Swahili: New Testament

Estonian

Matthew

25

1"Wakati huo, Ufalme wa mbinguni utafanana na wasichana kumi waliochukua taa zao, wakaenda kumlaki bwana arusi.
1Siis on taevariik kümne neitsi sarnane, kes võtsid oma lambid ja läksid peigmehele vastu.
2Watano miongoni mwao walikuwa wapumbavu na watano walikuwa wenye busara.
2Viis nendest olid rumalad ja viis arukad,
3Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta.
3rumalad võtsid küll oma lambid, kuid ei võtnud kaasa õli,
4Lakini wale wenye busara walichukua mafuta katika chupa pamoja na taa zao.
4arukad võtsid aga lampidele lisaks kaasa õlianumad.
5Kwa kuwa bwana arusi alikawia kuja, wale wanawali wote wote walisinzia, wakalala.
5Aga kui peigmees viibis, jäid nad kõik tukkuma ja uinusid magama.
6Usiku wa manane kukawa na kelele: Haya, haya! Bwana arusi anakuja; nendeni kumlaki.
6Aga keskööl kostis hüüd: 'Ennäe, peigmees! Tulge välja teda vastu võtma!'
7Hapo wale wanawali wote wakaamka, wakazitayarisha taa zao.
7Siis ärkasid kõik need neitsid ja seadsid korda oma lambid.
8Wale wapumbavu wakawaambia wale wenye busara: Tupeni mafuta yenu kidogo maana taa zetu zinazimika.
8Rumalad ütlesid arukatele: 'Andke meile osa oma õlist, sest meie lambid kustuvad!'
9Lakini wale wenye busara wakawaambia, Hayatatutosha sisi na ninyi! Afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!
9Aga arukad vastasid: 'Ei mingil juhul, sellest ei jätku meile ja teile! Minge pigem kaupmeeste juurde ja ostke enestele!'
10Basi, wale wanawali wapumbavu walipokwenda kununua mafuta, bwana arusi akafika, na wale wanawali waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye katika jumba la arusi, kisha mlango ukafungwa.
10Aga kui nad olid ostma läinud, tuli peigmees, ja kes olid valmis, läksid temaga pulma, ja uks lukustati.
11Baadaye wale wanawali wengine wakaja, wakaita: Bwana, bwana, tufungulie!
11Hiljem tulid ka need teised neitsid ja ütlesid: 'Isand, isand, ava meile!'
12Lakini yeye akawajibu, Nawaambieni kweli, siwajui ninyi."
12Aga tema vastas neile: 'Tõesti, ma ütlen teile, ma ei tunne teid.'
13Kisha Yesu akasema, "Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
13Valvake siis, sest te ei tea seda päeva ega tundi!
14"Itakuwa kama mtu mmoja aliyetaka kusafiri ng'ambo: aliwaita watumishi wake, akawakabidhi mali yake.
14Sest sellega on lugu just nagu mehega, kes enne võõrsile minemist kutsus oma sulased ja andis oma varanduse nende kätte.
15Alimpa kila mmoja kadiri ya uwezo wake: mmoja sarafu tano za fedha ziitwazo talanta, mwingine talanta mbili na mwingine talanta moja, kisha akasafiri.
15Ühele andis ta viis talenti, teisele kaks ja kolmandale ühe, igaühele tema suutlikkust mööda, ning läks ära võõrsile.
16Mara yule aliyekabidhiwa talanta tano akafanya kazi nazo akapata faida talanta tano.
16Kohe läks see, kes oli saanud viis talenti, ja kauples nendega ning sai teist viis.
17Hali kadhalika na yule aliyekabidhiwa talanta mbili akapata faida talanta mbili.
17Nõndasamuti ka kaks talenti saanu sai teist kaks juurde.
18Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaenda akachimba shimo ardhini, akaificha fedha ya bwana wake.
