1Yesu alitoka Hekaluni, na alipokuwa akienda zake, wanafunzi wake walimwendea, wakamwonyesha majengo ya Hekalu.
1Isus iziđe iz Hrama. Putom mu pristupiše učenici pokazujući mu hramsko zdanje.
2Yesu akawaambia, "Sawa, mnaweza kuyatazama haya yote! Kweli nawaambieni, hakuna hata jiwe moja litakalosalia hapa juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa."
2A on im reče: "Ne vidite li sve ovo? Zaista, kažem vam, ne, neće se ovdje ostaviti ni kamen na kamenu nerazvaljen."
3Yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa Mizeituni, wanafunzi walimwendea faraghani, wakamwuliza, "Twambie mambo haya yatatukia lini? Ni ishara gani itakayoonyesha kuja kwako na mwisho wa nyakati?"
3Dok je zatim na Maslinskoj gori sjedio, pristupiše k njemu učenici nasamo govoreći: "Reci nam kada će to biti i koji će biti znak tvojega Dolaska i svršetka svijeta?"
4Yesu akawajibu, "Jihadharini msije mkadanganywa na mtu.
4Isus im odgovori: "Pazite da vas tko ne zavede!
5Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: Mimi ndiye Kristo, nao watawapotosha watu wengi.
5Mnogi će doista doći u moje ime i govoriti: 'Ja sam Krist!' I mnoge će zavesti."
6Mtasikia juu ya vita na fununu za vita; lakini msifadhaike, maana hayo hayana budi kutokea, lakini mwisho wenyewe ungali bado.
6"A čut ćete za ratove i za glasove o ratovima. Pazite, ne uznemirujte se. Doista treba da se to dogodi, ali to još nije svršetak.
7Taifa moja litapigana na taifa lingine; ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine. Hapa na pale patakuwa na njaa na mitetemeko ya ardhi.
7Narod će ustati protiv naroda i kraljevstvo protiv kraljevstva; bit će gladi i potresa po raznim mjestima.
8Yote hayo ni kama mwanzo wa maumivu ya kujifungua mtoto.
8Ali sve je to samo početak trudova."
9"Kisha watawatoeni ili mteswe na kuuawa. Mataifa yote yatawachukieni kwa ajili ya jina langu.
9"Tada će vas predavati na muke i ubijati vas. I svi će vas narodi zamrziti zbog imena moga.
10Tena, wengi wataiacha imani yao, watasalitiana na kuchukiana.
10Mnogi će se tada sablazniti, izdavat će jedni druge i mrziti se među sobom.
11Watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi.
11Ustat će mnogi lažni proroci i mnoge zavesti.
12Kwa sababu ya ongezeko la uhalifu, upendo wa watu wengi utafifia.
12Razmahat će se bezakonje i ohladnjeti ljubav mnogih.
13Lakini atakayevumilia mpaka mwisho, ataokoka.
13Ali tko ustraje do svršetka, bit će spašen."
14Ila, kabla ya mwisho kufika, hii Habari Njema ya Ufalme wa Mungu itahubiriwa ulimwenguni kote kama ushuhuda kwa mataifa yote.
14"I propovijedat će se ovo evanđelje Kraljevstva po svem svijetu za svjedočanstvo svim narodima. Tada će doći svršetak."
15"Basi, mtakapoona Chukizo Haribifu lililonenwa na nabii Danieli limesimama mahali patakatifu, (msomaji na atambue maana yake),
15"Kada dakle vidite da grozota pustoši, po proroštvu Daniela proroka, stoluje na svetome mjestu - tko čita, neka razumije:
16hapo, walioko Yudea na wakimbilie milimani.
16koji se tada zateknu u Judeji, neka bježe u gore;
17Aliye juu ya paa la nyumba yake asishuke kuchukua kitu nyumbani mwake.
17tko bude na krovu, neka ne silazi uzeti što iz kuće;
18Aliye shambani asirudi nyuma kuchukua vazi lake.
18i tko bude u polju, neka se ne okreće natrag da uzme haljinu!"
19Ole wao kina mama waja wazito na wanaonyonyesha siku hizo!
19"A jao trudnicama i dojiljama u one dane!"
20Ombeni ili kukimbia kwenu kusiwe siku za baridi au siku ya Sabato!
20"I molite da bijeg vaš ne bude zimi ili subotom
21Maana wakati huo kutakuwa na dhiki kuu ambayo haijapata kuwako tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka leo, wala haitapata kutokea tena.
21jer tada će biti velika tjeskoba kakve ne bijaše od početka svijeta sve do sada, a neće je ni biti."
22Kama siku hizo hazingalipunguzwa, hakuna binadamu yeyote ambaye angeokoka; lakini siku hizo zitapunguzwa kwa ajili ya wale walioteuliwa.
22"I kad se ne bi skratili dani oni, nitko se ne bi spasio. No poradi izabranih skratit će se dani oni."
23"Basi, mtu akiwaambieni siku hizo: Kristo yuko hapa au Yuko pale, msimsadiki.
23"Ako vam tada tko rekne: 'Gle, evo Krista!' ili: 'Eno ga!' - ne povjerujte!
24Maana watatokea kina Kristo wa uongo na manabii wa uongo. Watafanya ishara kubwa na maajabu ya kuweza kuwapotosha ikiwezekana hata wateule wa Mungu.
24Ustat će, doista, lažni kristi i lažni proroci i iznijeti znamenja velika i čudesa da, bude li moguće, zavedu i izabrane."
25Sikilizeni, nimekwisha kuwaonya kabla ya wakati.
