Shona

Swahili: New Testament

Matthew

25

1Panguva iyo ushe hwekumatenga huchafananidzwa nevasikana gumi vakatora marambi avo vakabuda kunochingamidza muwani.
1"Wakati huo, Ufalme wa mbinguni utafanana na wasichana kumi waliochukua taa zao, wakaenda kumlaki bwana arusi.
2Zvino vashanu vavo vakange vakachenjera, vashanu vari mapenzi.
2Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
3Avo vari mapenzi vakatora marambi avo, vakasatora mafuta pamwe navo.
3Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta.
4Asi vakachenjera vakatora mafuta mumidziyo yavo nemarambi avo.
4Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.
5Zvino muwani wakati achinonoka, vose vakatsumwaira vakavata.
5Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wanawali wote wote walisinzia, wakalala.
6Asi pakati peusiku kwakadanidzirwa: Tarirai, muwani ouya, budai munomuchingamidza!
6Usiku wa manane kukawa na kelele: Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.
7Zvino vasikana avo vose vakamuka, vakagadzira marambi avo.
7Hapo wale wanawali wote wakaamka, wakazitayarisha taa zao.
8Mapenzi akati kune vakachenjera: Tipei pamafuta enyu nekuti marambi edu odzima.
8Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara: Tupeni mafuta yenu kidogo maana taa zetu zinazimika.
9Asi vakachenjera vakapindura vachiti: Zvimwe haangakwaniri isu nemwi; asi zviri nani endai kune vanotengesa munozvitengera.
9Lakini wale wenye busara wakawaambia, Hayatatutosha sisi na ninyi! Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!
10Asi vakati vachienda kunotenga, muwani akasvika. Zvino vakange vakagadzirira vakapinda naye mumuchato, mukova ukapfigwa.
10Basi, wale wanawali wapumbavu walipokwenda kununua mafuta, bwana arusi akafika, na wale wanawali waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye katika jumba la arusi, kisha mlango ukafungwa.
11Pashure kwakauyavo vamwe vasikana, vachiti: Ishe, Ishe, tizarurirei!
11Baadaye wale wanawali wengine wakaja, wakaita: Bwana, bwana, tufungulie!
12Asi wakapindura akati: Zvirokwazvo ndinoti kwamuri: Handikuziviyi imwi.
12Lakini yeye akawajibu, Nawaambieni kweli, siwajui ninyi."
13Naizvozvo rindai, nekuti hamuzivi zuva kana nguva Mwanakomana wemunhu yaachauya.
13Kisha Yesu akasema, "Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
14Nekuti zvakaita semunhu wakafamba rwendo, akadana varanda vake, akavapa zvaaiva nazvo.
14"Itakuwa kama mtu mmoja aliyetaka kusafiri ng'ambo: aliwaita watumishi wake, akawakabidhi mali yake.
15Uye kune umwe wakapa matarenda* mashanu, umwe maviri, umwe rimwe, umwe neumwe zvakakwanirana nesimba rake; pakarepo akafamba rwendo rwake.
15Alimpa kila mmoja kadiri ya uwezo wake: mmoja sarafu tano za fedha ziitwazo talanta, mwingine talanta mbili na mwingine talanta moja, kisha akasafiri.
16Uye wakagamuchira matarenda* mashanu akaenda akaita mhindu nawo, akaita mamwe matarenda mashanu.
16Mara yule aliyekabidhiwa talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.
17Saizvozvovo wemaviri akawanawo mamwe maviri.
17Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.
18Asi wakagamuchira rimwe wakaenda akachera pasi, akaviga mari yaishe wake.
18Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaenda akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.
19Shure kwenguva refu, ishe wevaranda ivavo wakasvika, akagadzira zvemari navo.
19"Baada ya muda mrefu, yule bwana alirudi, akaanza kukagua hesabu ya matumizi na mapato ya fedha yake.
20Kwakauya wakange agamuchira matarenda mashanu akauyisa mamwe matarenda mashanu achiti: Ishe, makandikumikidza matarenda mashanu; tarirai, ndawana pamusoro pawo mamwe matarenda mashanu.
20Mtumishi aliyekabidhiwa talanta tano akaja amechukua zile talanta tano faida, akamwambia, Bwana, ulinikabidhi talanta tano, hapa pana talanta tano zaidi faida niliyopata.
21Ishe wake akati kwaari: Zvakanaka, muranda wakanaka, wakatendeka, wakange wakatendeka pazvishoma, ndichakuisa pamusoro pezvizhinji; pinda mumufaro waishe wako.
21Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
22Wakange agamuchira matarenda maviri akauyawo akati: Ishe, makandikumikidza matarenda maviri; tarirai, ndawana mamwe matarenda maviri pamusoro pawo.
22"Mtumishi aliyekabidhiwa talanta mbili akaja, akatoa talanta mbili faida, akisema, Bwana, ulinikabidhi talanta mbili. Chukua talanta mbili zaidi faida niliyopata.
23Ishe wake akati kwaari: Zvakanaka, muranda wakanaka, wakatendeka, wakange wakatendeka pazvishoma, ndichakuisa pamusoro pezvizhinji; pinda mumufaro waishe wako.
23Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
24Asi wakange agamuchira tarenda rimwe naiye wakauya akati: Ishe, ndakange ndichikuzivai imwi kuti muri munhu wakawoma, munokohwa pamusina kudzvara, munounganidza pamusina kukusha;
24"Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaja, akasema, Bwana, najua wewe ni mtu mgumu; wewe huvuna pale ambapo hukupanda, na kukusanya pale ambapo hukutawanya.
