Swahili: New Testament

Croatian

John

4

1Mafarisayo walisikia kwamba Yesu alikuwa anabatiza na kuwapata wanafunzi wengi kuliko Yohane.
1Kad Gospodin dozna da su farizeji dočuli kako on, Isus, okuplja i krsti više učenika nego Ivan -
2(Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)
2iako zapravo nije krstio sam Isus, nego njegovi učenici -
3Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya;
3ode iz Judeje i ponovno se vrati u Galileju.
4na katika safari hiyo ilimbidi apitie Samaria.
4Morao je proći kroza Samariju.
5Basi, akafika Sukari, mji mmoja wa Samaria, karibu na shamba ambalo Yakobo alikuwa amempa mwanawe, Yosefu.
5Dođe dakle u samarijski grad koji se zove Sihar, blizu imanja što ga Jakov dade svojemu sinu Josipu.
6Mahali hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, naye Yesu, kutokana na uchovu wa safari, akaketi kando ya kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana.
6Ondje bijaše zdenac Jakovljev. Isus je umoran od puta sjedio na zdencu. Bila je otprilike šesta ura.
7Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka maji. Yesu akamwambia, "Nipatie maji ninywe."
7Dođe neka žena Samarijanka zahvatiti vode. Kaže joj Isus: "Daj mi piti!"
8(Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.)
8Njegovi učenici bijahu otišli u grad kupiti hrane.
9Lakini huyo mwanamke akamwambia, "Wewe ni Myahudi; mimi ni mwanamke Msamaria! Unawezaje kuniomba maji?" (Wayahudi hawakuwa na ushirikiano na Wasamaria katika matumizi ya vitu.)
9Kaže mu na to Samarijanka: "Kako ti, Židov, išteš piti od mene, Samarijanke?" Jer Židovi se ne druže sa Samarijancima.
10Yesu akamjibu, "Kama tu ungalijua zawadi ya Mungu na ni nani anayekwambia: Nipatie maji ninywe, ungalikwisha mwomba, naye angekupa maji yaliyo hai."
10Isus joj odgovori: "Kad bi znala dar Božji i tko je onaj koji ti veli: 'Daj mi piti', ti bi u njega zaiskala i on bi ti dao vode žive."
11Huyo mama akasema, "Mheshimiwa, wewe huna chombo cha kutekea maji, nacho kisima ni kirefu; utapata wapi maji yaliyo hai?
11Odvrati mu žena: "Gospodine, ta nemaš ni čime bi zahvatio, a zdenac je dubok. Otkuda ti dakle voda živa?
12Au, labda wewe wajifanya mkuu kuliko babu yetu Yakobo? Yeye alitupa sisi kisima hiki; na yeye mwenyewe, watoto wake na mifugo yake walikunywa maji ya kisima hiki."
12Zar si ti možda veći od oca našeg Jakova koji nam dade ovaj zdenac i sam je iz njega pio, a i sinovi njegovi i stada njegova?"
13Yesu akamjibu, "Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena.
13Odgovori joj Isus: "Tko god pije ove vode, opet će ožednjeti.
14Lakini atakayekunywa maji nitakayompa mimi, hataona kiu milele. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji ya uzima na kumpatia uzima wa milele."
14A tko bude pio vode koju ću mu ja dati, ne, neće ožednjeti nikada: voda koju ću mu ja dati postat će u njemu izvorom vode koja struji u život vječni."
15Huyo mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa, nipe maji hayo ili nisione kiu tena; nisije tena mpaka hapa kuteka maji."
15Kaže mu žena: "Gospodine, daj mi te vode da ne žeđam i da ne moram dolaziti ovamo zahvaćati."
16Yesu akamwambia, "Nenda ukamwite mumeo uje naye hapa."
16Nato joj on reče: "Idi i zovi svoga muža pa se vrati ovamo."
17Huyo mwanamke akamwambia, "Mimi sina mume." Yesu akamwambia, "Umesema kweli, kwamba huna mume.
17Odgovori mu žena: "Nemam muža." Kaže joj Isus: "Dobro si rekla: 'Nemam muža!'
18Maana umekuwa na waume watano, na huyo unayeishi naye sasa si mume wako. Hapo umesema kweli."
18Pet si doista muževa imala, a ni ovaj koga sada imaš nije ti muž. To si po istini rekla."
