Shona

Swahili: New Testament

Revelation

17

1Zvino kwakauya umwe wevatumwa vanomwe, vakange vane ndiro nomwe akataura neni achiti kwandiri: Uya pano, ndicharatidza kwauri kutongwa kwemhombwe huru igere pamusoro pemvura zhinji;
1Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na bakuli akaja, akaniambia, "Njoo, mimi nitakuonyesha adhabu aliyopewa yule mzinzi mkuu, mji ule uliojengwa juu ya maji mengi.
2madzimambo enyika akaita upomwe nayo, nevagari vepanyika vakadhakiswa newaini yeupombwe hwayo.
2Wafalme wa dunia wamefanya uzinzi pamoja naye; na wakazi wa dunia wamelewa divai ya uzinzi wake."
3Zvino wakandisengera kurenje mumweya, uye ndakaona mukadzi akatasva chikara chitsvuku, chizere nemazita ekunyomba, chine misoro minomwe nenyanga gumi.
3Kisha, Roho akanikumba, akaniongoza mpaka jangwani. Huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu. Mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
4Zvino mukadzi wakange akapfeka zvine ruvara rwehute nezvitsvuku, uye akashonga ndarama nemabwe anokosha nemaparera*, ane mukombe wendarama muruoko rwake uzere nezvinosemesa netsvina yeupombwe hwake.
4Mwanamke huyo alikuwa amevaa vazi la rangi ya zambarau na nyekundu; alikuwa amejipamba kwa dhahabu, mawe ya thamani na lulu. Mkononi mwake alishika kikombe cha dhahabu ambacho kilikuwa kimejaa machukizo na mambo machafu yanayoonyesha uzinzi wake.
5Nepahuma yake pakange pakanyorwa zita rekuti: CHAKAVANZIKA, BHABHIRONI GURU, MAI VEMHOMBWE NEZVINOSEMESA ZVENYIKA.
5Alikuwa ameandikwa juu ya paji la uso wake jina la fumbo "Babuloni mkuu, mama wa wazinzi na wa mambo yote ya kuchukiza sana duniani."
6Zvino ndakaona mukadzi akadhakwa neropa revatsvene, uye neropa rezvapupu zvaJesu; zvino ndakati ndamuona ndikashamisika nekushamisika kukuru.
6Nikamwona huyo mwanamke amelewa damu ya watu wa Mungu, na damu ya watu waliouawa kwa sababu ya kumtangaza Yesu. Nilipomwona nilishangaa mno.
7Zvino mutumwa akati kwandiri: Washamisika nei? Ndichakuudza chakavanzika chemukadzi, nechechikara chinomutakura chine misoro minomwe nenyanga gumi.
7Lakini malaika akaniambia, "Kwa nini unashangaa? Mimi nitakuambia maana iliyofichika ya mwanamke huyu na mnyama huyo amchukuaye ambaye ana vichwa saba na pembe kumi.
8Chikara chawaona, chaivapo, uye chisisisipo; uye choda kukwira chichibva mugomba risina chigadziko chichienda kundoparadzwa; uye vanogara panyika vasina kunyorwa mazita avo mubhuku reupenyu kubva pakuvambwa kwenyika vachashamisika vachiona chikara chaivapo uye chisisisipo uye kunyange chiripo.
8Huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. Hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. Wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena!
9Zvino hekuno kufunga kune njere. Misoro minomwe makomo manomwe pamusoro pawo pagere mukadzi,
9"Hapa panahitaji akili na hekima! Hivyo vichwa saba ni vilima saba, na huyo mwanamke anaketi juu yake. Vichwa hivyo pia ni wafalme saba.
10uye ndiwo madzimambo manomwe; vashanu vawa, umwe uripo, umwe uchigere kusvika; uye kana achisvika, unofanira kugara chinguva chiduku.
10Kati ya hao wafalme saba, watano wamekwisha angamia, mmoja anatawala bado, na yule mwingine bado hajafika; na atakapofika atabaki kwa muda mfupi.
11Uye chikara chaivapo uye chisisisipo naiye ndiyewo werusere, uye unobva pavanomwe, achienda mukuparadzwa.
11Huyo mnyama ambaye alikuwa anaishi hapo awali lakini sasa haishi tena ni mfalme wa nane, naye pia ni miongoni mwa hao saba, na anakwenda zake kuharibiwa.
12Nenyanga gumi dzawaona, ndiwo madzimambo gumi achigere kugamuchira ushe, asi achagamuchira simba semadzimambo pamwe nechikara awa rimwe.
12"Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme ambao bado hawajaanza kutawala. Lakini watapewa mamlaka ya kutawala kwa muda wa saa moja pamoja na yule mnyama.
13Ivo vane ndangariro imwe, uye vanopa simba ravo neutongi hwavo kuchikara .
13Shabaha ya hawa kumi ni moja, na watampa yule mnyama nguvu na mamlaka yao yote.
14Ava vachaita hondo neGwayana, uye Gwayana richavakunda; nekuti iro ndiro Ishe wemadzishe, naMambo wemadzimambo; naivo vanaro ndevakadamwa nevakasarudzwa nevakatendeka.
14Watapigana na Mwanakondoo, lakini Mwanakondoo pamoja na wale aliowaita na kuwachagua, ambao ni waaminifu, atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme."
15Zvino akati kwandiri: mvura yawaona inogarwa nemhobwe, ndivo vanhu, nezvaunga nemarudzi, nendimi.
15Malaika akaniambia pia, "Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi, ni mataifa, watu wa kila rangi na lugha.
16Uye nyanga gumi dzawaona pamusoro pechikara ndivo vachavenga mhombwe, uye vachaiparadza nekuifukura; uye vachadya nyama yayo, nekuipisa nemoto.
16Pembe zile kumi ulizoziona na yule mnyama watamchukia huyo mzinzi. Watachukua kila kitu alicho nacho na kumwacha uchi; watakula nyama yake na kumteketeza kwa moto.
17Nekuti Mwari wakaisa mumoyo yavo kuti vaite fungwa dzake, vave nekufunga kumwe, vape chikara ushe hwavo, kusvikira mashoko aMwari apedzeredzwa.
17Maana Mungu ametia mioyoni mwao nia ya kutekeleza shabaha yake, yaani kwa kukubaliana wao kwa wao na kumpa huyo mnyama mamlaka yao ya kutawala, mpaka hapo neno la Mungu litakapotimia.
18Zvino mukadzi wawaona ndiro guta guru, rinotonga pamusoro pemadzimambo enyika.
18"Na yule mwanamke uliyemwona ndio ule mji mkuu unaowatawala wafalme wa dunia."