25zvino ndakatya, ndikaenda ndikanoviga tarenda renyu muvhu; tarirai, mava nechenyu!
25Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi mali yako.
26Ishe wake akapindura akati kwaari: Muranda wakaipa une usimbe, wakange uchiziva kuti ndinokohwa pandisina kudzvara, ndichiunganidza pandisina kukusha.
26"Bwana wake akamwambia, Wewe ni mtumishi mwovu na mvivu! Unajua kuwa mimi huvuna mahali ambapo sikupanda, na hukusanya pale ambapo sikutawanya.
27Saka waifanira kuisa mari yangu kuvatsinhanisi vemari, neni pakusvika ndingadai ndagamuchira zvangu nezvibereko.
27Ilikupasa basi, kuiweka fedha yangu katika benki, nami ningelichukua mtaji wangu na faida yake!
28Naizvozvo mutorerei tarenda, mupe kune une matarenda gumi.
28Basi, mnyang'anyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.
29Nekuti wose unazvo uchapiwa ave nezvakawandisa; asi usina uchatorerwa nechaanacho.
29Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
30Uye muranda pasina murasirei kurima rekunze, ipapo pachava nekuchema nekugeda-geda kwemeno.
30Na kuhusu huyu mtumishi asiye na faida, mtupeni nje gizani! Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno.
31Zvino kana Mwanakomana wemunhu achiuya mukubwinya kwake, nevatumwa vatsvene vose vanaye, ipapo uchagara pachigaro cheushe chekurumbidzwa kwake.
31"Wakati Mwana wa Mtu atakapokuja katika utukufu wake na malaika wote wakiwa pamoja naye, hapo ataketi juu ya kiti chake cha enzi kitukufu,
32Zvino pamberi pake pachaunganidzwa ndudzi dzose; uye uchadziparadzanisa imwe kubva kune imwe, semufudzi unoparadzanisa makwai kubva kumbudzi.
32na mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.
33Uchamisa makwai kuruoko rwake rwerudyi, asi mbudzi kuruboshwe.
33Atawaweka kondoo upande wake wa kulia na mbuzi upande wake wa kushoto.
34Zvino Mambo uchati kune vari kuruoko rwake rwerudyi: Uyai, imwi makaropfadzwa naBaba vangu, mugare nhaka yeushe hwakagadzirirwa imwi kubva pakuvamba kwenyika.
34"Kisha Mfalme atawaambia wale walio upande wake wa kulia, Njoni enyi mliobarikiwa na Baba yangu; pokeeni Ufalme mliotayarishiwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
35Nekuti ndakange ndine nzara, mukandipa chekudya; ndakange ndine nyota, mukandipa chekumwa; ndakange ndiri mweni, mukandigamuchira;
35Maana nilikuwa na njaa nanyi mkanipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi mkanipa maji; nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;
36ndakashama, mukandipfekedza; ndakange ndichirwara, mukandishanyira; ndakange ndiri mutirongo, mukauya kwandiri.
36nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.
37Ipapo vakarurama vachamupindura vachiti: Ishe, takakuonai rinhi mune nzara, tikakupai chekudya, kana mune nyota tikapa chekumwa?
37Hapo, hao watu wema watamjibu mfalme Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?
38Takakuonai rinhi muri mweni, tikagamuchira, kana makashama, tikapfekedza?
38Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?
39Takakuonai rinhi isu muchirwara, kana mutirongo, tikauya kwamuri?
39Ni lini tulikuona ukiwa mgonjwa au mfungwa nasi tukaja kukutazama?
40Uye Mambo uchapindura ati kwavari: Zvirokwazvo ndinoti kwamuri: Sezvamakaitira umwe wehama dzangu idzi mudukusa, makaitira ini.
40Mfalme atawajibu, Kweli nawaambieni, kila kitu mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi.
41Ipapo uchatiwo kune vari kuruoko rweruboshwe: Ibvai kwandiri, imwi makapiwa rushambwa, muende kumoto usingaperi, wakagadzirirwa Diabhorosi nevatumwa vake.
41"Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, Ondokeni mbele yangu enyi mliolaaniwa! Nendeni katika moto wa milele aliotayarishiwa Ibilisi na malaika wake.
42Nekuti ndakange ndine nzara, mukasandipa chekudya; ndakange ndine nyota, mukasandipa chekunwa;
42Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.
43ndakange ndiri mweni, mukasandigamuchira; ndakashama, mukasandipfekedza; ndichirwara, nemutirongo, mukasandishanyira.
43Nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha; nilikuwa mgonjwa na mfungwa nanyi hamkuja kunitazama.
44Ipapo ivava vachamupindurawo vachiti: Ishe, takakuonai rinhi mune nzara, kana mune nyota, kana muri mweni, kana makashama, kana muchirwara, kana muri mutirongo, tikasakushandirai?
44"Hapo nao watajibu, Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa au kiu, ukiwa mgeni au bila nguo, ukiwa mgonjwa au mfungwa, nasi hatukuja kukuhudumia?
45Zvino uchavapindura achiti: Zvirokwazvo ndinoti kwamuri: Pamusina kuitira umwe wevadukusa ava, hamuna kuitirawo ini.
45Naye atawajibu, Nawaambieni kweli, kila mlipokataa kumtendea mambo haya mmojawapo wa hawa wadogo, mlikataa kunitendea mimi.
46Ava vachaenda kukurangwa kusingaperi; asi vakarurama kuupenyu husingaperi.
46Basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uzima wa milele."