1Basi, wakafika katika nchi ya Wagerase, ng'ambo ya ziwa.
1Ja nad tulid järve vastaskaldale gerasalaste maale.
2Mara tu Yesu aliposhuka mashuani, mtu mmoja aliyepagawa na pepo mchafu alitoka makaburini, akakutana naye.
2Ja kohe, kui Jeesus oli paadist välja astunud, tuli talle vastu hauakambritest tulnud rüveda vaimuga inimene,
3Mtu huyo alikuwa akiishi makaburini wala hakuna mtu aliyeweza tena kumfunga kwa minyororo.
3kelle eluase oli hauakambrites ja keda keegi polnud iial saanud isegi ahelatega kinni pidada,
4Mara nyingi walimfunga kwa pingu na minyororo lakini kila mara aliweza kuikata hiyo minyororo na kuzivunja hizo pingu, wala hakuna mtu aliyeweza kumzuia.
4sest meest oli küll korduvalt pandud jalaraudu ja ahelaisse, aga iga kord oli ta rebinud katki kõik ahelad oma küljest ja purustanud jalarauad, ning keegi ei suutnud teda taltsutada.
5Mchana na usiku alikaa makaburini na milimani akipaaza sauti na kujikatakata kwa mawe.
5Ööd ja päevad läbi viibis ta haudades ja mägedel, karjus ja tagus end kividega.
6Alipomwona Yesu kwa mbali, alimkimbilia, akamwinamia
6Ja nähes kaugelt Jeesust, jooksis ta ja kummardas tema ette maha
7akisema kwa sauti kubwa, "Una shauri gani nami, wewe Yesu Mwana wa Mungu aliye juu? Kwa jina la Mungu, nakusihi usinitese!"
7ja kisendas valju häälega: 'Mis on mul sinuga asja, Jeesus, kõigekõrgema Jumala Poeg? Ma anun sind Jumala nimel, ära piina mind!'
8(Alisema hivyo kwa kuwa Yesu alikuwa amemwambia, "Pepo mchafu, mtoke mtu huyu.")
8Sest Jeesus ütles talle: 'Rüve vaim, mine sellest inimesest ära!'
9Basi, Yesu akamwuliza, "Jina lako nani?" Naye akajibu, "Jina langu ni Jeshi, maana sisi tu wengi."
9Ja Jeesus küsis temalt: 'Mis su nimi on?' Ja ta ütles talle:
10Kisha akamsihi Yesu asiwafukuze hao pepo katika nchi ile.
10'Leegion on mu nimi, sest meid on palju.' Ja ta palus Jeesust väga, et ta ei saadaks neid välja sealt maalt.
11Kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima.
11Aga seal oli mäe peal suur seakari söömas.
12Basi, hao pepo wakamsihi, "Utupeleke kwa hao nguruwe, tuwaingie."
12Ja nad palusid teda: 'Saada meid sigadesse, et me läheksime nendesse!'
13Naye akawaruhusu. Basi, hao pepo wachafu wakatoka, wakawaingia wale nguruwe. Kundi lote la nguruwe wapatao elfu mbili likaporomoka kwenye ule mteremko mkali mpaka ziwani, likatumbukia majini.
13Ja Jeesus andis neile loa. Ja kui rüvedad vaimud olid välja läinud, läksid nad sigadesse. Ja kari sööstis järsakult järve - neid oli ligi kaks tuhat - ning uppus järves.
14Wachungaji wa hao nguruwe walikimbia, wakatangaza jambo hilo mjini na mashambani. Watu wakafika kuona yaliyotukia.
14Ja seakarjused põgenesid ning teatasid sellest linnas ja maal. Ja inimesed tulid vaatama, mis oli juhtunud.
15Wakamwendea Yesu, wakamwona na mtu yuleyule aliyekuwa amepagawa na jeshi la pepo ameketi chini, amevaa nguo na ana akili yake sawa, wakaogopa.
15Ja nad astusid Jeesuse juurde ja nägid kurjast vaimust vaevatut, kelles oli olnud Leegion, istuvat rõivastatult ja selge aruga, ja nad lõid kartma.
