Shona

Swahili: New Testament

Revelation

20

1Zvino ndakaona mutumwa achiburuka kubva kudenga ane kiyi yegomba risina chigadziko, neketani huru muruoko rwake.
1Kisha nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake.
2Zvino akabata zibukanana, nyoka yakare, ndiye Dhiabhorosi naSatani, akamusunga makore churu,
2Akalikamata lile joka--nyoka wa kale, yaani Ibilisi au Shetani--akalifunga kwa muda wa miaka elfu moja.
3akamukandira mugomba risina chigadziko, akamupfigira, akaisa mucherechedzo pamusoro pake kuti arege kuzonyengerazve marudzi, kusvikira makore churu apera; shure kweizvozvo unofanira kusunungurwa chinguva chiduku.
3Malaika akalitupa Kuzimu, akaufunga mlango wa kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa mpaka hapo miaka elfu moja itakapotimia. Lakini baada ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena, lakini kwa muda mfupi tu.
4Zvino ndakaona zvigaro zveushe, vakagara pamusoro pazvo, kutonga ndokupiwa kwaari; ndikaona mweya yevakange vagurwa misoro nekuda kweuchapupu hwaJesu, nekweshoko raMwari, nevasina kunamata chikara kana mufananidzo wacho, kana kugamuchira mucherechedzo pahuma dzavo, nepamaoko avo; vakararama vakabata ushe pamwe naKristu makore churu.
4Kisha nikaona viti vya enzi na watu walioketi juu yake; watu hao walipewa mamlaka ya hukumu. Niliona pia roho za wale waliokuwa wamenyongwa kwa sababu ya kumtangaza Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawa hawakumwabudu yule mnyama na sanamu yake, wala hawakupigwa alama yake juu ya paji za nyuso zao, au juu ya mikono yao. Walipata tena uhai, wakatawala pamoja na Kristo kwa muda wa miaka elfu moja.
5Asi vakasara vevakafa havana kuraramazve kusvikira makore churu apera. Uku kumuka kwekutanga.
5(Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka elfu moja itimie.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.
6Wakaropafadzwa uye mutsvene une mugove pakumuka kwekutanga, uye pana ivava rufu rwechipiri haruna simba; asi vachava vapristi vaMwari navaKristu, vachabata ushe pamwe naye makore churu.
6Wameneemeka sana, tena heri yao wote wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. Kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao; watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, na watatawala pamoja naye kwa miaka elfu moja.
7Zvino kana makore churu apera, Satani uchasunungurwa mutirongo rake,
7Wakati miaka elfu mia moja itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake.
8zvino uchabuda kunonyengera marudzi ari kumativi mana enyika, ivo Gogi naMagogi, aavunganidzire kundorwa; uwandu hwakaita sejecha regungwa.
8Basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani Gogu na Magogu. Shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.
9Vakakwira pakufara kwenyika, vakakomba misasa yevatsvene neguta rinodikamwa; moto ndokuburuka uchibva kuna Mwari uchibuda kudenga ukavaroromesa.
9Walitawanyika katika nchi yote, wakaizunguka kambi ya watu wa Mungu na mji wa Mungu aupendao. Lakini moto ulishuka kutoka mbinguni, ukawaangamiza.
10Zvino dhiabhorosi wakavanyengera akakandwa mudziva remoto nesarufa, pane chikara nemuporofita wenhema, uye vacharwadziwa masikati neusiku kusvikira rinhi narinhi.
10Ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.
11Zvino ndakaona chigaro cheushe chikuru chichena, naiye wakange agere pamusoro pacho, iye nyika nedenga zvakatiza pachiso chake, zvikasawanirwa nzvimbo.
11Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. Dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana tena.
12Uye ndakaona vakafa vaduku nevakuru, vamire pamberi paMwari, zvino mabhuku akazarurwa, nerimwe bhuku rikazarurwa, rinova reupenyu, vakafa vakatongwa nezvakange zvakanyorwa mumabhuku, zvichienderana nemabasa avo.
12Kisha nikawaona watu wakubwa na wadogo, wamesimama mbele ya kiti cha enzi, na vitabu vikafunguliwa. Halafu kitabu kingine, yaani kitabu cha uzima, kikafunguliwa pia. Wafu wakahukumiwa kadiri ya matendo yao, kama ilivyoandikwa ndani ya vitabu hivyo.
13Gungwa rikabudisa vakafa vakange vari mariri; nerufu neguva zvikabudisa vakafa vakange vari mazviri; umwe neumwe akatongwa zvichienderana nemabasa avo.
13Bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake.
14Zvino rufu negehena zvakakandirwa mudziva remoto; urwu rufu rwechipiri.
14Kisha kifo na kuzimu vikatupwa ndani ya ziwa la moto. Ziwa hili la moto ndicho kifo cha pili.
15Zvino kana aripo asina kuwanikwa akanyorwa mubhuku reupenyu wakakandirwa mudziva remoto.
15Mtu yeyote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika ziwa la moto.