1Sasa yahusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja tukae naye. Ndugu, tunawaombeni sana
1Me palume aga teid, vennad, meie Issanda Jeesuse Kristuse tulemise pärast, siis kui meid kogutakse tema juurde,
2msifadhaike upesi moyoni, na wala msitiwe wasiwasi kwa sababu ya madai kwamba Siku ya Bwana imekwisha fika. Labda inadhaniwa kwamba jambo hili limetokana na uaguzi fulani, mahubiri au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu.
2et te ei laseks end nii ruttu ajada segadusse ega heidutada - ei vaimu ega sõna ega kirja läbi, mis nagu pärineks meilt -, otsekui Issanda päev oleks juba käes.
3Msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa namna yoyote ile. Maana Siku hiyo haitakuja mpaka kwanza ule Uasi Mkuu utokee na yule Mwovu aonekane ambaye mwisho wake ni kuangamizwa kabisa.
3Ärgu ükski teid mingil kombel petku! Sest see ei juhtu enne, kui on tulnud ärataganemine ja ilmunud seadusevastane inimene, hukatuse poeg,
4Yeye atapinga kila kitu wanachokiona watu kuwa ni mungu, au wanachokiabudu. Naam, hata ataingia na kuketi ndani ya Hekalu la Mungu akijidai kuwa Mungu.
4kes paneb vastu ja tõstab enese üle kõige, mida nimetatakse jumalaks või jumalateenistuseks, nii et ta istub Jumala templisse, lastes end paista Jumalana.
5Je, hamkumbuki kwamba niliwaambieni haya yote wakati nilipokuwa pamoja nanyi?
5Kas te ei mäleta, et ma ütlesin seda teile, kui ma veel teie juures olin?
6Lakini kuna kitu kinachomzuia sasa, nanyi mwakijua kitu hicho. Basi, huyo Mwovu ataonekana wakati wake ufaao.
6Ja nüüd te teate, mis teda takistab, nii et ta saab ilmuda alles omal ajal.
7Hata hivyo, Mwovu huyo aliyefichika anafanya kazi sasa, lakini hataonekana mpaka yule anayemzuia aondolewe.
7Vägivalla saladus on juba toimimas, ainult vahelt peab ära kaduma see, kes teda seni takistab.
8Hapo ndipo Mwovu atakapotokea; lakini Bwana Yesu anapokuja atamuua kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kwa mng'ao wa kuja kwake.
8Alles siis ilmub seadusevastane, kelle Issand Jeesus hukkab oma suu hingusega ja kelle ta kõrvaldab oma avalikuks saamisega, kui ta tuleb.
9Huyo Mwovu atakuja na nguvu za Shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo,
9Seadusevastase tulemine sünnib saatana mõjul igasuguste vägevate tegude ja tunnustähtedega ja valeimedega
10na kutumia udanganyifu wa kila namna kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea. Hao watapotea kwa sababu hawakuupokea na kuupenda ule ukweli ili waokolewe.
10ja igasuguse ülekohtu pettusega neile, kes hukkuvad, sellepärast et nad ei võtnud vastu tõe armastust, et nad oleksid pääsenud.
11Ndiyo maana Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu, wauamini uongo.
11Ja seepärast saadabki Jumal neile eksitava jõu, et nad hakkaksid uskuma valet,
12Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, ila wafurahia dhambi, watahukumiwa.
12ja nii saavad kohtualuseks kõik, kes ei ole uskunud tõde, vaid kellele on meeldinud ülekohus.
13Tunapaswa kumshukuru Mungu daima kwa ajili yenu ninyi ndugu, ninyi mnaopendwa na Bwana, kwa maana Mungu amewateua tangu mwanzo mpate kuokolewa kwa nguvu ya Roho mfanywe watu wake watakatifu kwa imani yenu katika ukweli.
13Meil tuleb aga alati tänada Jumalat teie eest, Issandale armsad vennad, et Jumal on teid valinud uudseviljana päästeks Vaimu pühitsuse läbi ja tõe usu varal.
14Mungu aliwaitieni jambo hili kwa njia ya Habari Njema tuliyowahubirieni; aliwaiteni mpate kupokea sehemu yenu katika utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
14Selleks on ta kutsunud teid meie evangeeliumi kaudu meie Issanda Jeesuse Kristuse kirkuse saamiseks.
15Basi, ndugu, simameni imara na zingatieni yale mafundisho tuliyowafundisheni kwa mahubiri yetu na barua zetu.
15Niisiis, vennad, seiske kindlalt ja pidage kinni nendest pärimustest, mida te olete õppinud kas meie sõna või kirja kaudu.
16Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye alitupenda, na kwa neema yake akatujalia faraja ya milele na tumaini jema,
16Aga meie Issand Jeesus Kristus ise ja Jumal, meie Isa, kes meid on armastanud ja armust meile andnud igavese julgustuse ja hea lootuse,
17aifariji mioyo yenu na kuwaimarisheni ili mweze daima kutenda na kusema yaliyo mema.
17julgustagu teie südant ja kinnitagu teid igasuguses heas teos ja sõnas!