18Aga kes oli saanud ühe, läks ja kaevas maasse augu ning peitis ära oma isanda raha.
19"Baada ya muda mrefu, yule bwana alirudi, akaanza kukagua hesabu ya matumizi na mapato ya fedha yake.
19Pika aja pärast tuli nende sulaste isand koju ja nõudis neilt aru.
20Mtumishi aliyekabidhiwa talanta tano akaja amechukua zile talanta tano faida, akamwambia, Bwana, ulinikabidhi talanta tano, hapa pana talanta tano zaidi faida niliyopata.
20Siis astus ta ette see, kes oli saanud viis talenti, lisas sellele teist viis talenti ja ütles: 'Isand, sa andsid mulle viis talenti, ennäe, ma olen saanud teist viis talenti!'
21Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
21Ta isand lausus talle: 'Tubli, sa hea ja ustav sulane, sa oled olnud ustav pisku üle, ma panen su palju üle. Mine oma isanda rõõmupeole!'
22"Mtumishi aliyekabidhiwa talanta mbili akaja, akatoa talanta mbili faida, akisema, Bwana, ulinikabidhi talanta mbili. Chukua talanta mbili zaidi faida niliyopata.
22Ka kaks talenti saanu ütles ta ette astudes: 'Isand, sa andsid mulle kaks talenti, ennäe, ma olen saanud teist kaks talenti!'
23Bwana wake akamwambia, Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.
23Ta isand lausus talle: 'Tubli, sa hea ja ustav sulane, sa oled olnud ustav pisku üle, ma panen su palju üle. Mine oma isanda rõõmupeole!'
24"Lakini yule aliyekabidhiwa talanta moja akaja, akasema, Bwana, najua wewe ni mtu mgumu; wewe huvuna pale ambapo hukupanda, na kukusanya pale ambapo hukutawanya.
24Siis astus tema ette ka see, kes oli saanud ühe talendi, ja ütles: 'Isand, ma tean, et sa oled vali mees, sa lõikad sealt, kuhu sa ei ole külvanud, ja kogud sealt, kuhu sa ei ole puistanud.
25Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi mali yako.
25Ja ma kartsin, läksin ära ja peitsin sinu talendi maa sisse. Vaata, siin on sinu oma!'
26"Bwana wake akamwambia, Wewe ni mtumishi mwovu na mvivu! Unajua kuwa mimi huvuna mahali ambapo sikupanda, na hukusanya pale ambapo sikutawanya.
26Tema isand aga vastas talle: 'Sa halb ja laisk sulane! Sa teadsid, et ma lõikan sealt, kuhu ma ei ole külvanud, ja kogun sealt, kuhu ma ei ole puistanud.
27Ilikupasa basi, kuiweka fedha yangu katika benki, nami ningelichukua mtaji wangu na faida yake!
27Siis sa oleksid pidanud mu raha andma pankurite kätte, ja tulles ma oleksin saanud oma osa kätte vahekasuga.
28Basi, mnyang'anyeni hiyo fedha mkampe yule mwenye talanta kumi.
28Võtke nüüd tema käest talent ära ja andke sellele, kellel on kümme talenti!
29Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
29Sest igaühele, kellel on, antakse, ja tal on rohkem kui küllalt, kellel aga ei ole, selle käest võetakse ära seegi, mis tal on.
30Na kuhusu huyu mtumishi asiye na faida, mtupeni nje gizani! Huko kutakuwa na kilio na kusaga meno.
30Ja kõlbmatu sulane heitke välja kaugele pimedusse, seal on ulgumine ja hammaste kiristamine!'
31"Wakati Mwana wa Mtu atakapokuja katika utukufu wake na malaika wote wakiwa pamoja naye, hapo ataketi juu ya kiti chake cha enzi kitukufu,
31Aga kui Inimese Poeg tuleb oma kirkuses ja kõik inglid temaga, siis ta istub oma kirkuse troonile
32na mataifa yote yatakusanyika mbele yake, naye atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.
