Shona

Swahili: New Testament

Jude

1

1Judha, muranda waJesu Kristu, munin'ina waJakobho, kuna vakaitwa vatsvene naMwari Baba, vakachengetedzwa muna Jesu Kristu, vakadamwa:
1Mimi Yuda, mtumishi wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, nawaandikia ninyi mlioitwa na Mungu na ambao mnaishi katika upendo wa Mungu Baba, na katika ulinzi wa Yesu Kristo.
2Tsitsi kwamuri, nerugare, nerudo, ngazvipamhidzirwe.
2Nawatakieni huruma, amani na upendo kwa wingi.
3Vadiwa, ndakati ndichipa kushingaira kose pakunyorerai zvekuponeswa kwedu kumwe chete, zvakanga zvakandifanira chose kukunyorerai, ndichikurudzira kuti murwire nemoyo wose rutendo rwakambopiwa vatsvene kamwe.
3Ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo Mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote.
4Nekuti kuna vamwe varume vakapinda nokunyangira, vakagara vagadzirwa kare kutongwa uku, vanhu vasingadi Mwari vanoshandura nyasha dzaMwari wedu kuita unzenza, vachiramba Tenzi uyu mumwe woga Mwari, naIshe wedu Jesu Kristu.
4Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa faida ya maisha yao mabaya, wanaupotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye peke yake kiongozi na Bwana wetu. Maandiko Matakatifu yalikwisha bashiri tangu awali hukumu inayowangojea watu hao.
5Zvino ndinoda kukuyeuchidzai, kunyange maimboziva izvi, kuti Ishe amborwira vanhu munyika yeEgipita, pashure akazoparadza avo vakanga vasingatendi.
5Nataka kuwakumbusheni mambo fulani ambayo mmekwisha yajua: kumbukeni jinsi Bwana alivyowaokoa watu wa Israeli na kuwatoa katika nchi ya Misri, lakini baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.
6Navatumwa vasina kuchengeta ukuru hwokutanga, asi vakasiya ugaro hwavo hwomene, wakavachengeta muzvisungo zvekusingaperi pasi perima kusvikira pakutongwa kwezuva guru;
6Na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, Mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe Siku ile kuu.
7seSodhoma neGomora, namaguta akaapoteredza, akazvikumikidza kuupombwe nenzira yakafanana nawo nokutevera imwe nyama, akaitwa mufananidzo, akatambudzika pakurangwa nomoto usingaperi.
7Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote.
8Nenzira imwe chete iyoyo ava vachirota vanosvibisa nyama yavo, vachiramba vukuru, nokutuka ukuru.
8Hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu.
9Asi Mikaeri mutumwa mukuru nguva yaakarwa nadhiabhorosi, akakakavara pamusoro pomuviri waMozisi, wakatya kumupa mhosva namashoko okutuka, asi wakati: Ishe ngaakutsiure.
9Hata Mikaeli, malaika mkuu, hakufanya hivyo. Katika ule ubishi kati yake na Ibilisi waliobishana juu ya mwili wa Mose, Mikaeli hakuthubutu kumhukumu Ibilisi kwa matusi; ila alisema: "Bwana mwenyewe na akukaripie."
10Asi ava vanotuka zvose zvavasingazivi; asi izvo zvavanoziva pachizvarigo vakaita semhuka dzisingazivi, vanozviparadza muzvimhu izvozvo.
10Lakini watu hawa hutukana chochote wasichokielewa; mambo yaleyale wanayoyajua kwa silika kama vile wanyama wanayoyajua ndiyo yanayowaangamiza.
11Vachaona nhamo! Nekuti vakafamba nenzira yaKaini, vakazviwisira mukutsauka kwaBharami nekuda kwemubairo, vakaparadzwa nenharo dzaKora.
11Ole wao! Watu hao wamefuata mwenendo uleule wa Kaini. Kwa ajili ya fedha, wamejiingiza katika mkosi uleule wa Baalamu. Wameasi kama Kora alivyoasi na wameangamizwa kama yeye alivyoangamizwa.
12Ava mabwe akavanzika pamafundo enyu erudo, kana vachipemberera nemwi, vachizvifunda vasina kutya; makore asina mvura, anotinhwa nemhepo; miti yechando isina zvibereko, yakafa kaviri, yakadzurwa nemidzi;
