1Mimi Paulo, mtume wa Yesu Kristo kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Yesu Kristo tumaini letu,
1Paulus, Kristuse Jeesuse apostel, Jumala, meie Päästja, ja Kristuse Jeesuse, meie lootuse käskimist mööda -
2nakuandikia Timotheo mwanangu halisi katika imani. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Kristo Yesu Bwana wetu.
2Timoteosele, oma tõelisele pojale usus: Armu, halastust, rahu Jumalalt, meie Isalt, ja Kristuselt Jeesuselt, meie Issandalt!
3Napenda ukae huko Efeso, kama nilivyokuomba nilipokuwa ninakwenda Makedonia. Wako watu fulani huko wanaofundisha mafundisho ya uongo. Wakomeshe watu hao.
3Makedooniasse minnes manitsesin ma sind jääma Efesosse keelama mõningaid, et nad ei õpetaks võõriti
4Waambie waachane na zile hadithi tupu na orodha ndefu za mababu, ambazo huleta tu ubishi, wala haviwajengi watu katika mpango ujulikanao kwa imani.
4ega hooliks müütidest ja lõpututest sugupuudest, mis soodustavad pigem vaidlusi kui Jumala majapidamist, mis on usus.
5Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli.
5Selle korralduse eesmärk on armastus puhtast südamest ja heast südametunnistusest ja siirast usust.
6Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.
6Mõned neist on kaldunud kõrvale ja hakanud lobisema,
7Wanapenda kuwa walimu wa Sheria, lakini hawaelewi maneno yao wenyewe au mambo wanayosisitiza.
7tahtes olla seaduseõpetajad, mõistmata ise, mida nad räägivad või mida nad tõe pähe pakuvad.
8Twajua kwamba Sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.
8Me ju teame, et Seadus on hea, kui keegi seda kasutab korrakohaselt,
9Lakini tunapaswa kukumbuka kwamba sheria haziwekwi kwa ajili ya watu wema, bali kwa ajili ya wahalifu na wasiotii, wasiomcha Mungu na wenye dhambi, watu wasio na dini na wa kidunia. Watu wanaowaua baba na mama zao, au wauaji wowote wale;
9teades seda, et Seadust pole seatud kõigile, vaid ülekohtustele ja tõrkujatele, jumalakartmatutele ja patustele, nurjatutele ja labastele, isa- ja ematapjaile, mõrtsukaile,
10sheria imewekwa kwa ajili ya waasherati, wafiraji, wanaowaiba watu, waongo, na wanaoapa uongo au wanaofanya chochote ambacho ni kinyume cha mafundisho ya kweli.
10hoorajaile, poisipilastajaile, inimröövijaile, valetajaile, valevandujaile ja kellele tahes muule, mis käib terve õpetuse vastu.
11Mafundisho hayo hupatikana katika Habari Njema ambayo mimi nimekabidhiwa niihubiri, Habari Njema ya Mungu mtukufu na mwenye heri.
11Terve õpetus vastab õndsa Jumala kirkuse evangeeliumile, mis on usaldatud minu kätte.
12Namshukuru Bwana wetu Yesu Kristo aliyenipa nguvu kwa ajili ya kazi yangu. Namshukuru kwa kuniona mimi kuwa ni mwaminifu, akaniteua nimtumikie,
12Ma olen tänulik Kristusele Jeesusele, meie Issandale, kes on mu teinud vägevaks sellega, et ta oma teenistusse pannes on pidanud ustavaks mind,
13ingawa pale awali mimi nilimtukana na kumtesa na kumdhulumu. Lakini Mungu alinionea huruma, kwa sababu sikuwa na imani bado, na hivyo sikujua nilichokuwa ninafanya.
13endist Jumala teotajat ja tagakiusajat ja julmurit. Kuid ta on mu peale halastanud, sest uskmatuses ma tegutsesin arutult.
14Lakini Bwana wetu alinijalia neema yake kwa wingi, akanipa imani na upendo katika kuungana na Kristo Yesu.
14Aga meie Issanda arm on olnud minu vastu üliväga suur koos usu ja armastusega, mis meile on antud Kristuses Jeesuses.
15Usemi huu ni wa kuaminika, na tena unafaa kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuwaokoa wenye dhambi. Nami ni mkosefu zaidi kuliko hao wote,
15Ustav on see sõna ja väärib igati vastuvõtmist, et Kristus Jeesus on tulnud maailma päästma patuseid, kelle seast esimene olen mina.
16lakini Mungu alinionea huruma, ili Kristo aonyeshe uvumilivu wake wote kwangu mimi, kama mfano kwa wale wote ambao baadaye watamwamini na kupokea uzima wa milele.
16Kuid minu peale on halastatud seepärast, et Kristus Jeesus saaks osutada kogu oma pikka meelt kõigepealt mind eeskujuks tuues neile, kes edaspidi hakkavad temasse uskuma ja pärivad igavese elu.
17Kwake yeye aliye Mfalme wa milele na asiyekufa, yeye aliye Mungu pekee--kwake viwe heshima na utukufu milele na milele! Amina.
17Aga ajastute Kuningale, surematule, nähtamatule, ainsale Jumalale olgu au ja kirkus igavesest ajast igavesti! Aamen.
18Mwanangu Timotheo, nakukabidhi amri hii kufuatana na maneno ya unabii yaliyosemwa zamani juu yako. Yatumie maneno hayo yawe silaha yako katika kupigana vita vizuri,
18Selle korralduse ma annan sulle, mu poeg Timoteos, varasemate sinu kohta käivate ennustuste põhjal, et sa nende toel võitleksid head võitlust,
19na ushike imani yako na dhamiri njema. Watu wengine hawakusikiliza dhamiri zao na hivyo wakaiharibu imani yao.
19säilitades usku ja puhast südametunnistust, mille mõned on enesest ära tõuganud, ja nende usulaev on läinud põhja.
20Miongoni mwao ni Humenayo na Aleksanda ambao nimewakabidhi kwa Shetani, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.
20Nende seas on Hümenaios ja Aleksandros; nemad ma olen loovutanud saatanale, et nad karistatuna loobuksid Jumala teotamisest.