1Ndugu, mimi nilipokuja kwenu sikuwahubiria siri ya ujumbe wa Mungu kwa ufasaha wa lugha, au kwa hekima ya binadamu.
1Huan, unaute aw, kei jaw Pathian thuguk nou honhilh dinga na kiang ua ka hong laiin, thu gen thupi leh pilna thupi toh hong ka hi kei hi.
2Nilipokuwa kwenu niliamua kutojua chochote kile isipokuwa tu kumjua Yesu Kristo; naam, Kristo aliyesulubiwa.
2Jesu Kris, amah mah kilhdena om thu kia loungal na lak uah bangmah himhim theih ka tum kei a.
3Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.
3Huan, hatlou leh lauin, nakpi taka lingkawmin na lak uah ka om a.
4Hotuba zangu na mahubiri yangu sikuyatoa kwa maneno ya kuvutia na ya hekima, bali kwa uthibitisho mwingi na nguvu ya Roho.
4Ka paukam suak leh ka thu gente thu pila khemna thuin ahi kei hi. Kha leh thilhihtheihna theihsaknain ahi jaw hi.
5Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.
5Huchia, na ginna uh mihing pilnaa kinga loua, Pathian thilhihtheihna a kinga a a om theih jawkna dingin.
6Hata hivyo, sisi tunatumia lugha ya hekima kwa wale waliokomaa kiroho; lakini hekima hiyo si ya hapa duniani, wala si ya watawala wa dunia hii ambao wako katika mkumbo wa kupotea.
6Ahihhangin pichingte lakah ahihleh thu pil i hilh jela, himahleh hiai khovel thupil jaw ahi kei; hiai khovel vaihawmte mangthang dingte thupil leng ahi sam kei hi:
7Hekima tunayotumia ni hekima ya siri ya Mungu, hekima iliyofichika, ambayo Mungu aliiazimia tangu mwanzo kwa ajili ya utukufu wetu.
7Pathian pilna guk leh kisel, i thupina dinga Pathianin khovel om maa a sehkholhsa pen i hilh zonak.
8Ni hekima ambayo watawala wa dunia hii hawakuielewa; maana wangalielewa, hawangalimsulubisha Bwana wa utukufu.
8Huai tuh hiai khovel vaihawmte himhimin a theikei uh; thei le ujaw thupina Toupa kilhden lou ding hi ve un.
9Lakini, ni kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mambo ambayo jicho halijapata kuyaona wala sikio kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo Mungu aliyowatayarishia wale wampendao."
9Mita muh ngei louh, bila jak ngeilouh, mihing lungtanga lut ngeilou, Pathianin mah itte adia a bawl, chih gelh bangin.
10Hayo ndiyo mambo Mungu aliyotufunulia kwa njia ya Roho wake. Maana Roho huchunguza kila kitu hata mambo ya ndani kabisa ya Mungu.
10Pathianin Khain huaite ei a honthei sakta ahi; Khain bangkim a sui khe vek ngala; ahi, Pathian thugil leng.
11Nani awezaye kujua mambo ya ndani ya mtu isipokuwa roho yake mtu huyo? Hali kadhalika, hakuna ajuaye mambo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.
11Mihing ngaihtuahte mihing lungsim a sunga om mah louin, kuan ahia thei ding? Huchimahbangin Pathian ngaihtuahte Pathian Kha mahlouin kuamahin a theikei uhi.
12Sasa sisi hatukuipokea roho ya ulimwengu, bali tumepokea Roho atokaye kwa Mungu ili atuwezeshe kujua yale tuliyojaliwa na Mungu.
12Huan, a thawna Pathianin thil honpiakte i theihna dingin, eiten jaw khovel kha hi louin, Kha, Pathian kianga ngei, i mu jaw uhi
13Basi sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa kwa hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio na huyo Roho.
13Hiai tuh mihing pilnaa sinsak thute-a hilh louin Kha sinsakin i hilh jaw ua, Kha neite kiangah khalam thutakte i hilhchian uhi.
14Mtu wa kidunia hapokei mambo ya Roho wa Mungu. Kwake mtu huyo mambo hayo ni upumbavu mtupu; yanapita akili yake; maana yanaweza tu kutambuliwa kwa msaada wa Roho.
14Khovel min Pathian Kha thilpiakte a sang kei nak hi, amah ngaihdanin haihuai ahi ngala, kha a theihchet ahihjiakin a theithei kei himhim ahi.
15Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine.
15Khamiin bel thil bangkim achian jela, amah lah kuamahin achian kei uhi.Kuan ahia Toupa lungsim theikhin a, amah thuhilh thei ding? Eiten bel Kris lungsim i pu ahi.
16Maandiko yasema: "Nani awezaye kuifahamu akili ya Bwana? Nani awezaye kumshauri?" Lakini sisi tunayo akili ya Kristo.
16Kuan ahia Toupa lungsim theikhin a, amah thuhilh thei ding? Eiten bel Kris lungsim i pu ahi.