19Huyo Mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa, naona ya kuwa wewe u nabii.
19Kaže mu žena: "Gospodine, vidim da si prorok.
20Babu zetu waliabudu juu ya mlima huu, lakini ninyi mwasema kwamba mahali pa kumwabudu Mungu ni kule Yerusalemu."
20Naši su se očevi klanjali na ovome brdu, a vi kažete da je u Jeruzalemu mjesto gdje se treba klanjati."
21Yesu akamwambia, "Niamini; wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba juu ya mlima huu, wala kule Yerusalemu.
21A Isus joj reče: "Vjeruj mi, ženo, dolazi čas kad se nećete klanjati Ocu ni na ovoj gori ni u Jeruzalemu.
22Ninyi Wasamaria mnamwabudu yule msiyemjua, lakini sisi tunamjua huyo tunayemwabudu, kwa maana wokovu unatoka kwa Wayahudi.
22Vi se klanjate onome što ne poznate, a mi se klanjamo onome što poznamo jer spasenje dolazi od Židova.
23Lakini wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wanaoabudu kweli, watamwabudu Baba kwa nguvu ya Roho; watu wanaomwabudu hivyo ndio Baba anaotaka.
23Ali dolazi čas - sada je! - kad će se istinski klanjatelji klanjati Ocu u duhu i istini jer takve upravo klanjatelje traži Otac.
24Mungu ni Roho, na watu wataweza tu kumwabudu kweli kwa nguvu ya Roho wake."
24Bog je duh i koji se njemu klanjaju, u duhu i istini treba da se klanjaju."
25Huyo mama akamwambia, "Najua kwamba Masiha, aitwaye Kristo, anakuja. Atakapokuja atatujulisha kila kitu."
25Kaže mu žena: "Znam da ima doći Mesija zvani Krist - Pomazanik. Kad on dođe, objavit će nam sve."
26Yesu akamwambia, "Mimi ninayesema nawe, ndiye."
26Kaže joj Isus: "Ja sam, ja koji s tobom govorim!"
27Hapo wanafunzi wake wakarudi, wakastaajabu sana kuona anaongea na mwanamke. Lakini hakuna mtu aliyesema: "Unataka nini?" au, "Kwa nini unaongea na mwanamke?"
27Uto dođu njegovi učenici pa se začude što razgovara sa ženom. Nitko ga ipak ne zapita: "Što tražiš?" ili: "Što razgovaraš s njom?"
28Huyo mama akauacha mtungi wake pale, akaenda mjini na kuwaambia watu,
28Žena ostavi svoj krčag pa ode u grad i reče ljudima:
29"Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?"
29"Dođite da vidite čovjeka koji mi je kazao sve što sam počinila. Da to nije Krist?"
30Watu wakatoka mjini, wakamwendea Yesu.
30Oni iziđu iz grada te se upute k njemu.
31Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: "Mwalimu, ule chakula."
31Učenici ga dotle nudili: "Učitelju, jedi!"
32Lakini Yesu akawaambia, "Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi."
32A on im reče: "Hraniti mi se valja jelom koje vi ne poznajete."
33Wanafunzi wake wakaulizana, "Je, kuna mtu aliyemletea chakula?"
33Učenici se nato zapitkivahu: "Da mu nije tko donio jesti?"
34Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yule aliyenituma na kuitimiza kazi yake.
34Kaže im Isus: "Jelo je moje vršiti volju onoga koji me posla i dovršiti djelo njegovo.
35Ninyi mwasema: Bado miezi minne tu, na wakati wa mavuno utafika! Lakini mimi nawaambieni, yatazameni mashamba; mazao yako tayari kuvunwa.
35Ne govorite li vi: 'Još četiri mjeseca i evo žetve?' Gle, kažem vam, podignite oči svoje i pogledajte polja: već se bjelasaju za žetvu.
36Mvunaji anapata mshahara wake, na anakusanya mavuno kwa ajili ya uzima wa milele; hivyo mpandaji na mvunaji watafurahi pamoja.
36Žetelac već prima plaću, sabire plod za vječni život da se sijač i žetelac zajedno raduju.
37Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: Mmoja hupanda na mwingine huvuna.
37Tu se obistinjuje izreka: 'Jedan sije, drugi žanje.'
38Mimi nimewatuma mkavune mavuno ambayo hamkuyatolea jasho, wengine walifanya kazi, lakini ninyi mnafaidika kutokana na jasho lao."