16Watu walishuhudia tukio hilo wakaeleza wengine mambo yaliyompata huyo mtu aliyekuwa amepagawa na pepo na juu ya wale nguruwe.
16Ja pealtnägijad jutustasid neile, mis oli juhtunud kurjast vaimust vaevatuga, ja samuti sigadest.
17Basi, wakaanza kumwomba aondoke katika nchi yao.
17Ja nad hakkasid Jeesust paluma, et ta läheks ära nende paikkonnast.
18Yesu alipokuwa anapanda mashuani, yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo akamwomba amruhusu kwenda naye.
18Ja kui Jeesus oli paati astumas, siis mees, kes oli olnud kurjast vaimust vaevatud, palus, et ta võiks jääda temaga.
19Lakini Yesu akamkatalia. Badala yake akamwambia, "Nenda nyumbani kwa jamaa yako, ukawaambie mambo yote Bwana aliyokutendea na jinsi alivyokuonea huruma."
19Ent Jeesus ei lasknud teda jääda, vaid ütles talle: 'Mine koju omade juurde ja kuuluta neile, mida kõike Issand sulle on teinud ja et ta sinu peale on halastanud!'
20Basi, huyo mtu akaenda, akaanza kutangaza huko Dekapoli mambo yote Yesu aliyomtendea; watu wote wakashangaa.
20Ja mees läks ja hakkas Kümnelinnamaal kuulutama, mida kõike Jeesus talle oli teinud, ja kõik panid seda imeks.
21Yesu alivukia tena upande wa pili wa ziwa kwa mashua. Umati mkubwa wa watu ukakusanyika mbele yake, naye akawa amesimama kando ya ziwa.
21Ja kui Jeesus oli sõitnud paadiga taas vastaskaldale, kogunes suur rahvahulk tema juurde, ning ta oli järve ääres.
22Hapo akaja mmojawapo wa maofisa wa sunagogi, jina lake Yairo. Alipomwona Yesu, akajitupa mbele ya miguu yake,
22Ja tuli üks sünagoogi ülemaid nimega Jairus, langes Jeesust nähes ta jalge ette maha
23akamsihi akisema, "Binti yangu mdogo ni mgonjwa karibu kufa. Twende tafadhali, ukamwekee mikono yako, apate kupona na kuishi."
23ja palus teda väga: 'Mu tütreke on hinge vaakumas. Oh et sa tuleksid, paneksid käed tema peale, et ta saaks terveks ja jääks ellu!'
24Basi, Yesu akaondoka pamoja naye. Watu wengi sana wakamfuata, wakawa wanamsonga kila upande.
24Ja Jeesus läks temaga.Ja suur rahvahulk käis temaga kaasas ning tungles ta ümber.
25Mmojawapo alikuwa mwanamke mwenye ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili.
25Ja üks naine, kes oli olnud kaksteist aastat veritõves
26Mwanamke huyo alikuwa amekwisha sumbuka sana kuwaendea waganga wengi. Na ingawa alikuwa amekwisha tumia mali yake yote, hakupata nafuu bali hali yake ilizidi kuwa mbaya.
26ning palju saanud kannatada arstide käes ja ära kulutanud kõik, mis tal oli, ega olnud saanud mingit abi, vaid pigem oli ta tõbi läinud halvemaks,
27Alikuwa amesikia habari za Yesu, na hivyo akaupenya msongamano wa watu kutoka nyuma, akagusa vazi lake.
27olles kuulnud lugusid Jeesusest, läks rahvahulga seas ta selja taha ja puudutas tema kuube,
28Alifanya hivyo, maana alijisemea, "Nikigusa tu vazi lake, nitapona."
28sest ta ütles: 'Kui ma saaksin tema kuubegi puudutada, siis ma paraneksin!'
29Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.
29Ja kohe kuivas ta vereläte ja ta tundis oma ihus, et ta oli paranenud sellest hädast.
30Yesu alitambua mara kwamba nguvu imemtoka. Basi akaugeukia ule umati wa watu, akauliza, "Nani aliyegusa mavazi yangu?"
