1Zvino usina simba parutendo mugamuchirei, kwete negakava pamaonero.
1Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi.
2Mumwe unotenda kuti ungadya zvinhu zvose; asi usina simba unodya miriwo.
2Watu huhitilafiana: mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu; lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula tu mboga za majani.
3Unodya ngaarege kuzvidza usingadyi, usingadyi ngaarege kupa mhosva unodya; nekuti Mwari wakamugamuchira.
3Mtu ambaye hula kila kitu asimdharau yule ambaye hawezi kula kila kitu; naye ambaye hula tu mboga za majani asimhukumu anayekula kila kitu, maana Mungu amemkubali.
4Iwe ndiwe ani unopa muranda weumwe mhosva? Unomira kana kuwa kuna Ishe wake. Uchamiswa zvirokwazvo, nekuti Mwari unogona kumumisa.
4Wewe ni nani hata uthubutu kumhukumu mtumishi wa mwingine? Akisimama au akianguka ni shauri la Bwana wake; naam, atasimama imara, maana Bwana anaweza kumsimamisha.
5Umwe unotemera rimwe zuva kupfuura rimwe; mumwe unotemera zuva rimwe nerimwe zvakafanana. Umwe neumwe ngaave nechokwadi mufungwa dzake.
5Mtu anaweza kufikiria siku fulani kuwa ya maana zaidi kuliko nyingine; mtu mwingine aweza kuzifikiria siku zote kuwa sawa. Kila mmoja na afuate msimamo wa akili yake.
6Uyo unorangarira zuva, unorirangarira muna Ishe; neusingarangariri zuva muna Ishe, haarirangariri, neunodya unodya nekuda kwaIshe, nekuti unovonga Mwari. Uye usingadyi, haadyi muna Ishe, uye unovonga Mwari.
6Anayeadhimisha siku fulani anaadhimisha siku hiyo kwa ajili ya kumtukuza Mungu; naye anayekula chakula fulani anafanya hivyo kwa kumtukuza Bwana maana anamshukuru Mungu. Kadhalika naye anayeacha kula chakula fulani anafanya hivyo kwa ajili ya kumtukuza Bwana, naye pia anamshukuru Mungu.
7Nekuti hakuna umwe wedu unozviraramira, uye hakuna unozvifira.
7Maana hakuna mtu yeyote miongoni mwetu aishiye kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna anayekufa kwa ajili yake mwenyewe
8Nekuti kana tichirarama, tinoraramira Ishe; uye kana tichifa, tinofira Ishe; naizvozvo kana tichirarama, kana tichifa tiri vaIshe.
8maana tukiishi twaishi kwa ajili ya Bwana; tukifa, tunakufa kwa ajili ya Bwana. Basi, kama tukiishi au tukifa, sisi ni mali yake Bwana.
9Nekuti Kristu wakafira izvozvi, akamuka akararamazve kuti ave Ishe wevose vapenyu nevakafa.
9Maana Kristo alikufa, akafufuka ili wapate kuwa Bwana wa wazima na wafu.
10Zvino iwe unopireiko hama yako mhosva? Kana newe, unozvidzireiko hama yako? Nekuti isu tose tichamira pamberi pechigaro chekutonga chaKristu.
10Kwa nini, basi wewe wamhukumu ndugu yako? Nawe, kwa nini wamdharau ndugu yako? Sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.
11Nekuti kwakanyorwa kuchinzi: Ini ndinorarama, ndizvo zvinoreva Ishe ibvi rimwe nerimwe richandifugamira, nerurimi rumwe nerumwe rwuchareurura kuna Mwari.
11Maana Maandiko yanasema: "Kama niishivyo, asema Bwana kila mtu atanipigia magoti, na kila mmoja atakiri kwamba mimi ni Mungu."
12Naizvozvo zvino umwe neumwe wedu uchazvidavirira pachake kuna Mwari.
12Kwa hiyo, kila mmoja wetu atatoa hoja yake mbele ya Mungu.
13Naizvozvo ngatirege kuramba tichipana mhosva; asi zviri nani mutonge izvi, kuti kusava neunoisa chigumbuso kana chinopinganidza pamberi pehama.
13Basi, tuache kuhukumiana, bali tuazimie kutokuwa kamwe kikwazo kwa ndugu yetu au kumsababisha aanguke katika dhambi.
14Ndinoziva, uye ndine chokwadi muna Ishe Jesu, kuti hakuna chinhu chakasviba chomene; asi kune uyo unofunga kuti chakasviba, kwaari chakasviba.
14Katika kuungana na Bwana Yesu, nina hakika kwamba hakuna kitu chochote kilicho najisi kwa asili yake; lakini, mtu akidhani kwamba kitu fulani ni najisi, basi, kwake huwa najisi.
15Asi kana hama yako ichirwadziwa nechikafu, hauchafambi nerudo. Usamuparadza nechikafu chako uyo wakafirwa naKristu.
15Kama ukimhuzunisha ndugu yako kwa sababu ya chakula unachokula, basi mwenendo wako hauongozwi na mapendo. Usikubali hata kidogo chakula chako kiwe sababu ya kupotea kwa mtu mwingine ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake!
16Naizvozvo kunaka kwenyu ngakurege kuzvidzwa.
16Basi, msikubalie kitu mnachokiona kuwa kwenu ni kitu chema kidharauliwe.
17Nekuti ushe hwaMwari hahwusi chikafu kana chimwiwa, asi kururama, nerugare, nemufaro muMweya Mutsvene.
17Maana Utawala wa Mungu si shauri la kula na kunywa, bali unahusika na kuwa na uadilifu, amani na furaha iletwayo na Roho Mtakatifu.
18Nekuti uyo unobatira Kristu pazvinhu izvi, unogamuchirwa kuna Mwari, uye unotendwa nevanhu.
18Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu.
19Naizvozvo ngatitsvakisise zvinhu zvinouyisa rugare nezvinhu zvekuvakana.
19Kwa hiyo tuyazingatie daima mambo yenye kuleta amani, na yanayotusaidia kujengana.
20Regai kuparadza basa raMwari nekuda kwechikafu. Zvinhu zvose zvakarurama, asi zvakaipa kune unodya achigumbusa.
20Basi, usiiharibu kazi ya Mungu kwa sababu ya ubishi juu ya chakula. Vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya mtu aanguke katika dhambi.
21Zvakanaka kusadya nyama, kana kumwa waini, kana kuita chingagumbusa hama yako, kana kukanganiswa kana kushaiswa simba.
21Afadhali kuacha kula nyama, kunywa divai, au kufanya chochote ambacho chaweza kumsababisha ndugu yako aanguke.
22Une rutendo here? Iva narwo umene pamberi paMwari, wakaropafadzwa usingazvipi mhosva pachinhu chaanotendera.
22Basi, shikilia unachoamini kati yako na Mungu wako. Heri mtu yule ambaye, katika kujiamulia la kufanya, haipingi dhamiri yake.
23Asi uyo unokahadzika kana achidya wava nemhosva, nekuti haadyi nerutendo; nekuti zvose zvisingabvi parutendo chivi.
23Lakini mtu anayeona shaka juu ya chakula anachokula, anahukumiwa kama akila, kwa sababu msimamo wa kitendo chake haumo katika imani. Na, chochote kisicho na msingi wake katika imani ni dhambi.