38Ja vas poslah žeti ono oko čega se niste trudili; drugi su se trudili, a vi ste ušli u trud njihov."
39Wasamaria wengi wa kijiji kile waliamini kwa sababu ya maneno aliyosema huyo mama: "Ameniambia mambo yote niliyofanya."
39Mnogi Samarijanci iz onoga grada povjerovaše u njega zbog riječi žene koja je svjedočila: "Kazao mi je sve što sam počinila."
40Wasamaria walimwendea Yesu wakamwomba akae nao; naye akakaa hapo siku mbili.
40Kad su dakle Samarijanci došli k njemu, moljahu ga da ostane u njih. I ostade ondje dva dana.
41Watu wengi zaidi walimwamini kwa sababu ya ujumbe wake.
41Tada ih je još mnogo više povjerovalo zbog njegove riječi
42Wakamwambia yule mama, "Sisi hatuamini tu kwa sababu ya maneno yako; sisi wenyewe tumesikia, na tunajua kwamba huyu ndiye kweli Mwokozi wa ulimwengu."
42pa govorahu ženi: "Sada više ne vjerujemo zbog tvoga kazivanja; ta sami smo čuli i znamo: ovo je uistinu Spasitelj svijeta."
43Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya.
43Nakon dva dana ode odande u Galileju.
44Maana Yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, "Nabii hapati heshima katika nchi yake."
44Sam je Isus doduše izjavio da prorok nema časti u svom zavičaju.
45Basi, alipofika Galilaya, Wagalilaya wengi walimkaribisha. Maana nao pia walikuwa kwenye sikukuu ya Pasaka, wakayaona mambo yote Yesu aliyotenda huko Yerusalemu wakati wa sikukuu hiyo.
45Kad je dakle stigao u Galileju, Galilejci ga lijepo primiše jer bijahu vidjeli što je sve učinio u Jeruzalemu za blagdana. Jer su i oni bili uzišli na blagdan.
46Yesu alifika tena huko mjini Kana, mkoani Galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. Kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko Kafarnaumu.
46Dođe dakle ponovno u Kanu Galilejsku, gdje bijaše pretvorio vodu u vino. Ondje bijaše neki kraljevski službenik koji je imao bolesna sina u Kafarnaumu.
47Basi, huyo ofisa aliposikia kuwa Yesu alikuwa ametoka Yudea na kufika Galilaya, alimwendea akamwomba aende kumponya mtoto wake aliyekuwa mgonjwa mahututi.
47Kad je čuo da je Isus došao iz Judeje u Galileju, ode k njemu pa ga moljaše da siđe i ozdravi mu sina jer već samo što nije umro.
48Yesu akamwambia, "Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!"
48Nato mu Isus reče: "Ako ne vidite znamenja i čudesa, ne vjerujete!"
49Huyo ofisa akamwambia, "Mheshimiwa, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa."
49Kaže mu kraljevski službenik: "Gospodine, siđi dok mi ne umre dijete."
50Yesu akamwambia, "Nenda tu, mwanao yu mzima." Huyo mtu akaamini maneno ya Yesu, akaenda zake.
50Kaže mu Isus: "Idi, sin tvoj živi!" Povjerova čovjek riječi koju mu reče Isus i ode.
51Alipokuwa bado njiani, watumishi wake walikutana naye, wakamwambia kwamba mwanawe alikuwa mzima.
51Dok je on još silazio, pohite mu u susret sluge s viješću da mu sin živi.
52Naye akawauliza saa mtoto alipopata nafuu; nao wakamwambia, "Jana saa saba mchana, homa ilimwacha."
52Upita ih dakle za uru kad mu je krenulo nabolje. Rekoše mu: "Jučer oko sedme ure pustila ga ognjica."
53Huyo baba akakumbuka kwamba ilikuwa ni saa ileile ambapo Yesu alimwambia: "Mwanao yu mzima." Basi, yeye akaamini pamoja na jamaa yake yote.
53Tada razabra otac da je to bilo upravo onog časa kad mu Isus reče: "Sin tvoj živi." I povjerova on i sav dom njegov.
54Hii ilikuwa ishara ya pili aliyoifanya Yesu alipokuwa anatoka Yudea kwenda Galilaya.
54Bijaše to drugo znamenje što ga učini Isus po povratku iz Judeje u Galileju.