1Ninyi mlikuwa mmekufa kwa sababu ya makosa na dhambi zenu.
1Jumal on teinud elavaks ka teid, kes te olite surnud oma üleastumistes ja pattudes,
2Wakati ule mliishi kufuatana na mtindo mbaya wa ulimwengu huu, mkawa mnamtii mtawala wa pepo wenye nguvu wa anga, pepo ambao huwatawala sasa watu wasiomtii Mungu.
2milles te varem käisite selle maailma ajastu viisil, vürsti viisil, kellel on meelevald õhus, vaimu viisil, kes nüüdki on tegev sõnakuulmatute laste seas;
3Na hata sisi sote tulikuwa kama wao; tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya tu mambo yale yaliyoipendeza miili na akili zetu. Kidunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu.
3kelle seas ka meie kõik varem käisime oma lihalikes himudes, tehes liha ja mõtete tahtmist mööda, ning me olime loomu poolest viha lapsed nagu teisedki.
4Lakini Mungu ni mwenye huruma nyingi. Alitupenda kwa mapendo yasiyopimika,
4Aga Jumal, kes on rikas halastuselt, on meid koos Kristusega teinud elavaks oma suure armastuse pärast, millega ta meid on armastanud,
5hata, ingawa tulikuwa tumekufa kwa sababu ya dhambi, alitufanya hai pamoja na Kristo. Kwa neema ya Mungu ninyi mmeokolewa.
5kuigi me olime surnud üleastumistes - armu läbi te olete päästetud! -,
6Kwa kuungana na Kristo Yesu, Mungu alitufufua pamoja naye, tukatawale pamoja naye mbinguni.
6ning on meid koos temaga üles äratanud ja asetanud taevasesse olukorda Kristuses Jeesuses,
7Ndivyo alivyopenda kuonyesha kwa watu wa nyakati za baadaye, ukuu wa neema yake aliyotujalia kwa ukarimu katika kuungana kwetu na Kristo Yesu.
7et näidata tulevastel aegadel oma armu võrratut rikkust helduses meie vastu Kristuses Jeesuses.
8Maana, kwa neema ya Mungu mmekombolewa kwa njia ya imani. Jambo hili si matokeo ya juhudi zenu, bali ni zawadi ya Mungu.
8Sest teie olete armu läbi päästetud usu kaudu - ja see ei ole teist enestest, vaid see on and Jumalalt -,
9Wala halitokani na matendo yenu wenyewe, asije mtu akajivunia kitu.
9mitte tegudest, et ükski ei saaks kiidelda.
10Sisi ni viumbe vyake Mungu, na kwa kuungana na Kristo Yesu, alituumba kwa ajili ya kuishi maisha ya matendo mema aliyotutayarishia tuyatende.
10Sest meie oleme tema teos, Kristuses Jeesuses loodud heade tegude tegemiseks, nii nagu Jumal on juba enne meile seadnud, et me teeksime seda.
11Ninyi mlio kwa asili watu wa mataifa mengine--mnaoitwa, "wasiotahiriwa" na Wayahudi ambao hujiita, "Waliotahiriwa," (kwa sababu ya kile wanachoifanyia miili yao) --kumbukeni mlivyokuwa zamani.
11Seepärast tuletage meelde, et teie, kes te varem olite loomu poolest paganad ja keda ümberlõikamatuteks nimetasid need, keda kutsuti ümberlõigatuteks ihu ümberlõikamise tõttu,
12Wakati ule ninyi mlikuwa bila Kristo; mlikuwa nje ya jamii ya Israeli; mlikuwa wageni na hamkuwa na sehemu yoyote katika lile agano la zile ahadi. Mlikuwa bila matumaini Mungu hapa duniani.
12- teie olite tol ajal ilma Kristuseta, kaugel eemal Iisraeli kodakondsuse õigusest ja võõrad tõotuselepingule, teil ei olnud lootust ega Jumalat siin maailmas.
13Lakini sasa, kwa kuungana na Kristo Yesu, ninyi ambao hapo awali mlikuwa mbali, mmekaribishwa kwa njia ya damu yake Kristo.
13Nüüd aga Kristuses Jeesuses olete teie, kes te varem olite Jumalast võõrdunud, saanud lähedaseks Kristuse vere läbi.
14Maana Kristo mwenyewe ametuletea amani kwa kuwafanya Wayahudi na watu wa mataifa mengine kuwa jamii moja. Kwa mwili wake yeye mwenyewe aliubomoa ule ukuta uliowatenganisha na kuwafanya maadui.
14Sest tema on meie rahu, kes on mõlemad liitnud üheks ja lõhkunud maha vaheseina - see tähendab vaenu - oma ihu kaudu,
15Aliiondoa ile Sheria ya Wayahudi pamoja na amri zake na kanuni zake, ili kutokana na jamii hizo mbili aumbe jamii moja mpya katika umoja naye na hivyo kuleta amani.
15kui ta muutis kehtetuks käskude Seaduse, et luua eneses need kaks üheksainsaks uueks inimeseks, tehes rahu,
16Kwa mwili wake, Kristo aliuangamiza uadui wao; kwa msalaba wake aliziunganisha jamii hizo kuwa moja na kuzipatanisha na Mungu.
16ning et lepitada Jumalaga mõlemad ühesainsas ihus risti kaudu, surmates risti peal vaenu.
17Basi, Kristo alikuja akahubiri Habari Njema ya amani kwenu ninyi watu wa mataifa mengine mliokuwa mbali na Mungu, na pia kwa Wayahudi ambao walikuwa karibu na Mungu.
17Ta on tulnud ja kuulutanud rõõmusõnumit rahust teile, kaugelolijaile, ja rahu lähedalolijaile,
18Hivyo, kwa njia yake, sisi sote, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, tunaweza kumwendea Baba katika Roho mmoja.
18sest tema läbi on meil mõlemal ühesainsas Vaimus ligipääs Isa juurde.
19Basi, ninyi si wageni tena, wala si watu wa nje; ninyi ni raia pamoja na watu wa Mungu, na ni watu wa jamaa ya Mungu.
19Järelikult ei ole te nüüd enam võõrad ja majalised, vaid pühade kaaskodanikud ja Jumala kodakondsed,
20Mmejengwa juu ya msingi uliowekwa na mitume na manabii, naye Kristo mwenyewe ndiye jiwe kuu la msingi.
20ehitatud hooneks apostlite ja prohvetite alusele, mille nurgakiviks on Kristus Jeesus ise.
21Yeye ndiye mwenye kulitengeneza jengo lote na kulikuza hata liwe hekalu takatifu kwa ajili ya B wana.
21Tema, kelles kogu hoone kokkuliidetuna kasvab pühaks templiks Issandas
22Katika kuungana naye, ninyi pia mnajengwa pamoja na wote wengine, muwe makao ya Mungu kwa njia ya Roho wake.
22ja kelles teidki üheskoos ehitatakse Jumala eluasemeks Vaimus.