Swahili: New Testament

Estonian

Matthew

6

1"Jihadharini msije mkafanya matendo yenu mema mbele ya watu kusudi mwonekane nao. La sivyo, Baba yenu aliye mbinguni hatawapeni tuzo.
1Hoiduge aga, et te oma vagasid tegusid ei tee inimeste ees, et nemad teid vaataksid, muidu ei ole teil palka oma Isalt, kes on taevas!
2"Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.
2Kui sa nüüd almuseid jagad, siis ära lase enese ees pasunat puhuda, nii nagu silmakirjatsejad teevad sünagoogides ja tänavatel, et inimesed neid ülistaksid. Tõesti, ma ütlen teile, neil on oma palk käes!
3Lakini wewe unapomsaidia maskini, fanya hivyo kwamba hata rafiki yako asijue ufanyalo.
3Sina aga, kui sa oma almust jagad, siis ärgu su vasak käsi teadku, mida su parem käsi teeb,
4Toa msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.
4et su almus oleks varjatud, ja su Isa, kes näeb varjatutki, tasub sulle!
5"Mnaposali, msifanye kama wanafiki. Wao hupenda kusimama na kusali katika masunagogi na katika pembe za njia ili watu wawaone. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao.
5Ja kui te palvetate, siis ärge olge nagu silmakirjatsejad, sest nemad armastavad palvetada sünagoogides ja tänavanurkadel, et olla inimestele nähtavad! Tõesti, ma ütlen teile, neil on oma palk käes!
6Lakini wewe unaposali, ingia chumbani mwako, funga mlango, kisha umwombe Baba yako asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.
6Aga sina, kui sa palvetad, siis mine oma kambrisse ja lukusta uks, palveta oma Isa poole, kes on varjatud, ja su Isa, kes näeb varjatutki, tasub sulle!
7"Mnaposali, msipayuke maneno kama watu wasiomjua Mungu. Wao hudhani kwamba Mungu atawasikiliza ati kwa sababu ya maneno mengi.
7Palvetades ärge lobisege nii nagu paganad, sest nemad arvavad, et neid võetakse kuulda nende sõnaohtruse tõttu.
8Msiwe kama wao. Baba yenu anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba.
8Ärge siis saage nende sarnaseks, sest teie Isa teab, mida teile vaja läheb, enne kui te teda palute!
9Basi, hivi ndivyo mnavyopaswa kusali: Baba yetu uliye mbinguni: Jina lako litukuzwe.
9Teie palvetage siis nõnda: Meie Isa, kes sa oled taevas! Pühitsetud olgu sinu nimi!
10Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.
10Sinu riik tulgu, sinu tahtmine sündigu nagu taevas, nõnda ka maa peal!
11Utupe leo chakula chetu tunachohitaji.
11Meie igapäevast leiba anna meile tänapäev!
12Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea.
12Ja anna meile andeks meie võlad, nagu meiegi andeks anname oma võlglastele!
13Usitutie katika majaribu, lakini utuokoe na yule Mwovu. is Baadhi ya makala za zamani zina; Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.
13Ja ära saada meid kiusatusse, vaid päästa meid ära kurjast! [Sest sinu päralt on riik ja vägi ja au igavesti. Aamen.]
14"Maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia.
14Sest kui te annate inimestele andeks nende eksimused, siis annab ka teie taevane Isa teile andeks,
15Lakini msipowasamehe watu makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.
15kui te aga ei anna inimestele andeks, siis ei anna ka teie Isa teie eksimusi andeks.
16"Mnapofunga, msiwe na huzuni kama wanafiki. Wao hukunja nyuso zao wapate kuonekana na watu kuwa wanafunga. Nawaambieni hakika, hao wamekwisha pata tuzo lao.
16Kui te aga paastute, siis ärge olge kurvanäolised nagu silmakirjatsejad, sest nemad teevad oma palge näotuks, et näidata inimestele oma paastumist. Tõesti, ma ütlen teile, neil on oma palk käes!
17Wewe lakini unapofunga, paka kichwa chako mafuta, nawa uso wako,
17Aga sina, kui sa oled paastumas, siis võia oma pead ja pese oma nägu,
18ili mtu yeyote asijue kwamba unafunga, ila ujulikane tu kwa Baba yako asiyeonekana. Naye Baba yako aonaye yaliyofichika atakutuza.
