Swahili: New Testament

Estonian

Acts

24

1Baada ya siku tano, Kuhani Mkuu Anania aliwasili Kaisarea pamoja na wazee kadhaa na wakili mmoja wa sheria aitwaye Tertulo. Walimwendea yule mkuu wa mkoa wakamweleza mashtaka yao juu ya Paulo.
1Aga viie päeva pärast tuli alla ülempreester Hananias koos mõne vanema ja kõnemees Tertullusega. Need esitasid maavalitsejale Pauluse vastu ametliku avalduse.
2Paulo aliitwa na Tertulo akafungua mashtaka hivi: "Mheshimiwa Felisi, uongozi wako bora umeleta amani kubwa na marekebisho ya lazima yanafanywa kwa manufaa ya taifa letu.
2Kui Paulus oli ette kutsutud, alustas Tertullus süüdistuskõnet: 'Meie oleme sinu kaudu, üliauline Feeliks, saanud suure rahu ja sinu hoolekande tõttu on sellele rahvale osaks saanud paranemine.
3Tunalipokea jambo hili kwa furaha daima na kutoa shukrani nyingi kwako kila mahali.
3Ja selle me võtame igati ja kõikjal vastu suure tänuga.
4Lakini, bila kupoteza wakati wako zaidi, tunakusihi kwa wema wako, usikilize taarifa yetu fupi.
4Et ma sind aga kauem ei tüütaks, siis palun sind, et sa oma lahkuses meie asja lühidalt ära kuulad.
5Tumegundua kwamba mtu huyu ni wa hatari mno. Yeye huanzisha ghasia kati ya Wayahudi kila mahali duniani na pia ni kiongozi wa kile chama cha Wanazareti.
5Sest me oleme leidnud, et see mees on nagu katk ja õhutab mässu kõigi juutide seas kogu riigis, olles ise naatsaretlaste lahkusu peamees.
6Tena alijaribu kulikufuru Hekalu nasi tukamtia nguvuni. Kama ukimhoji wewe mwenyewe, utaweza kubainisha mambo haya yote tunayomshtaki kwayo." Tulitaka kumhukumu kufuatana na Sheria yetu.
6Ta on üritanud isegi pühakoda rüvetada, mispuhul me ta kinni võtsimegi [ja tahtsime tema üle kohut mõista oma Seadust mööda.
7Lakini Lusia, mkuu wa jeshi, aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu kutoka mikononi mwetu.
7Ülempealik Lüüsias tuli aga vahele ja kiskus ta meie käest ja viis ära, käskides süüdistajaid tulla sinu juurde].
8Kisha akaamuru washtaki wake waje mbele yako.
8Sa võid ise teda üle kuulates teada saada kõigest sellest, milles me teda süüdistame.'
9Nao Wayahudi waliunga mkono mashtaka hayo wakisema kwamba hayo yote yalikuwa kweli.
9Ja juudid toetasid seda, tõendades, et see on nõnda.
10Basi, mkuu wa mkoa alimwashiria Paulo aseme. Naye Paulo akasema, "Nafurahi kujitetea mbele yako nikijua kwamba umekuwa hakimu wa taifa hili kwa miaka mingi.
10Kui maavalitseja Paulusele märku andis rääkida, siis vastas ta: 'Teades, et sa palju aastaid selle rahva kohtumõistja oled olnud, kaitsen ma end julge meelega.
11Unaweza kujihakikishia kwamba si zaidi ya siku kumi na mbili tu zimepita tangu nilipokwenda kuabudu Yerusalemu.
11Sa võid ju teada saada, et sellest ei ole rohkem kui kaksteist päeva möödas, mil ma läksin üles Jeruusalemma Jumalat kummardama.
12Wayahudi hawakunikuta nikijadiliana na mtu yeyote. Hawakunikuta nikichochea watu Hekaluni wala katika masunagogi yao, wala mahali pengine popote katika mji huo.
12Nad ei ole leidnud mind kellegagi arutlemas ega väitlemas või tekitamas rahvamässu templis, mõnes sünagoogis või linnas.
13Wala hawawezi kuthibitisha mashtaka waliyotoa juu yangu.
13Nad ei suuda ka tõestada seda, milles nad mind nüüd süüdistavad.
14Ninachokubali mbele yako ni hiki: Mimi ninamwabudu Mungu na wazee wetu nikiishi kufuatana na Njia ile ambayo wao wanaiita chama cha uzushi. Ninaamini mambo yote yaliyoandikwa katika vitabu vya Sheria na manabii.
14Ma tunnistan sulle aga seda, et ma usuteed mööda, mida nemad nimetavad lahkusuks, teenin oma isade Jumalat, uskudes kõike, mis Seadusesse ja prohvetite raamatutesse on kirjutatud,
