1Ndinoreverera kwamuri Fibhi, hanzvadzi yedu, murandakadzi wekereke iri paKenikireya.
1Napenda kumjulisha kwenu dada yetu Foibe ambaye ni mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
2Kuti mumugamuchire muna Ishe, sezvinofanira vatsvene, uye kuti mumubatsire pazvinhu zvose, zvaangashaiwa kwamuri; nekuti iye amene wakava mumiririri wevazhinji, newanguwo ndomene.
2Mpokeeni kwa ajili ya Bwana kama iwapasavyo watu wa Mungu. Mpeni msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, maana yeye amekuwa mwema sana kwa watu wengi na kwangu pia.
3Kwazisai Prisira naAkwira, vanoshanda pamwe neni muna Kristu Jesu.
3Salamu zangu ziwafikie Priska na Akula, wafanyakazi wenzangu katika utumishi wa Kristo Yesu.
4Ivo nekuda kweupenyu hwangu vakaradzika mitsipa yavo, vandisingavongi ini ndoga asiwo nekereke dzose dzevahedheni;
4Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu. Wanastahili shukrani; si tu kutoka kwangu, bali pia kutoka kwa makanisa yote ya watu wa mataifa mengine.
5nekereke iri paimba yavo. Kwazisai Epaeneto, mudikamwa wangu, unova chibereko chekutanga cheAkaya muna Kristu.
5Salamu zangu pia kwa kanisa linalokutana nyumbani kwao. Salamu zangu zimfikie rafiki yangu Epaineto ambaye ni kwa kwanza katika mkoa wa Asia kumwamini Kristo.
6Kwazisai Maria, wakatishandira zvikuru.
6Nisalimieni Maria ambaye amefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.
7Kwazisai Andoroniko naJunia, hama dzangu, navakasungwa pamwe neni, vane mbiri pakati pevaapositori, vakanditangirawo kuva muna Kristu.
7Salamu zangu kwa Androniko na Yunia, wananchi wenzangu waliofungwa gerezani pamoja nami; wao wanajulikana sana kati ya mitume; tena walikuwa Wakristo kabla yangu mimi.
8Kwazisai Ambiriyasi, mudikamwa wangu muna Ishe.
8Salamu zangu kwa Ampliato, rafiki yangu katika kuungana na Bwana.
9Kwazisai Obhano, mushandi pamwe nesu muna Kristu, naStako mudikamwa wangu.
9Salamu zangu zimfikie Urbano, mfanyakazi mwenzangu katika utumishi wa Kristo; salamu zangu pia kwa rafiki yangu Staku.
10Kwazisai Apere unotendwa muna Kristu. Kwazisai vokwaArisitobhuro.
10Nisalimieni Apele ambaye uaminifu wake kwa Kristo umethibitishwa. Salamu zangu kwa wote walio nyumbani mwa Aristobulo.
11Kwazisai Herodhio hama yangu. Kwazisaiwo vokwaNakiso, vari muna Ishe.
11Salamu zangu kwa Herodiana, mwananchi mwenzangu; na kwa jamaa yote ya Narkisi iliyojiunga na Bwana.
12Kwazisai Trufaina naTrufosa, vanobata muna Ishe. Kwazisai Pesisi mudikamwa, wakabata zvikuru muna Ishe.
12Nisalimieni Trufena na Trufosa wanaofanya kazi katika utumishi wa Bwana, na rafiki yangu Persi ambaye amefanya mengi kwa ajili ya Bwana.
13Kwazisai Rufosi wakasanangurwa muna Ishe, namai vake nevangu.
13Nisalimieni Rufo, mtu hodari sana katika kazi ya Bwana, na mama yake ambaye ni mama yangu pia.
14Kwazisai Asingirita, Firegoni, Hemasi, Patrobhasi, Hemesi, nehama dzinavo.
14Nisalimieni Asunkrito, Flegoni, Herme Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.
15Kwazisai Firorogosi naJuria, Nerusi, nehanzvadzi yake, naOrimba, navatsvene vose vanavo.
