1Mimi Paulo, Silwano na Timotheo tunawaandikia ninyi jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambao ni watu wake Mungu Baba yetu na wa Bwana Yesu Kristo.
1Paulus ja Silvanus ja Timoteos - tessalooniklaste kogudusele Jumalas, meie Isas, ja Issandas Jeesuses Kristuses:
2Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
2Armu teile ja rahu Jumalalt, meie Isalt, ja Issandalt Jeesuselt Kristuselt!
3Ndugu, tunapaswa kushukuru Mungu daima kwa ajili yenu. Inafaa kwetu kufanya hivyo kwani imani yenu inakua sana na kupendana kwenu kunaongezeka sana.
3Meil tuleb alati tänada Jumalat teie eest, vennad, nõnda nagu on kohus, kuna teie usk jõudsasti kasvab ja armastus, mis teil igaühel on üksteise vastu, rohkeneb,
4Ndio maana sisi tunajivunia ninyi katika makanisa ya Mungu. Tunaona fahari juu ya jinsi mnavyoendelea kuamini na kustahimili katika udhalimu wote na mateso mnayopata.
4nii et ka meie ise kiitleme teist Jumala kogudustes, teie vastupidavusest ja ustavusest kõigis tagakiusamistes ja kitsikustes, mida te talute
5Hayo yote yanathibitisha kwamba hukumu ya Mungu ni ya haki, na matokeo yake ninyi mtastahili Utawala wake ambao kwa ajili yake mnateseka.
5Jumala õiglase kohtu märgiks selle kohta, et teid on arvatud Jumala riigi vääriliseks, mille pärast te ka kannatate.
6Mungu atafanya jambo la haki: atawalipa mateso wale wanaowatesa ninyi,
6See on tõepoolest Jumala poolt õiglane, et teie vaevajaile tasutakse viletsusega
7na kuwapeni nafuu ninyi mnaoteseka, na sisi pia. Atafanya jambo hilo wakati Bwana atakapotokea kutoka mbinguni pamoja na malaika wake na wakuu
7ja teile, keda vaevatakse, antakse hingamist koos meiega, siis kui Issand Jeesus ilmub taevast oma väe inglitega
8na miali ya moto, kuwaadhibu wale wanaomkataa Mungu na wale wasiotii Habari Njema ya Bwana wetu Yesu.
8leegitsevas tules, karistades neid, kes ei tunne Jumalat ega ole kuulekad meie Issanda Jeesuse evangeeliumile.
9Adhabu yao itakuwa kuangamizwa milele na kutengwa mbali na utukufu wake mkuu,
9Need saavad karistuseks igavese hukatuse eemal Issanda palgest ja tema vägevuse kirkusest,
10wakati atakapokuja Siku ile kupokea utukufu kutoka kwa watu wake na heshima kutoka kwa wote wanaoamini. Ninyi pia mtakuwa miongoni mwao, kwani mmeuamini ule ujumbe tuliowaletea.
10kui ta tuleb, et tol päeval olla kirgastatud oma pühade hulgas ja imetletud kõigi usklike seas; sest teie juures on meie tunnistust peetud usutavaks.
11Ndiyo maana tunawaombeeni daima. Tunamwomba Mungu wetu awawezeshe muyastahili maisha aliyowaitia myaishi. Tunamwomba, kwa uwezo wake, atimize nia yenu ya kutenda mema na kukamilisha kazi yenu ya imani.
11Sellepärast me palvetamegi alati teie eest, et meie Jumal teeks teid oma kutsumise vääriliseks ja et ta oma väes teeks täielikuks kogu teie headuse meelepärasuse ja usu teo,
12Kwa namna hiyo, jina la Bwana wetu Yesu litapata utukufu kutoka kwenu, nanyi mtapata utukufu kutoka kwake kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo.
12et meie Issanda Jeesuse nimi kirgastuks teis ja teie temas, meie Jumala ja Issanda Jeesuse Kristuse armu mööda.