1Yesu Kristo alikuwa mzawa wa Daudi, mzawa wa Abrahamu. Hii ndiyo orodha ya ukoo wake:
1¶ Ko te pukapuka o te whakapapa o Ihu Karaiti, tama a Rawiri, tama a Aperahama.
2Abrahamu alimzaa Isaka, Isaka alimzaa Yakobo, Yakobo alimzaa Yuda na ndugu zake,
2Na ko ta Aperahama ko Ihaka; ta Ihaka ko Hakopa; ta Hakopa ko Hura ratou ko ona tuakana, ko ona teina;
3Yuda alimzaa Faresi na Zera (mama yao alikuwa Tamari), Faresi alimzaa Hesroni, Hesroni alimzaa Rami,
3Ta Hura raua ko Tamara ko Parete raua ko Hara; ta Parete ko Heteromo; ta Heteromo ko Arame;
4Rami alimzaa Aminadabu, Aminadabu alimzaa Nashoni, Nashoni alimzaa Salmoni,
4Ta Arame ko Aminarapa; ta Aminarapa ko Nahona; ta Nahona ko Haramono;
5Salmoni alimzaa Boazi (mama yake Boazi alikuwa Rahabu). Boazi na Ruthi walikuwa wazazi wa Obedi, Obedi alimzaa Yese,
5Ta Haramono raua ko Rahapa ko Poaha; ta Poaha raua ko Rutu ko Opere; ta Opere ko Hehe;
6naye Yese alimzaa Mfalme Daudi. Daudi alimzaa Solomoni (mama yake Solomoni alikuwa mke wa Uria).
6Ta Hehe ko Rawiri, ko te kingi; ta Rawiri kingi raua ko te wahine a Uria ko Horomona;
7Solomoni alimzaa Rehoboamu, Rehoboamu alimzaa Abiya, Abiya alimzaa Asa,
7Ta Horomona ko Rehopoama; ta Rehopoama ko Apia; ta Apia ko Aha;
8Asa alimzaa Yehoshafati, Yehoshafati alimzaa Yoramu, Yoramu alimzaa Uzia,
8Ta Aha ko Iehohapata; ta Iehohapata ko Iorama; ta Iorama ko Ohiaha;
9Uzia alimzaa Yothamu, Yothamu alimzaa Ahazi, Ahazi alimzaa Hezekia,
9Ta Ohiaha ko Iotama; ta Iotama ko Ahata; ta Ahata ko Hetekia;
10Hezekia alimzaa Manase, Manase alimzaa Amoni, Amoni alimzaa Yosia,
10Ta Hetekia ko Manahi; ta Manahi ko Amono; ta Amono ko Hohia;
11Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake. Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni.
11Ta Hohia ko Hekonia ratou ko ona teina; i te wa o te whakahekenga ki Papurona:
12Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli alimzaa Zerobabeli,
12A, i muri i te whakahekenga atu ki Papurona, ka whanau ta Hekonia ko Haratiera; ta Haratiera ko Herupapera;
13Zerobabeli alimzaa Abiudi, Abiudi alimzaa Eliakimu, Eliakimu alimzaa Azori,
13Ta Herupapera ko Apiuru; ta Apiuru ko Eriakimi; ta Eriakimi ko Atoro;
14Azori alimzaa Zadoki, Zadoki alimzaa Akimu, Akimu alimzaa Eliudi,
14Ta Atoro ko Haroko; ta Haroko ko Akimi; ta Akimi ko Eriuru;
15Eliudi alimzaa Eleazeri, Eleazeri alimzaa Mathani, Mathani alimzaa Yakobo,
15Ta Eriuru ko Ereatara; ta Ereatara ko Matana; ta Matana ko Hakopa;
16Yakobo alimzaa Yosefu, aliyekuwa mume wake Maria, mama yake Yesu, aitwaye Kristo.
16Ta Hakopa ko Hohepa, ko te tahu a Meri; whanau ake ta Meri ko Ihu, e kiia nei ko te Karaiti.
17Basi, kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi mpaka Wayahudi walipochukuliwa mateka Babuloni, na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa Kristo.
17Heoi, ko nga whakatupuranga katoa o Aperahama tae noa ki a Rawiri tekau ma wha nga whakatupuranga; o Rawiri tae noa ki te whakahekenga ki Papurona tekau ma wha nga whakatupuranga; a no te whakahekenga ki Papurona tae noa ki a te Karaiti tekau ma wha nga whakatupuranga.
18Basi, hivi ndivyo Yesu Kristo alivyozaliwa: Maria, mama yake, alikuwa ameposwa na Yosefu. Lakini kabla hawajakaa pamoja kama mume na mke, alionekana kuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
18¶ Na ko te whanautanga tenei o Ihu Karaiti: he mea taumau a Meri, tona whaea, ma Hohepa, a i te mea kiano raua i tata noa ki a raua, ka kitea kua hapu ia i te Wairua Tapu.
19Yosefu, mumewe, kwa vile alikuwa mwadilifu, hakutaka kumwaibisha hadharani; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri.
19Otira he tangata tika tana tahu, a Hohepa, a kahore ona ngakau kia whakakitea nuitia ia, ka mea kia whakarerea pukutia.
20Alipokuwa bado anawaza jambo hilo, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akamwambia, "Yosefu, mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Maria awe mke wako, maana amekuwa mja mzito kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
20Otiia i a ia e hurihuri ana i enei mea, na, ka puta moemoea mai tetahi anahera a te Ariki ki a ia, ka mea, E Hohepa, e te tama a Rawiri, kaua e hopohopo ki te tango i a Meri, i tau wahine; na te Wairua Tapu hoki tona hapu.
21Atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu, kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao."
21A e whanau ia he tama, me hua e koe tona ingoa ko IHU: no te mea mana e whakaora tona iwi i o ratou hara.
22Basi, haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii:
22Na ka oti tenei katoa, katahi ka rite ta te Ariki, i korerotia e te poropiti, i mea ai ia,
23"Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kiume, naye ataitwa Emanueli" (maana yake, "Mungu yu pamoja nasi").
23Na, ka hapu te wahine, ka whanau hoki he tama, a ka huaina e ratou tona ingoa ko Emanuera, ko tona whakamaoritanga tenei, Kei a tatou te Atua.
24Hivyo, Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani.
24A ka ara ake a Hohepa i te moe, ka meatia e ia ta te anahera a te Ariki i whakahau ai ki a ia, a tango ana ia i tana wahine:
25Lakini hakumjua kamwe kimwili hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume. Naye Yosefu akampa jina Yesu.
25A kihai i mohio ki a ia, whanau noa tana tama matamua: a huaina ana e ia tona ingoa ko IHU.