Shona

Swahili: New Testament

Romans

11

1Zvino ndinoti: Ko Mwari wakarasa vanhu vake here? Ngazvisadaro! Nekuti iniwo ndiri muIsraeri, wembeu yaAbhurahamu, werudzi rwaBenjanimi.
1Basi, nauliza: je, Mungu amewakataa watu wake? Hata kidogo! Mini binafsi ni Mwisraeli mzawa wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.
2Mwari haana kurasha vanhu vake vaakagara aziva. Ko hamuzivi kuti Rugwaro runoti kudini kuna Eria here? Kuti unoreverera sei kuna Mwari pamusoro pevaIsraeri, achiti:
2Mungu hakuwakataa watu wake aliowateua tangu mwanzo. Mnakumbuka yasemavyo Maandiko Matakatifu juu ya Eliya wakati alipomnung'unikia Mungu kuhusu Israeli:
3Ishe, vakauraya vaporofita venyu, vakaputsa aritari dzenyu, zvino ini ndasara ndoga, uye vanotsvaka upenyu hwangu.
3"Bwana, wamewaua manabii wako na kubomoa madhabahu yako. Ni mimi tu peke yangu niliyebaki, nao wanataka kuniua?"
4Asi mhinduro yaMwari inoti kudii kwaari? Unoti: Ndakazvichengetera zvuru zvinomwe zvevarume, vasina kufugamira ibvi kuna Bhaari.
4Je, Mungu alimjibu nini? Alimwambia: "Nimejiwekea elfu saba ambao hawakumwabudu Baali."
5Zvino saizvozvo nguva inowo variko vakasara maererano nesananguro yenyasha.
5Basi, ndivyo ilivyo pia wakati huu wa sasa: ipo idadi ya waliobaki ambao Mungu aliwateua kwa sababu ya neema yake.
6Zvino kana zviri zvenyasha, hazvisati zvichiri zvemabasa; asi kana zvisakadaro, nyasha hadzisisiri nyasha. Asi kana zvichibva kumabasa hazvisati zvichiri zvenyasha; kana zvisakadaro basa harizati richibasa.
6Uteuzi wake unatokana na neema yake, na si kwa sababu ya matendo yao. Maana, kama uteuzi wake ungetegemea matendo ya watu, neema yake haingekuwa neema tena.
7Ko zvino? Israeri haana kuwana zvaakanga achitsvaka, asi vasanangurwa vakazviwana; vamwe vakawomeswa,
7Sasa, je? Watu wa Israeli hawakukipata kile walichokuwa wanakitafuta; lakini wote walioteuliwa walikipata. Wengine walipumbazwa,
8maererano sezvazvakanyorwa, zvichinzi: Mwari wakavapa mweya wekutsumwaira; meso kuti varege kuona; nenzeve kuti varege kunzwa, kusvikira zuva ranhasi.
8kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mungu ameifanya mioyo yao kuwa mizito, na mpaka leo hii hawawezi kuona kwa macho yao wala kusikia kwa masikio yao."
9NaDhavhidhi unoti: Tafura yavo ngaiitwe rudzingi, nemusungo nechigumbuso nekutsiva kwavari;
9Naye Daudi anasema: "Karamu zao na ziwe mtego wa kuwanasa, waanguke na kuadhibiwa.
10meso avo ngaasvibirwe kuti varege kuona; uye mukotamise musana wavo nokusingaperi.
10Macho yao yatiwe giza wasiweze kuona. Migongo yao ipindike kwa taabu daima!"
11Zvino ndinoti: Vakagumbuswa kuti vawe here? Ngazvisadaro! Asi kubudikidza nokuwa kwavo ruponeso rwakasvika kuvahedheni, kuvamutsira godo.
11Basi, nauliza: je, Wayahudi wamejikwaa hata wakaangamia kabisa? Hata kidogo! Kutokana na kosa lao ukombozi umewajia watu wa mataifa mengine, ili Wayahudi wapate kuwaonea wivu.
12Zvino kana kuwa kwavo kuri fuma yenyika, nekutapudzika kwavo fuma yevahedheni, zvikuru sei kuzara kwavo?