32ja ta ette kogutakse kõik rahvad ja ta eraldab nad üksteisest, otsekui karjane eraldab lambad sikkudest.
33Atawaweka kondoo upande wake wa kulia na mbuzi upande wake wa kushoto.
33Ja ta seab lambad oma paremale käele, sikud aga vasakule käele.
34"Kisha Mfalme atawaambia wale walio upande wake wa kulia, Njoni enyi mliobarikiwa na Baba yangu; pokeeni Ufalme mliotayarishiwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
34Siis ütleb kuningas oma paremal käel olijatele: 'Tulge siia, minu Isa õnnistatud, pärige kuningriik, mis teile on valmistatud maailma rajamisest peale!
35Maana nilikuwa na njaa nanyi mkanipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi mkanipa maji; nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;
35Sest mul oli nälg ja te andsite mulle süüa, mul oli janu ja te andsite mulle juua, ma olin kodutu ja te võtsite mu vastu,
36nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.
36ma olin alasti ja te riietasite mind, ma olin haige ja te tulite mind vaatama, ma olin vangis ja te tulite mu juurde.'
37Hapo, hao watu wema watamjibu mfalme Bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?
37Siis vastavad õiged talle: 'Issand, millal me nägime sind näljasena ja toitsime sind, või janusena ja jootsime sind?
38Ni lini tulikuona ukiwa mgeni nasi tukakukaribisha, au bila nguo nasi tukakuvika?
38Millal me nägime sind kodutuna ja võtsime su vastu, või alasti ja riietasime sind?
39Ni lini tulikuona ukiwa mgonjwa au mfungwa nasi tukaja kukutazama?
39Millal me nägime sind haigena või vangis ja tulime su juurde?'
40Mfalme atawajibu, Kweli nawaambieni, kila kitu mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi.
40Ja kuningas vastab neile: 'Tõesti, ma ütlen teile, mida te iganes olete teinud kellele tahes mu kõige pisematest vendadest, seda te olete teinud mulle.'
41"Kisha atawaambia wale walio upande wake wa kushoto, Ondokeni mbele yangu enyi mliolaaniwa! Nendeni katika moto wa milele aliotayarishiwa Ibilisi na malaika wake.
41Siis ta ütleb ka vasakul käel olijatele: 'Minge ära minu juurest, te äraneetud, igavesse tulle, mis on valmistatud kuradile ja tema inglitele!
42Maana nilikuwa na njaa nanyi hamkunipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi hamkunipa maji.
42Sest mul oli nälg ja te ei andnud mulle süüa, mul oli janu ja te ei andnud mulle juua,
43Nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha; nilikuwa mgonjwa na mfungwa nanyi hamkuja kunitazama.
43ma olin kodutu ja te ei võtnud mind vastu, ma olin alasti ja te ei riietanud mind, ma olin haige ja vangis ja te ei tulnud mind vaatama.'
44"Hapo nao watajibu, Bwana, ni lini tulikuona ukiwa na njaa au kiu, ukiwa mgeni au bila nguo, ukiwa mgonjwa au mfungwa, nasi hatukuja kukuhudumia?
44Siis vastavad ka need: 'Issand, millal me nägime sind näljasena või janusena või kodutuna või alasti või haigena või vangis ja ei ole sind teeninud?'
45Naye atawajibu, Nawaambieni kweli, kila mlipokataa kumtendea mambo haya mmojawapo wa hawa wadogo, mlikataa kunitendea mimi.
45Siis ta vastab neile: 'Tõesti, ma ütlen teile, mida te iganes olete jätnud tegemata kellele tahes mu kõige pisematest vendadest, seda te olete jätnud tegemata minulegi.'
46Basi, hawa watakwenda kwenye adhabu ya milele, lakini wale waadilifu watakwenda kwenye uzima wa milele."
46Ja need lähevad igavesse karistusse, õiged aga igavesse ellu.'