12Kwa makelele yao yasiyo na adabu, watu hao ni kama madoa machafu katika mikutano yenu ya karamu ya Bwana. Hujipendelea wao wenyewe tu, na wako kama mawingu yanayopeperushwa huko na huko na upepo bila ya kuleta mvua. Wao ni kama miti isiyozaa matunda hata wakati wa majira yake, wamekufa kabisa.
13mafungu egungwa anopengereka, anopupuma nyadzi dzawo; nyeredzi dzinongombeya, vakachengeterwa kusviba kwerima nokusingaperi.
13Watu hao ni kama mawimbi makali ya bahari, na matendo yao ya aibu yanaonekana dhahiri kama vile mapovu ya mawimbi. Wao ni kama nyota zinazotangatanga, ambao Mungu amewawekea mahali pao milele katika giza kuu.
14NaEnokiwo wechinomwe kubva kuna Adhamu, wakaporofita zvaivava, achiti: Tarira, Ishe wakauya navatsvene vake zvuru zvamazana,
14Henoki, ambaye ni babu wa saba tangu Adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: "Sikilizeni! Bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
15kuti atonge pamusoro pavose, nokupa mhosva vose vasingadi Mwari pamusoro pamabasa avo ose okusada Mwari, avakaita nokusada Mwari, nepamusoro pemashoko avo ose makukutu aakataurirwa nevatadzi vasingadi Mwari.
15kutoa hukumu juu ya binadamu wote, kuwahukumu wote kwa ajili ya matendo yao yote maovu waliyotenda na kwa ajili ya maneno yote mabaya ambayo watu waovu walimkashifu nayo."
16Ava van'un'uni, vagunun'uni, vanofamba nokuchiva kwavo; uye miromo yavo inotaura zvekuzvikudza, vachichiva vanhu nekuda kwemubairo.
16Watu hawa wananung'unika daima na kuwalaumu watu wengine. Hufuata tamaa zao mbaya, hujigamba na kuwasifu watu wengine mno kusudi wafaulu katika mipango yao.
17Asi imwi vadiwa, rangarirai mashoko akagara ataurwa navaapositori vaIshe wedu Jesu Kristu;
17Lakini ninyi wapenzi wangu, kumbukeni yale mliyoambiwa hapo awali ni mitume wa Bwana wetu Yesu Kristo.
18kuti vakakuvudzai kuti nenguva yekupedzisira vaseki vachavako, vachafamba nokuchiva kwavo kwekusada Mwari.
18Waliwaambieni: "Siku za mwisho zitakapofika, watatokea watu watakaowadhihaki ninyi, watu wafuatao tamaa zao mbaya."
19Ndivo vanozviparadzanisa, ndevenyama, vasina Mweya.
19Hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na Roho wa Mungu.
20Asi imwi vadiwa, muchizvivaka parutendo rwenyu rwutsvene tsvene, muchinyengetera muMweya Mutsvene,
20Lakini ninyi, wapenzi wangu, endeleeni kujijenga kikamilifu katika imani yenu takatifu. Salini kwa nguvu ya Roho Mtakatifu,
21muzvichengete murudo rwaMwari, muchitarisira tsitsi dzaIshe wedu, Jesu Kristu, kusvikira kuupenyu hwusingaperi.
21na kubaki katika upendo wa Mungu, mkiwa mnamngojea Bwana wetu Yesu Kristo awapeni uzima wa milele kwa huruma yake.
22Ivai netsitsi navamwe muchipa mutsauko,
22Muwe na huruma kwa watu walio na mashaka;
23asi vamwe muvaponese nokutya, muchivabvuta pamoto; muchivenga kunyange nenguvo yakasvibiswa nenyama.
23waokoeni kwa kuwanyakua kutoka motoni; na kwa wengine muwe na huruma pamoja na hofu, lakini chukieni hata mavazi yao ambayo yamechafuliwa na tamaa zao mbaya.
24Zvino kuna iye unogona kukuchengetai pakugumburwa, nokukuteyai musina chamungapomerwa pamberi pokubwinya kwake nomufaro mukuru,
24Kwake yeye awezaye kuwalinda msije mkaanguka, na kuwaleta ninyi bila hatia mpaka mbele ya utukufu wake,
25kuna Mwari Muponesi wedu mumwe chete wakachenjera, ngakuve nokubwinya, neumambo, nesimba, neushe, zvose ikozvino nokusingaperi. Ameni.
25kwake yeye aliye peke yake Mungu, Mkombozi wetu, uwe utukufu, ukuu, nguvu na mamlaka kwa njia ya Kristo Bwana wetu, tangu zama zote, sasa na hata milele! Amina.