Swahili: New Testament

Paite

1 Thessalonians

1

1Mimi Paulo, Silwano na Timotheo tunawaandikia ninyi jumuiya ya kanisa la Thesalonike, ambao ni watu wake Mungu Baba, na wa Bwana Yesu Kristo.
1Paula leh Silvana leh Timothiin, Pa Pathian leh Toupa Jesu Krisa Thessalonika khuaa om saptuamte kiangah. Hehpihna leh lemna na kiang uah om hen.
2Tunamshukuru Mungu daima kwa ajili yenu ninyi nyote na kuwakumbukeni daima katika sala zetu.
2Ka thumna uah na min uh louin, nou tengteng jiakin Pathian kiangah kipahthu ka gen gige uhi,
3Maana, mbele ya Mungu Baba yetu, twakumbuka jinsi mnavyoonyesha imani yenu kwa matendo, jinsi upendo wenu unavyowawezesha kufanya kazi kwa bidii, na jinsi tumaini lenu katika Bwana wetu Yesu Kristo lilivyo thabiti.
3I Pathian leh Pa maah, gin jiaka na thilhih dante uh, it jiaka na sepgim dante uh, Toupa Jesu Kris lametna jiaka na kuhkaldan bang uh mangngilh loua, theigigein.
4Ndugu, twajua kwamba Mungu anawapenda na kwamba amewateua muwe watu wake,
4Unau, Pathian ngaihtakte aw, nou a honteldan ka thei uhi;
5maana wakati tulipowahubirieni ile Habari Njema haikuwa kwa maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa Roho Mtakatifu, tukiwa na hakika kwamba ujumbe huo ulikuwa wa kweli. Mnajua jinsi tulivyoishi pamoja nanyi; tuliishi kwa manufaa yenu.
5Ka tanchin hoih uh thu kiaa na kiang uh tung louin thilhihtheihna leh Kha Siangthou leh nakpia theihchetna toh a hongtung zo ngala. Noumau makhua ngaihtuahin na tunguah bangchibang mi ka nahita ua chih na thei uhi.
6Ninyi mlifuata mfano wetu, na kumwiga Bwana. Ingawa mliteswa sana, mliupokea ujumbe huo kwa furaha itokayo kwa Roho Mtakatifu.
6Huan, thu tuh, haksa thuak kawmin, Kha Siangthoua kipakin, na pom ua, koumau leh Toupa juite na nahi ua.
7Kwa hiyo ninyi mmekuwa mfano mzuri kwa waumini wote wa Makedonia na Akaya.
7Huchiin Masidonia leh Akhaia gama gingta mi tengteng adingin zuihding na nahi uhi.
8Maana, kutokana na bidii yenu ujumbe wa Bwana umesikika si tu huko Makedonia na Akaya, bali imani yenu kwa Mungu imeenea popote. Tena hatuhitaji kusema zaidi.
8Toupa thu tuh noumau akipanin a thang kheta ngala, Masidonia leh Akhaia gamah kia hi louin, mun chih ah Pathian lama na gindan uh a thangta hi; huan, kou bangmah ka gen uh a kiphamoh kei hi.
9Watu hao wanazungumza juu ya ziara yetu kwenu: jinsi mlivyotukaribisha, jinsi mlivyoziacha sanamu mkamgeukia Mungu aliye hai na wa kweli,
9Amau mahmahin hontheisak ngal ua: bangchibang kipahpihna na lak uah ka mu ua chih bang; huan, nou milimte akipana Pathian lam nong- ngattak dan uh, huchia Pathian hing leh dik na sem dingin,Huan, A Tapa, misi laka kipana a kaihthoh, thangpaihna hongtung ding laka honsuaktasakpa Jesu, vana pat nangak dingin, chih bang.
10na sasa mwamngojea Mwanae ashuke kutoka mbinguni, Yesu, ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu, na ambaye anatuokoa katika ghadhabu ya Mungu inayokuja.
10Huan, A Tapa, misi laka kipana a kaihthoh, thangpaihna hongtung ding laka honsuaktasakpa Jesu, vana pat nangak dingin, chih bang.