15Mimi namtumainia Mungu, na wao wanalo tumaini hilo, kwamba watu, wema na wabaya, watafufuka.
15ja mul on lootus Jumala peale, et tuleb õigete ja ülekohtuste ülestõusmine, mida nemad ka ise ootavad.
16Kwa hiyo ninajitahidi daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu.
16Just selle pärast püüan ma alati hoida puhast südametunnistust Jumala ja inimeste ees.
17"Baada ya kukaa mbali kwa miaka kadhaa, nilirudi Yerusalemu ili kuwapelekea wananchi wenzangu msaada na kutoa dhabihu.
17Nüüd ma olen aga pärast mitmeid aastaid tulnud tooma annetusi oma rahvale ja ohverdama.
18Wakati nilipokuwa nikifanya hayo ndipo waliponikuta Hekaluni, nilipokuwa nimekwisha fanya ile ibada ya kujitakasa. Hakukuwako kundi la watu wala ghasia.
18Seda tegemast - mitte rahvahulga ega märuli keskelt - leidsid mind mõned Aasia juudid, kui ma end pühakojas puhastasin.
19Lakini kulikuwa na Wayahudi wengine kutoka mkoa wa Asia; hao ndio wangepaswa kuwa hapa mbele yako na kutoa mashtaka yao kama wana chochote cha kusema dhidi yangu.
19Need peaksid sinu ees olema ja mind süüdistama, kui neil on midagi minu vastu.
20Au, waache hawa walio hapa waseme kosa waliloliona kwangu wakati niliposimama mbele ya Baraza lao kuu,
20Või ütelgu nad siin ise, mis kuriteo nad minust leidsid, kui ma seisin Suurkohtu ees.
21isipokuwa tu maneno haya niliyosema niliposimama mbele yao: Mnanihukumu leo hii kwa sababu ya kushikilia kwamba wafu watafufuliwa!"
21Kas siis selle ainsa sõna pärast, mis ma hüüdsin nende seas seistes: 'Te mõistate täna mu üle kohut surnute ülestõusmise pärast!'?'
22Hapo, Felisi, ambaye mwenyewe alikuwa anaifahamu hiyo Njia vizuri, aliahirisha kesi hiyo. Akawaambia, "Nitatoa hukumu juu ya kesi hiyo wakati Luisa, mkuu wa jeshi, atakapokuja hapa."
22Feeliks aga, teades täpselt kõike usuteega seotut, lükkas nende kohtuasja edasi, öeldes: 'Kui ülempealik Lüüsias tuleb, siis ma otsustan teie asja ära.'
23Kisha akamwamuru yule jemadari amweke Paulo kizuizini, lakini awe na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe kumpatia mahitaji yake.
23Ta käskis pealikut hoida Paulust vangis, kuid kerge vahi all, nii et kedagi omastest ei takistataks teda teenimast.
24Baada ya siku chache, Felisi alifika pamoja na mkewe Drusila ambaye alikuwa Myahudi. Aliamuru Paulo aletwe, akamsikiliza akiongea juu ya kumwamini Yesu Kristo.
24Mõne päeva pärast saabus Feeliks koos oma naise Drusillaga, kes oli juut, ja laskis saata mehed Pauluse järele ning kuulas ta kõnet usust Kristusesse Jeesusesse.
25Lakini wakati Paulo alipoanza kuongea juu ya uadilifu, juu ya kuwa na kiasi na juu ya siku ya hukumu inayokuja, Felisi aliogopa, akasema, "Kwa sasa unaweza kwenda; nitakuita tena nitakapopata nafasi."
25Aga kui Paulus kõneles õiglusest ja kasinusest ja tulevasest kohtust, lõi Feeliks kartma ja vastas: 'Mine seekord ära, kui mul on rohkem aega, siis ma lasen su jälle kutsuda.'
26Wakati huohuo alikuwa anatumaini kwamba Paulo angempa fedha. Kwa sababu hii alimwita Paulo mara kwa mara na kuzungumza naye.
26Pealegi ta lootis, et Paulus annab talle raha; seepärast laskiski ta teda üsna sageli enda juurde saata ja vestles temaga.
27Baada ya miaka miwili, Porkio Festo alichukua nafasi ya Felisi, akawa mkuu wa Mkoa. Kwa kuwa alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, Felisi alimwacha Paulo kizuizini.
27Ent kui kaks aastat sai täis, tuli Feeliksi järglaseks Porkius Festus. Feeliks aga, soovides olla juutidele meelepärane, jättis Pauluse ahelaisse.