1Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.
1Uđe ponovno u sinagogu. Bio je ondje čovjek usahle ruke.
2Humo baadhi ya watu walimngojea amponye mtu huyo siku ya sabato ili wapate kumshtaki.
2A oni vrebahu hoće li ga Isus u subotu izliječiti, da ga optuže.
3Yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza, "Njoo hapa katikati."
3On kaže čovjeku usahle ruke: "Stani na sredinu!"
4Kisha, akawauliza, "Je, ni halali siku ya Sabato kutenda jambo jema au kutenda jambo baya; kuokoa maisha au kuua?" Lakini wao hawakusema neno.
4A njima će: "Je li subotom dopušteno činiti dobro ili činiti zlo, život spasiti ili pogubiti?" No oni su šutjeli.
5Hapo akawatazama wote kwa hasira, akaona huzuni kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao. Kisha akamwambia huyo mtu, "Nyosha mkono wako!" Naye akaunyosha mkono wake, ukawa mzima tena.
5A on, ražalošćen okorjelošću srca njihova, srdito ih ošinu pogledom pa reče tom čovjeku: "Ispruži ruku!" On ispruži - i ruka mu zdrava!
6Mara Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri pamoja na watu wa kikundi cha Herode jinsi ya kumwangamiza Yesu.
6Farizeji iziđu i dadnu se odmah s herodovcima na vijećanje protiv njega kako da ga pogube.
7Yesu aliondoka hapo pamoja na wanafunzi wake, akaenda kando ya ziwa, na umati wa watu ukamfuata. Watu hao walikuwa wametoka Yerusalemu, Yudea,
7Isus se s učenicima povuče k moru. Za njim je išao silan svijet iz Galileje. I iz Judeje,
8Idumea, ng'ambo ya mto Yordani, Tiro na Sidoni. Watu hao wengi walimwendea Yesu kwa sababu ya kusikia mambo mengi aliyokuwa ameyatenda.
8iz Jeruzalema, iz Idumeje, iz Transjordanije i iz okolice Tira i Sidona - silno je mnoštvo čulo što čini i nagrnulo k njemu.
9Yesu akawaambia wanafunzi wake wamtayarishie mashua moja, ili umati wa watu usije ukamsonga.
9Stoga reče učenicima neka mu se zbog mnoštva pripravi lađica da ga ne bi zgnjeli.
10Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.
10Jer mnoge je ozdravio pa su se svi koji bijahu pogođeni kakvim zlom bacali na nj da bi ga se dotakli.
11Na watu waliokuwa wamepagawa na pepo wachafu walipomwona, walijitupa chini mbele yake na kupaaza sauti, "Wewe ni Mwana wa Mungu!"
11A nečisti duhovi, čim bi ga spazili, padali bi preda nj i vikali: "Ti si Sin Božji!"
12Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.
12A on im se oštro prijetio da ga ne prokazuju.
13Yesu alipanda kilimani, akawaita wale aliowataka. Basi, wakamwendea,
13Uziđe na goru i pozove koje sam htjede. I dođoše k njemu.
14naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri
14I ustanovi dvanaestoricu da budu s njime i da ih šalje propovijedati
15na wawe na mamlaka ya kuwafukuza pepo.
15s vlašću da izgone đavle.
16Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),
16Ustanovi dakle dvanaestoricu: Šimuna, kojemu nadjenu ime Petar,
17Yakobo na Yohane, wana wa Zebedayo (Yesu aliwapa hawa ndugu wawili jina Boanerge, maana yake "wanangurumo"),
17i Jakova Zebedejeva i Ivana, brata Jakovljeva, kojima nadjenu ime Boanerges, to jest Sinovi groma,
18Andrea na Filipo, Batholomayo, Mathayo, Thoma, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkanani na
18i Andriju i Filipa i Bartolomeja i Mateja i Tomu i Jakova Alfejeva i Tadeja i Šimuna Kananajca
19Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.
19i Judu Iškariotskoga, koji ga izda.
20Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula.
20I dođe Isus u kuću. Opet se skupi toliko mnoštvo da nisu mogli ni jesti.
21Basi, watu wa jamaa yake walipopata habari hiyo wakatoka kwenda kumchukua maana walikuwa wanasema kwamba amepatwa na wazimu.
21Čuvši to, dođoše njegovi da ga obuzdaju jer se govorilo: "Izvan sebe je!"
22Nao walimu wa Sheria waliokuwa wametoka Yerusalemu, wakasema, "Ana Beelzebuli! Tena, anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo."
22I pismoznanci što siđoše iz Jeruzalema govorahu: "Beelzebula ima, po poglavici đavolskom izgoni đavle."
23Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, "Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?
23A on ih dozva pa im u prispodobama govoraše: "Kako može Sotona Sotonu izgoniti?
24Ikiwa utawala mmoja umegawanyika makundimakundi yanayopigana, utawala huo hauwezi kudumu.
24Ako se kraljevstvo u sebi razdijeli, ono ne može opstati.
25Tena, ikiwa jamaa moja imegawanyika makundimakundi yanayopingana, jamaa hiyo itaangamia.
25Ili: ako se kuća u sebi razdijeli, ona ne može opstati.
26Ikiwa basi, utawala wa Shetani umegawanyika vikundivikundi hauwezi kudumu, bali utaangamia kabisa.
26Ako je dakle Sotona sam na sebe ustao i razdijelio se, ne može opstati, nego mu je kraj.
27"Hakuna mtu awezaye kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kumnyang'anya mali yake, isipokuwa kwanza amemfunga huyo mtu mwenye nguvu; hapo ndipo atakapoweza kumnyang'anya mali yake.
27Nitko, dakako, ne može u kuću jakoga ući i oplijeniti mu pokućstvo ako prije jakoga ne sveže. Tada će mu kuću oplijeniti!"
28"Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote;
28Doista, kažem vam, sve će se oprostiti sinovima ljudskima, koliki god bili grijesi i hule kojima pohule.
29lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele."
29No pohuli li tko na Duha Svetoga, nema oproštenja dovijeka; krivac je grijeha vječnoga."
30(Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, "Ana pepo mchafu.")
30Jer govorahu: "Duha nečistoga ima."
31Mama yake Yesu na ndugu zake walifika hapo, wakasimama nje, wakampelekea ujumbe kutaka kumwona.
31I dođu majka njegova i braća njegova. Ostanu vani, a k njemu pošalju neka ga pozovu.
32Umati wa watu ulikuwa umekaa hapo kumzunguka. Basi, wakamwambia, "Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kukuona."
32Oko njega je sjedjelo mnoštvo. I reknu mu: "Eno vani majke tvoje i braće tvoje, traže te!"
33Yesu akawaambia, "Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?"
33On im odgovori: "Tko je majka moja i braća moja?"
34Hapo akawatazama watu waliokuwa wamemzunguka, akasema, "Tazameni! Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu.
34I okruži pogledom po onima što su sjedjeli oko njega u krugu i kaže: "Evo majke moje, evo braće moje!
35Mtu yeyote anayefanya anayotaka Mungu, huyo ndiye kaka yangu, dada yangu na mama yangu."
35Tko god vrši volju Božju, on mi je brat i sestra i majka."