15Nisalimieni Filologo na Yulia, Nerea na dada yake, na Olumpa, pamoja na watu wote wa Mungu walio pamoja nao.
16Kwazisanai nekutsvoda kutsvene. Kereke dzaKristu dzinokukwazisai.
16Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa ishara ya upendo. Salamu kwenu kutoka kwa makanisa yote ya Kristo.
17Zvino ndinokukumbirisai hama, kuti mungwarire avo vanopesanisa nezvigumbuso, zvinopesana nedzidziso yamakadzidza imwi, muvanzvenge.
17Ndugu zangu, nawasihi muwafichue wote wanaosababisha mafarakano na kuwafanya watu wengine waanguke, kinyume cha mafundisho mliyofundishwa. Jiepusheni na watu hao,
18Nekuti vakadaro havashumiri Ishe wedu Jesu Kristu, asi dumbu ravo; uye nemashoko akanaka nekutaura kwakanaka, vanonyengera moyo yevasina mhosva.
18maana watu wa namna hiyo hawamtumikii Kristo Bwana wetu, bali wanayatumikia matumbo yao wenyewe. Kwa maneno yao matamu na hotuba za kubembeleza hupotosha mioyo ya watu wanyofu.
19Nekuti kuteerera kwenyu kwakasvika kune vose. Naizvozvo ndinofara pamusoro penyu; asi ndinoda kuti muve vakachenjera kune zvakanaka, asi vasina mhosva kune zvakaipa.
19Kila mtu amesikia juu ya utii wenu na hivyo mmekuwa sababu ya furaha yangu. Nawatakeni muwe na hekima katika mambo mema, na bila hatia kuhusu mambo mabaya.
20Zvino Mwari werugare uchakurumidza kupwanya Satani pasi petsoka dzenyu. Nyasha dzaIshe wedu Jesu Kristu ngadzive nemwi. Ameni.
20Naye Mungu aliye chanzo cha amani hatakawia kumponda Shetani chini ya miguu yenu. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
21Timotio, mushandi pamwe neni naRukio naJasoni naSosipatro hama dzangu vanokukwazisai.
21Timotheo, mfanyakazi mwenzangu, anawasalimu. Hali kadhalika Lukio, Yasoni, na Sosipatro, wananchi wenzangu, wanawasalimu.
22Ini Tetiosi, unonyora tsamba iyi, ndinokukwazisai muna Ishe.
22Nami Tertio, ninayeandika barua hii nawasalimuni katika Bwana.
23Gayosi, muchingamiri wangu newekereke yose, unokukwazisai. Erastosi, muchengeti wemari yeguta, unokukwazisai, naKwatosi hama.
23Gayo, mwenyeji wangu, pamoja na kanisa lote linalokutana kwake, anawasalimu. Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto, wanawasalimu.
24Nyasha dza Ishe wedu Jesu Kristu, ngadzive nemwi mose. Ameni.
24Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amina.
25Zvino kuna iye unogona kukusimbisai sezvinoreva evhangeri yangu nekuparidzwa kwaJesu Kristu, nekuzarurwa kwezvakavanzika, zvakange zvakavanzwa nguva dzakare.
25Basi, sasa na tumsifu Mungu! Yeye anaweza kuwaimarisheni katika ile Habari Njema niliyohubiri juu ya ujumbe wa Yesu Kristo, na katika ile siri iliyofunuliwa na ambayo ilikuwa imefichika kwa karne nyinyi zilizopita.
26asi ikozvino zvinoratidzwa, uye neMagwaro evaporofita semurairo waMwari wekusingaperi, wakaziviswa kumarudzi ose, pakuteerera kwerutendo;
26Lakini, sasa ukweli huo umefunuliwa kwa njia ya maandiko ya manabii; na kwa amri ya Mungu wa milele umedhihirisha kwa mataifa yote ili wote waweze kuamini na kutii.
27kuna Mwari iye wakachenjera oga, ngakuve nokurumbidzwa naJesu Kristu nekusingaperi. Ameni.
27Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele! Amina.