25"Eto, prorekao sam vam."
26Basi, wakiwaambieni, Tazameni, yuko jangwani, msiende huko; au, Tazameni, amejificha ndani, msisadiki;
26"Reknu li vam dakle: 'Evo, u pustinji je!', ne izlazite; 'Evo ga u ložnicama!', ne vjerujte.
27maana, kama vile umeme uangazavyo toka mashariki hadi magharibi, ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Mtu.
27Jer kao što munja izlazi od istoka i bljesne do zapada, tako će biti i s dolaskom Sina Čovječjega."
28Pale ulipo mzoga, ndipo watakapokusanyika tai.
28"Gdje bude strvine, ondje će se skupljati orlovi."
29"Mara baada ya dhiki ya siku hizo, jua litatiwa giza, mwezi hautaangaza, nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za mbingu zitatikiswa.
29"A odmah nakon nevolje onih dana sunce će pomrčati i mjesec neće više svijetljeti i zvijezde će s neba padati i sile će se nebeske poljuljati."
30Kisha, ishara ya Mwana wa Mtu itaonekana angani, na hapo makabila yote duniani yatalalamika; watamwona Mwana wa Mtu akija juu ya mawingu ya angani mwenye nguvu na utukufu mwingi.
30"I tada će se pojaviti znak Sina Čovječjega na nebu. I tada će proplakati sva plemena zemlje. I ugledat će Sina Čovječjega gdje dolazi na oblacima nebeskim s velikom moći i slavom.
31Naye atawatuma malaika wake wenye tarumbeta la kuvuma sana, nao watawakusanya wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, toka mwisho huu wa mbingu hadi mwisho huu.
31I razaslat će anđele svoje s trubljom velikom i sabrat će mu izabranike s četiri vjetra, s jednoga kraja neba do drugoga."
32"Kwa mtini jifunzeni mfano huu: Mara tu matawi yake yanapoanza kuwa laini na kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
32"A od smokve se naučite prispodobi! Kad joj grana već omekša i lišće potjera, znate: blizu je ljeto.
33Hali kadhalika nanyi mtakapoona mambo haya yote yakitendeka, jueni kwamba yuko karibu sana.
33Tako i vi kad sve to ugledate, znajte: blizu je, na vratima!"
34Nawaambieni kweli, kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo hayo yote kutukia.
34"Zaista, kažem vam, ne, neće uminuti naraštaj ovaj dok se sve to ne zbude.
35Naam, mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
35Nebo će i zemlja uminuti, ali riječi moje ne, neće uminuti."
36"Lakini, juu ya siku au saa hiyo, hakuna mtu ajuaye itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake ndiye ajuaye.
36"A o onom danu i času nitko ne zna, pa ni anđeli nebeski, ni Sin, nego samo Otac.
37Kwa maana kama ilivyokuwa nyakati za Noa, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Mtu.
37Kao u dane Noine, tako će biti i Dolazak Sina Čovječjega.
38Maana nyakati hizo, kabla ya gharika kuu, watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, mpaka Noa alipoingia ndani ya ile safina.
38Kao što su u dane one - prije potopa - jeli i pili, ženili se i udavali do dana kad Noa uđe u korablju
39Hawakujua kuna nini mpaka ile gharika ilipotokea, ikawakumba wote. Ndivyo itakavyokuwa wakati Mwana wa Mtu atakapokuja.
39i ništa nisu ni slutili dok ne dođe potop i sve odnije - tako će biti i Dolazak Sina Čovječjega.
40Wakati huo watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.
40Dvojica će tada biti u polju: jedan će se uzeti, drugi ostaviti.
41Kina mama wawili watakuwa wanasaga nafaka, mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.
41Dvije će mljeti u mlinu: jedna će se uzeti, druga ostaviti."
42Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.
42"Bdijte dakle jer ne znate u koji dan Gospodin vaš dolazi.
43Lakini kumbukeni jambo hili: kama mwenye nyumba angejua siku mwizi atakapofika, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe.
43A ovo znajte: kad bi domaćin znao o kojoj straži kradljivac dolazi, bdio bi i ne bi dopustio potkopati kuće.
44Kwa hiyo, nanyi pia muwe tayari, kwa maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia."
44Zato i vi budite pripravni jer u čas kad i ne mislite Sin Čovječji dolazi."
45Yesu akaendelea kusema, "Ni nani basi mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watu wake, awape chakula kwa wakati wake?
45"Tko li je onaj vjerni i razumni sluga što ga gospodar postavi nad svojim ukućanima da im izda hranu u pravo vrijeme?
46Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakapokuja atamkuta akifanya hivyo.
46Blago onome sluzi kojega gospodar kada dođe nađe da tako radi!
47Kweli nawaambieni, atamweka mtumishi huyo aisimamie mali yake yote.
47Zaista, kažem vam, postavit će ga nad svim imanjem svojim."
48Lakini kama mtumishi mbaya akijisemea moyoni: Bwana wangu anakawia kurudi,
48"No rekne li taj zli sluga u srcu: 'Okasnit će gospodar moj'
49kisha akaanza kuwapiga watumishi wenzake, akaanza kula na kunywa pamoja na walevi,
49pa stane tući sudrugove, jesti i piti s pijanicama,
50bwana wake atakuja siku asiyoitazamia na saa asiyoijua.
50doći će gospodar toga sluge u dan u koji mu se ne nada i u čas u koji i ne sluti;
51Atamkatilia mbali na kumweka kundi moja na wanafiki. Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno.
51rasjeći će ga i dodijeliti mu udes među licemjerima. Ondje će biti plač i škrgut zubi."