Swahili: New Testament

Croatian

John

2

1Siku ya tatu kulikuwa na arusi mjini Kana, mkoani Galilaya. Mama yake Yesu alikuwapo,
1Trećeg dana bijaše svadba u Kani Galilejskoj. Bila ondje Isusova majka.
2naye Yesu alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake.
2Na svadbu bijaše pozvan i Isus i njegovi učenici.
3Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, "Hawana divai!"
3Kad ponesta vina, Isusu će njegova majka: "Vina nemaju."
4Yesu akamjibu, "Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado."
4Kaže joj Isus: "Ženo, što ja imam s tobom? Još nije došao moj čas!"
5Hapo mama yake akawaambia watumishi, "Lolote atakalowaambieni, fanyeni."
5Nato će njegova mati poslužiteljima: "Što god vam rekne, učinite!"
6Hapo palikuwa na mitungi sita ya mawe, ambayo kila mmoja uliweza kuchukua kiasi cha madebe mawili au matatu. Ilikuwa imewekwa hapo kufuatana na desturi ya Kiyahudi ya kutawadha.
6A bijaše ondje Židovima za čišćenje šest kamenih posuda od po dvije do tri mjere.
7Yesu akawaambia, "Ijazeni mitungi hiyo maji." Nao wakaijaza mpaka juu.
7Kaže Isus poslužiteljima: "Napunite posude vodom!" I napune ih do vrha.
8Kisha akawaambia, "Sasa choteni mkampelekee mkuu wa karamu."
8Tada im reče: "Zagrabite sada i nosite ravnatelju stola." Oni odnesu.
9Mkuu wa karamu alipoonja hayo maji, kumbe yalikuwa yamegeuka kuwa divai. Yeye hakujua ilikotoka, (lakini wale watumishi waliochota maji walijua). Mkuu wa karamu akamwita bwana arusi,
9Kad okusi vodu što posta vinom, a nije znao odakle je - znale su sluge koje zagrabiše vodu - ravnatelj stola pozove zaručnika
10akamwambia, "Kila mtu huandaa divai nzuri kwanza hata wakisha tosheka huandaa ile hafifu. Lakini wewe umeiweka divai nzuri mpaka sasa!"
10i kaže mu: "Svaki čovjek stavlja na stol najprije dobro vino, a kad se ponapiju, gore. Ti si čuvao dobro vino sve do sada."
11Yesu alifanya ishara hii ya kwanza huko Kana, Galilaya, akaonyesha utukufu wake; nao wanafunzi wake wakamwamini.
11Tako, u Kani Galilejskoj, učini Isus prvo znamenje i objavi svoju slavu te povjerovaše u njega njegovi učenici.
12Baada ya hayo, Yesu alishuka pamoja na mama yake, ndugu zake na wanafunzi wake, wakaenda Kafarnaumu ambako walikaa kwa siku chache.
12Nakon toga siđe sa svojom majkom, s braćom i sa svojim učenicima u Kafarnaum. Ondje ostadoše nekoliko dana.
13Sikukuu ya Wayahudi ya Pasaka ilikuwa imekaribia; hivyo Yesu akaenda Yerusalemu.
13Blizu bijaše židovska Pasha. Stoga Isus uziđe u Jeruzalem.
14Hekaluni aliwakuta watu wakiuza ng'ombe, kondoo na njiwa, na wavunja fedha walikuwa wamekaa kwenye meza zao.
14U Hramu nađe prodavače volova, ovaca i golubova i mjenjače gdje sjede.
15Akatengeneza mjeledi wa kamba, akawafukuza wote nje ya Hekalu pamoja na kondoo na ng'ombe wao, akazimwaga sarafu za wenye kuvunja fedha na kupindua meza zao.
15I načini bič od užeta te ih sve istjera iz Hrama zajedno s ovcama i volovima. Mjenjačima rasu novac i stolove isprevrta,
16Akawaambia wale waliokuwa wanauza njiwa, "Ondoeni vitu hivi hapa. Msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa soko!"
16a prodavačima golubova reče: "Nosite to odavde i ne činite od kuće Oca mojega kuću trgovačku."
17Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba Maandiko yasema: "Upendo wangu kwa nyumba yako waniua."
17Prisjetiše se njegovi učenici da je pisano: Izjeda me revnost za Dom tvoj.
18Baadhi ya Wayahudi wakamwuliza Yesu, "Utafanya muujiza gani kuonyesha kwamba unayo haki kufanya mambo haya?"
18Nato se umiješaju Židovi i upitaju ga: "Koje nam znamenje možeš pokazati da to smiješ činiti?"
19Yesu akawaambia, "Vunjeni Hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu."
19Odgovori im Isus: "Razvalite ovaj hram i ja ću ga u tri dana podići."
20Hapo Wayahudi wakasema, "Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arobaini na sita. Je, wewe utalijenga kwa siku tatu?"
20Rekoše mu nato Židovi: "Četrdeset i šest godina gradio se ovaj Hram, a ti da ćeš ga u tri dana podići?"
21Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya Hekalu ambalo ni mwili wake.
21No on je govorio o hramu svoga tijela.
22Basi, alipofufuliwa kutoka wafu, wanafunzi wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini Maandiko Matakatifu na yale maneno aliyokuwa akisema Yesu.
22Pošto uskrsnu od mrtvih, prisjetiše se njegovi učenici da je to htio reći te povjerovaše Pismu i besjedi koju Isus reče.
23Yesu alipokuwa Yerusalemu kwa sikukuu ya Pasaka, watu wengi walimwamini walipoona ishara alizozifanya.
23Dok je boravio u Jeruzalemu o blagdanu Pashe, mnogi povjerovaše u njegovo ime promatrajući znamenja koja je činio.
24Lakini Yesu hakuwa na imani nao kwa sababu aliwajua wote.
24No sam se Isus njima nije povjeravao jer ih je sve dobro poznavao
25Hakuhitaji kuambiwa chochote juu ya watu, maana aliyajua barabara mambo yote yaliyomo mioyoni mwao.
25i nije trebalo da mu tko daje svjedočanstvo o čovjeku: ta sam je dobro znao što je u čovjeku.