila mwaka akiwa amechukua damu ya mnyama; lakini Kristo hakuingia humo ili ajitoe mwenyewe mara nyingi,
26dai zvakanga zvakadaro, waifanira kutambura kazhinji kubva pakuvambwa kwenyika; asi zvino wakaonekwa kamwe pakupedzisira kwenguva, kuti abvise chivi nechibayiro chake omene.
26maana ingalikuwa hivyo, Kristo angalipaswa kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa ulimwengu. Lakini sasa nyakati hizi zinapokaribia mwisho wake, yeye ametokea mara moja tu, kuondoa dhambi kwa kujitoa yeye mwenyewe dhabihu.
27Uye sezvazvakatemerwa vanhu kuti vafe kamwe, shure kwezvizvi kutongwa;
27Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu,
28saizvozvo Kristu abayirwa kamwe kuti atakure zvivi zvevazvinji, uchazoonekwa rwechipiri, asina chivi, naivo vanomutarira, guve ruponeso.
28vivyo hivyo Kristo naye alijitoa dhabihu mara moja tu kwa ajili ya kuziondoa dhambi za wengi. Atakapotokea mara ya pili si kwa ajili ya kupambana na dhambi, bali ni kwa ajili ya kuwaokoa wale wanaomngojea.