12Kosa la Wayahudi limesababisha baraka nyingi kwa ulimwengu, na utovu wao kwa kiroho umeleta baraka nyingi kwa watu wa mataifa mengine. Basi, ni dhahiri zaidi kwamba utimilifu wao utasababisha baraka nyingi zaidi.
13Nekuti ndinotaura kwamuri vahedheni; sezvandiri muapositori wevahedheni, ndinokudza basa rangu.
13Basi, sasa nawaambieni ninyi watu wa mataifa mengine: Maadamu mimi nimekuwa mtume kwa watu wa mataifa mengine, ninajivunia huduma yangu,
14Kuti zvimwe ndingamutsira godo venyama yangu, ndiponese vamwe vavo.
14nipate kuwafanya wananchi wenzangu wawaonee ninyi wivu, na hivyo nipate kuwaokoa baadhi yao.
15Nekuti kana kurashwa kwavo kuri kuyananiswa kwenyika, kugamuchirwa kwavo kuchaveiko, kunze kweupenyu hunobva kuvakafa?
15Maana ikiwa kukataliwa kwao kulisababisha ulimwengu upatanishwe na Mungu, itakuwaje wakati watakapokubaliwa na Mungu? Wafu watafufuka!
16Zvino kana chibereko chekutanga chiri chitsvene, bunduwo rakadaro; kana mudzi uri mutsvene, matavi akadarowo;
16Ikiwa kipande cha kwanza cha mkate kimewekwa wakfu, mkate wote umewekwa wakfu; mizizi ya mti ikiwa mizuri, na matawi yake huwa mazuri pia.
17Zvino kana mamwe amatavi akavhuniwa, iwe uri muorivhi wekudondo ukabatanidzwa pakati pavo, ukava nemugove pamwe nawo pamudzi nepamafuta emuorivhi;
17Naam, baadhi ya matawi ya mzeituni bustanini yalikatwa, na mahali pake tawi la mzeituni mwitu likapandikizwa. Ninyi watu wa mataifa mengine ndio hilo tawi la mzeituni mwitu; na sasa mnashiriki nguvu na utomvu wa mzeituni bustanini.
18usazvikudza pamusoro pematavi; asi kana uchizvikudza hausi iwe unotakura mudzi, asi mudzi unokutakura iwe.
18Basi, msiwadharau wale waliokatwa kama matawi! Na, hata kama kuna la kujivunia, kumbukeni kwamba si ninyi mnaoitegemeza mizizi, bali mizizi ndiyo inayowategemeza ninyi.
19Zvino uchati: Matavi akavhuniwa, kuti ini ndibatanidzwe.
19Lakini utasema: "Matawi yalikatwa kusudi mimi nipandikizwe mahali pake."
20Zvakanaka; nekusatenda vakavhuniwa, iwe unomira nerutendo. Usazvikudza, asi utye;
20Sawa! Yalikatwa kwa sababu ya kukosa imani, bali wewe unasimama kwa imani yako. Lakini usijivune; ila uwe na tahadhari.
21nekuti kana Mwari asina kurega matavi echisikigo, zvimwe haangakuregi iwewo.
21Kwa maana, ikiwa Mungu hakuwahurumia Wayahudi ambao ni kama matawi ya asili, je, unadhani atakuhurumia wewe?
22Zvino tarira unyoro nekuomarara kwaMwari, kune vanowa kuomarara; asi kwauri unyoro, kana uchigara paunyoro hwake; zvimwe newewo ungatemwa.
22Kumbuka, basi, jinsi Mungu alivyo mwema na mkali. Yeye ni mkali kwa wale walioanguka, na ni mwema kwako wewe ikiwa utaendelea katika wema wake; la sivyo, nawe pia utakatwa.
23Naivowo, kana vasingagari pakusatenda, vachabatanidzwa, nekuti Mwari unogona kuvabatanidzazve.
23Nao Wayahudi, hali kadhalika; wakiacha utovu wao wa imani, watapandikizwa tena. Maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena.