18et su paastumine ei oleks näha inimestele, vaid su Isale, kes on varjatud, ja sinu Isa, kes näeb varjatutki, tasub sulle!
19"Msijiwekee hazina hapa duniani ambako nondo na kutu huharibu, na wezi huingia na kuiba.
19Ärge koguge endile aardeid maa peale, kus koi ja rooste neid rikuvad ja kuhu vargad sisse murravad ja varastavad!
20Jiwekeeni hazina mbinguni ambako nondo na kutu hawawezi kuiharibu, wala wezi hawaingii wakaiba.
20Koguge endile aardeid taevasse, kus koi ega rooste neid ei riku ja kuhu vargad sisse ei murra ega varasta!
21Maana pale ilipo hazina yako, ndipo pia utakapokuwa moyo wako.
21Sest kus su aare on, seal on ka su süda.
22"Jicho ni taa ya mwili. Kama jicho lako ni zima, mwili wako wote utakuwa katika mwanga.
22Silm on ihu lamp. Kui su silm on selge, siis on kogu su ihu valgust täis.
23Lakini ikiwa jicho lako ni bovu, mwili wako wote utakuwa katika giza. Basi, ikiwa mwanga ulioko ndani yako ni giza, basi, hilo ni giza la kutisha mno.
23Kui su silm on aga vigane, on kogu su ihu pimedust täis. Kui nüüd valgus sinu sees on pime, kui suur on siis pimedus?
24"Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili. Maana atamchukia mmoja na kumpenda huyo wa pili; au ataambatana na mmoja na kumdharau huyo mwingine. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali pamoja.
24Keegi ei saa teenida kahte isandat, ikka on nii, et ta vihkab üht ja armastab teist või et ta pooldab üht ja põlgab teist. Teie ei saa teenida nii Jumalat kui mammonat.
25"Ndiyo maana nawaambieni, msiwe na wasiwasi juu ya chakula na kinywaji mnavyohitaji ili kuishi, wala juu ya mavazi mnayohitaji kwa ajili ya miili yenu. Je, maisha ni chakula tu au zaidi? Na mwili, je, si zaidi ya mavazi?
25Seepärast ma ütlen teile: Ärge muretsege oma hinge pärast, mida süüa, ega oma ihu pärast, millega riietuda! Eks hing ole enam kui toidus ja ihu enam kui rõivas?
26Waangalieni ndege wa mwituni: hawapandi, hawavuni, wala hawana ghala yoyoye. Hata hivyo, Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, ninyi si wa thamani kuliko hao?
26Pange tähele taeva linde: nad ei külva ega lõika ega kogu aitadesse, ning teie taevane Isa toidab neid. Eks teie ole palju enam väärt kui nemad?
27Ni nani miongoni mwenu kwa kuwa na wasiwasi sana anaweza kuuongeza muda wa maisha yake?
27Aga kes teie seast suudab muretsemisega oma elule ühe küünragi juurde lisada?
28"Na kuhusu mavazi, ya nini kuwa na wasiwasi? Tazameni maua ya porini jinsi yanavyostawi. Hayafanyi kazi wala hayasokoti.
28Ja rõivastuse pärast, mis te muretsete? Pange tähele lilli väljal, kuidas nad kasvavad: ei näe nad vaeva ega ketra,
29Lakini nawaambieni, hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo.
29aga ma ütlen teile, et isegi Saalomon kogu oma hiilguses ei olnud nõnda ehitud nagu igaüks neist.
30Ikiwa basi Mungu hulivika hivyo jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, hatafanya zaidi kwenu ninyi? Enyi watu wenye imani haba!
30Kui aga Jumal nõnda rüütab väljal rohtu, mis täna on ja homme visatakse ahju, eks siis veelgi enam teid, te nõdrausulised!
31"Basi, msiwe na wasiwasi: Tutakula nini, tutakunywa nini, tutavaa nini!
31Ärge siis hakake muretsema, öeldes: 'Mis me sööme?' või 'Mis me joome?' või 'Millega me riietume?'
32Maana hayo yote yanahangaikiwa na watu wasiomjua Mungu. Baba yenu wa mbinguni anajua kwamba mnahitaji vitu hivyo vyote.
32Sest kõike seda taotlevad paganad. Teie taevane Isa teab ju, et te seda kõike vajate.
33Bali, zingatieni kwanza Ufalme wa Mungu na matakwa yake, na hayo mengine yote mtapewa kwa ziada.
33Aga otsige esmalt Jumala riiki ja tema õigust, siis seda kõike antakse teile pealegi!
34Basi, msiwe na wasiwasi juu ya kesho; kesho inayo yake. Matatizo ya siku moja yanawatosheni kwa siku hiyo.
34Ärge siis hakake muretsema homse pärast, sest küll homne päev muretseb ise enese eest! Igale päevale piisab oma vaevast.