1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, nawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Efeso, mlio waaminifu katika kuungana na Kristo Yesu.
1Paulus, Jumala tahtmisel Kristuse Jeesuse apostel - pühadele, kes on Efesoses, ja usklikele Kristuses Jeesuses:
2Nawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana Yesu Kristo.
2Armu teile ja rahu Jumalalt, meie Isalt, ja Issandalt Jeesuselt Kristuselt!
3Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Maana, katika kuungana na Kristo ametubariki kwa kutujalia zawadi zote za kiroho mbinguni.
3Kiidetud olgu Jumal ja meie Issanda Jeesuse Kristuse Isa, kes meid on taevast õnnistanud kõige vaimuliku õnnistusega Kristuses;
4Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituteua tuwe wake katika kuungana na Kristo ili tuwe watakatifu na bila hitilafu mbele yake. Kwa sababu ya upendo wake,
4nõnda nagu tema on meid Kristuses valinud enne maailma rajamist olema pühad ja laitmatud tema palge ees armastuses,
5Mungu alikuwa ameazimia tangu zamani kutuleta kwake kama watoto wake kwa njia ya Yesu Kristo. Ndivyo alivyopenda na kunuia.
5meid ette määrates lapseõiguse osalisteks Jeesuse Kristuse kaudu enese juurde oma tahtmise heameelt mööda,
6Basi, tumsifu Mungu kwa sababu ya neema yake tukufu katika Mwanae mpenzi!
6tema armu kirkuse kiituseks, mille ta meile on kinkinud selles Armastatus.
7Maana kwa damu yake Kristo sisi tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa. Ndivyo ulivyo ukuu wa neema yake
7Temas on meil lunastus tema vere läbi, üleastumiste andekssaamine tema armu rikkust mööda,
8aliotukirimia bila kipimo! Kwa hekima na ujuzi wake wote
8millega ta meid on ülirikkalikuks teinud kõiges tarkuses ja arukuses,
9Mungu alitekeleza kile alichonuia, akatujulisha mpango wake uliofichika, ambao alikuwa ameazimia kuutekeleza kwa njia ya Kristo.
9tema on teatanud meile oma tahtmise saladuse oma hea nõu kohaselt, mille ta Kristuses oli kavandanud
10Mpango huo ambao angeutimiza wakati utimiapo ni kukusanya pamoja viumbe vyote, kila kitu mbinguni na duniani, chini ya Kristo.
10aegade täiuse korraldamiseks, et Kristuses võtta kokku kõik, mis on taevas ja mis on maa peal.
11Kila kitu hufanywa kufuatana na mpango na uamuzi wa Mungu; naye Mungu ametuteua sisi tuwe watu wake kwa mapenzi yake katika kuungana na Kristo, kufuatana na azimio alilofanya tangu mwanzo.
11Temas oleme ka meie saanud liisuosa ettemääratult kõiges toimivat kavandamist mööda tema tahtmise nõu järgi,
12Basi, sisi tuliotangulia kumtumainia Kristo tunapaswa kuusifu utukufu wa Mungu!
12et me oleksime tema kirkuse kiituseks, kes me varem oleme lootnud Kristusele.
13Nanyi pia watu wa mataifa mengine, mliusikia ujumbe wa kweli yaani Habari Njema iliyowaletea wokovu, mkamwamini Kristo; naye Mungu, ili kuonyesha kuwa ninyi ni wake, akawapiga mhuri kwa kuwapeni yule Roho Mtakatifu aliyetuahidia.
13Temas olete ka teie sellest ajast peale, mil te saite kuulda tõe sõna, oma pääste evangeeliumi; ja kelles teiegi, saanud usklikuks, olete kinnitatud tõotatud Püha Vaimu pitseriga; selle Vaimu,
14Huyu Roho ni dhamana ya kurithi yote yale Mungu aliyowaahidia watu wake, na jambo hili latuhakikishia kwamba Mungu atawakomboa kabisa wote walio wake. Tuusifu utukufu wake!
14kes on meie pärandi tagatis omandi lunastamiseni - tema kirkuse kiituseks.
15Kwa sababu hiyo, tangu niliposikia juu ya imani yenu kwa Bwana Yesu na mapendo yenu kwa watu wa Mungu,
15Seepärast ka mina, kui ma sain kuulda teie usust Issandasse Jeesusesse ja armastusest kõigi pühade vastu,
16sijaacha kamwe kumshukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika sala zangu
16ei lakka tänamast teie eest, teid oma palvetes meenutades,
17ili Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo Baba mtukufu, awajalieni Roho wake atakayewapa hekima na kuwafunulieni Mungu mpate kumjua.
17et meie Issanda Jeesuse Kristuse Jumal, kirkuse Isa, teile annaks tarkuse ja ilmutuse Vaimu tema äratundmisel,
18Namwomba Mungu aifunue mioyo yenu iweze kuuona mwanga wake, mpate kutambua lile tumaini alilowaitieni na utukufu mkuu wa zawadi alizowawekea watu wake,
18valgustades teie südame silmi, et te teaksite, milline lootus on tema kutsumises, milline on tema pärandi kirkuse rikkus pühade sees
19mpate kutambua jinsi uwezo wake ulivyo mkuu mno kwa ajili yetu sisi tunaoamini. Uwezo huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na nguvu ile kuu mno
19ja milline on tema väe võrratu suurus meie heaks, kes me usume tema tugevuse jõu mõjul.
20aliyomfufua nayo Kristo kutoka wafu, akamketisha kulia kwake mbinguni.
20See sai tegevaks Kristuses, kui ta tema üles äratas surnuist ja pani istuma oma paremale käele taevas,
21Huko, Kristo anatawala juu ya kila tawala, mamlaka, enzi na ukuu; anatawala juu ya kila cheo kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na katika ulimwengu ujao.
21kõrgele üle iga valitsuse ja meelevalla ja väe ja ülemuse ning üle iga nime, mida nimetatakse mitte üksnes nüüdsel, vaid ka tulevasel ajastul,
22Mungu ameweka vitu vyote chini ya miguu yake, akamkabidhi kwa kanisa akiwa mkuu wa vitu vyote.
22ja ta alistas tema jalge alla kõik ning pani tema kõigi asjade üle peaks kogudusele,
23Kanisa ni mwili wa Kristo, na ukamilifu wake yeye anayekamilisha vitu vyote kila mahali.
23kes on tema ihu, tema täius, kes täidab kõik kõiges.