30Ja Jeesus, tundes endamisi, et vägi oli temast välja läinud, pööras kohe rahvahulga seas ümber ja küsis: 'Kes puudutas mu rõivaid?'
31Wanafunzi wake wakamjibu, "Unaona jinsi watu wanavyokusonga; mbona wauliza nani aliyekugusa?"
31Ja ta jüngrid ütlesid talle: 'Sa näed, et rahvahulk su ümber tungleb, ja küsid veel: 'Kes puudutas mind?'!'
32Lakini Yesu akaendelea kutazama amwone huyo aliyefanya hivyo.
32Ent Jeesus vaatas ringi, et näha, kes seda oli teinud.
33Hapo huyo mwanamke, akifahamu yaliyompata, akajitokeza akitetemeka kwa hofu, akajitupa chini mbele ya Yesu na kusema ukweli wote.
33Aga naine, kes teadis, mis talle oli sündinud, tuli kartes ja värisedes ning langes Jeesuse ette ja rääkis talle kogu tõe.
34Yesu akamwambia, "Binti, imani yako imekuponya. Nenda kwa amani, upone kabisa ugonjwa wako."
34Jeesus lausus aga talle: 'Tütar, sinu usk on su päästnud, mine rahuga ja ole terve oma vaevast!'
35Yesu alipokuwa bado anaongea, watu walifika kutoka nyumbani kwa yule ofisa wa sunagogi, wakamwambia, "Binti yako amekwisha kufa. Ya nini kuendelea kumsumbua Mwalimu?"
35Kui ta alles kõneles, tuldi sünagoogi ülema poolt ja öeldi: 'Su tütar on surnud, mis sa enam Õpetajat tülitad!'
36Lakini, bila kujali walichosema, Yesu akamwambia mkuu wa sunagogi, "Usiogope, amini tu."
36Aga Jeesus jättis tähele panemata, mida räägiti, ja ütles sünagoogi ülemale: 'Ära karda, usu ainult!'
37Wala hakumruhusu mtu yeyote kufuatana naye ila Petro, Yakobo na Yohane nduguye Yakobo.
37Ja ta ei lasknud endaga kaasa tulla kedagi peale Peetruse ja Jaakobuse ja Jaakobuse venna Johannese.
38Wakafika nyumbani kwa ofisa wa sunagogi naye Yesu akasikia makelele, kilio na maombolezo mengi.
38Ja nad tulid sünagoogi ülema kotta ning ta nägi käratsemist ja nutjaid ja valjult itkejaid
39Akaingia ndani, akawaambia, "Mbona mnapiga kelele na kulia? Msichana hakufa, amelala tu."
39ja sisse astudes ütles ta neile: 'Mis te käratsete ja nutate? Laps ei ole surnud, vaid magab!'
40Lakini wao wakamcheka. Basi, akawaondoa wote nje, akawachukua baba na mama ya huyo msichana na wale wanafunzi wake, wakaingia chumbani alimokuwa huyo msichana.
40Ja nad naersid tema üle. Jeesus aga ajas kõik välja, võttis kaasa lapse isa ja ema ja oma kaaslased ning läks sinna, kus oli laps.
41Kisha akamshika mkono, akamwambia, "Talitha, kumi," maana yake, "Msichana, nakwambia, amka!"
41Ja võttes kinni lapse käest, ütles talle: 'Talita kuum!' See on tõlkes: 'Tüdruk, ma ütlen sulle, ärka üles!'
42Mara msichana akasimama, akaanza kutembea. (Alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili.) Hapo watu wakashangaa kupita kiasi.
42Ja tüdruk tõusis kohe püsti ja kõndis; ta oli juba kaheteistkümneaastane. Ja nad hämmastusid üliväga.
43Yesu akawakataza sana wasimjulishe mtu jambo hilo. Kisha akawaambia wampe huyo msichana chakula.
43Ja Jeesus keelas neid karmilt, et keegi ei tohi saada seda teada, ja käskis anda tüdrukule süüa.