24Nekuti kana iwe wakatemwa kumuorivhi uri wekudondo pachisikigo, ukabatanidzwa pamuorivhi wakanaka, zvichipesana nechisikigo chawo, vangabatanidzwa zvikuru sei avo vari matavi echisikigo pamuti wavo wemuorivhi?
24Ninyi watu wa mataifa mengine, kwa asili ni kama tawi la mzeituni mwitu, lakini mmeondolewa huko, mkapandikizwa katika mzeituni bustanini mahali ambapo kwa asili si penu. Lakini, Wayahudi kwa asili ni kama mzeituni bustanini, na itakuwa jambo rahisi zaidi kwao kupandikizwa tena katika mti huohuo wao.
25Nekuti handidi hama kuti musaziva chakavanzika ichi, kuti murege kungwara mumanyawi enyu; kuti kuwomeswa kwemoyo kwakaitika pamusoro pevamwe vevaIsraeri kusvikira kuzara kwavahedheni kwapinda;
25Ndugu zangu, napenda mjue ukweli huu uliofichika msije mkajiona wenye akili sana. Ukaidi wa Wayahudi ulikuwa ni wa muda tu, mpaka watu wa mataifa mengine watakapokuwa wamemfikia Mungu.
26saizvozvo Israeri wose uchaponeswa; sezvazvakanyorwa zvichinzi: PaZiyoni pachabuda Musununguri; uchabvisa kusada Mwari kuna Jakobho;
26Hapo ndipo taifa lote la Israeli litakapookolewa, kama yesemavyo Maandiko Matakatifu: "Mkombozi atakuja kutoka Sioni, atauondoa uovu wa Yakobo.
27Uye iyi isungano yangu kwavari, pandichabvisa zvivi zvavo.
27Hili ndilo agano nitakalofanya nao wakati nitakapoziondoa dhambi zao."
28Zvino maererano neevhangeri, vavengi nekuda kwenyu; asi maererano nekusanangura, vadikamwa nekuda kwemadzibaba.
28Kwa sababu wanaikataa Habari Njema, Wayahudi wamekuwa adui wa Mungu, lakini kwa faida yenu nyinyi watu wa mataifa. Lakini, kwa kuwa waliteuliwa, bado ni rafiki wa Mungu kwa sababu ya baba zao.
29Nekuti zvipo nekudana kwaMwari hazvishanduki.
29Maana Mungu akisha wapa watu zawadi zake na kuwateua, hajuti kwamba amefanya hivyo.
30Nekuti semwiwo kare makanga musina kuteerera Mwari, asi zvino makagamuchira tsitsi kubudikidza nekusateerera kwavo;
30Hapo awali ninyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmepata huruma yake kutokana na kuasi kwao.
31saizvozvo naivava ikozvino havana kuteerera, kuti kubudikidza netsitsi dzenyu naivo vawanewo tsitsi;
31Hali kadhalika, kutokana na huruma mliyojaliwa ninyi, Wayahudi wanamwasi Mungu sasa ili nao pia wapokee sasa huruma ya Mungu.
32nekuti Mwari wakavapfigira vose mukusateera kwavo, kuti ave netsitsi pane vose.
32Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi wao ili wapate kuwahurumia wote.
33Haiwa kudzika kwefuma, zvose yeuchenjeri neruzivo rwaMwari! Kutonga kwake hakunzverwi zvakadini, nenzira dzake hadzingarondwi!
33Utajiri, hekima na elimu ya Mungu ni kuu mno! Huruma zake hazichunguziki, na njia zake hazieleweki! Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu:
34Nekuti ndiani wakaziva fungwa yaMwari kana ndiani wakange ari murairidzi wake?
34"Nani aliyepata kuyajua mawazo ya Bwana? Nani awezaye kuwa mshauri wake?
35Ndiani wakatanga kupa kwaari, uye zvicharipirwazve kwaari?
35Au, nani aliyempa yeye kitu kwanza hata aweze kulipwa tena kitu hicho?"
36Nekuti zvimwe zvose zvinobva kwaari kubudikidza naye, zvinoenda kwaari; umambo ngahuve kwaari nokusingaperi. Ameni.
36Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, vyote vipo kwa uwezo wake na kwa ajili yake. Utukufu na uwe kwake hata milele! Amina.