1Watumwa wote wanapaswa kuwaheshimu wakuu wao ili kusiwe na sababu ya watu kulitukana jina la Mungu na mafundisho yetu.
1Parthian min leh a thuhilhna thu gensiata om louhna ding in sikha hakkol bat peuhnaten amau pute bangkima hihthupi tuak in sim uhen.
2Watumwa ambao wakuu wao ni Wakristo wasiwadharau kwani ni ndugu zao. Badala yake, wanapaswa kuwatumikia hata vizuri zaidi, maana hao wanaopata faida kutokana na kazi yao ni waumini ambao wanawapenda. Unapaswa kufundisha na kuhubiri mambo haya.
2Huan gingta mi pu a neiten unau ahih ziakun, ngaineu kei uhen, a hihhangin, phattuamna mute leh deih takte a hih ziak un a na uh sepsak semsem uhen. Huai thute hilh inla, hasuan in.
3Mtu yeyote anayefundisha kinyume cha mambo haya, na ambaye hakubaliani na maneno ya kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo na mafundisho ya dini,
3Mi kuapeuh in thuhilhna dang ahilha, thutak (I Toupa Jesu Kris thu) leh, Pathian limsak lam thuhilhna hoih asak kei leh,
4huyo amejaa majivuno na wala hajui chochote. Ni mtu wa kupenda ubishi na magombano juu ya maneno matupu, na hiyo husababisha wivu, ugomvi, matusi, shuku mbaya,
4amah a kisathei ahi, bangmah theilou ahi, theihnaksang in kisel leh thukalh lamah a hai zawta a, huchibang a kipanin, ennate, kilainate, gensiatnate,
5na ubishi usio na kikomo kutoka kwa watu ambao akili zao zimeharibika, na ambao hawana tena ukweli. Wanadhani dini ni njia ya kujipatia utajiri.
5hoihlou lama ginnate, selhat nate asuak nak hi; huchibang selhat mite tuh lungsimse nei leh thutak neilou mi, Pathian limsak pen punna khattou sa mi ahi uh.
6Kweli dini humfanya mtu awe tajiri sana, ikiwa anatosheka na vitu alivyo navyo.
6Lungkimna toh kithuah Pathian limsakna tuh punna thupi tak ahi.
7Maana hatukuleta kitu chochote hapa duniani, wala hatutachukua chochote.
7Khovel ah bangmah I lut pih keia, bangmah I pawtpih thei sam kei ding hi.
8Kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.
8Himahleh, nekding leh silh ding nei in, huaikhawng ah I lungkim ding uh.
9Lakini wale wanaotaka kutajirika huanguka katika majaribu, na kunaswa katika mtego wa tamaa nyingi mbaya za kipumbavu, ambazo huwavuta mpaka kwenye uharibifu na maangamizi.
9Ahihhangin, hauhsak tumte tuh, khemna ah te, thang ah te, haihuai leh hihsethei duhgawlna tampi bang ah a puklut nak uhi, huaiten tuh siatna leh manthatna ah mite a hih tumnak hi.
10Kwa maana kupenda sana fedha ni chanzo cha uovu wote. Watu wengine wametamani sana kupata fedha hata wakatangatanga mbali na imani, na wameivunja mioyo yao kwa huzuni nyingi.
10Dangka sum deihtak zaw gilou chiteng bul ahi ngala; huaituh khenkhatten a eng ua, ginna a pai mangsan ua, amau leh amau lungkhamna tampiin a kisunlet tektok uhi.
11Lakini wewe, mtu wa Mungu, jiepushe na mambo hayo. Zingatia uadilifu, uchaji wa Mungu, imani, mapendo, subira na unyenyekevu.
11Himaleh, nang Pathian mipa aw, huai thilte taisan inla, diktatna bang, Pathian limsakna bang, ginna bang, itna bang, thuaktheihna bang, kingaihniamna bang delh zel in.
12Piga mbio kadiri uwezavyo katika shindano la mbio za imani, ukajipatie tuzo la uzima wa milele, uliloitiwa wakati ulipokiri imani yako mbele ya mashahidi wengi.
12Ginna kidouna hoih sual inla, khantawn hinna tuh len chinten in; huai tang dinga sap na hi hi; theihpih tamtakte mitmuhin gupna hoih tuh na gumta hi.
13Mbele ya Mungu anayevipa vitu vyote uhai, na mbele ya Yesu Kristo aliyetoa ushahidi na kukiri ukweli mbele ya Pontio Pilato,
13Pathian, thilbangkim hihhingpa leh Khris Jesu, Pontia Pilat maa gupna hoih gumpa mitmuhin thu ka honpia hi;
14nakuamuru ushike maagizo yako na kuyatii kwa uaminifu mpaka Siku ile atakapotokea Bwana wetu Yesu Kristo.
14Toupa Jesu Kris hong kilat nawn ma siah huai thupiak tuh siangthou tak leh gensiatbeia kem dingin.
15Kutokea kwake kutafanyika wakati ufaao uliopangwa na Mungu mwenye heri na aliye Mtawala pekee, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana.
15Huai kilakna tuh amah hun takah phattuak Thuneipa tak kia, kumpipate Kumpipa, toupate Toupan a lak ding ahi;
16Yeye peke yake anaishi milele, katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. Hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. Kwake iwe heshima na uwezo wa milele! Amina.
16Amah kia in sihtheihlouhna a nei a, vak naih theih vuallouhna ah a om a, amah tuh kuamah in a mu ngeikei ua, muh leng amu thei samkei uhi; amah kiangah khantawnin thupina leh thilhihtheihna om hen. Amen.
17Waamuru watu walio matajiri katika mambo ya maisha ya sasa, wasijivune, wasiweke tumaini lao katika mali isiyoweza kutegemewa; bali wamtegemee Mungu, ambaye kwa ukarimu hutupatia vitu vyote tuvifurahie.
17Hiai khovel a mihaute khawng kisathei lou ding leh sum muanhuailou a muanna nga loua, thil tengteng kipahna ding a tampia honpepa Pathian tunga nga zaw ding in hilh in.
18Waamuru watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, na wawe wakarimu na walio tayari kuwashirikisha wengine mali zao.
18Thil hoih a hih ding uh, thil hoih hiha a hauh ding uh, thilphala a siam ding uh ahi;
19Kwa namna hiyo watajiwekea hazina ambayo itakuwa kwao msingi imara kwa wakati ujao. Hapo wataweza kujipatia uzima ambao ni uzima wa kweli.
19huchia amaua dinga tunung adinga suangphum hoih phuma hinna, huai hinna hi taktak tuh a let kip theihna ding un.
20Timotheo, tunza salama yote yale uliyokabidhiwa. Jiepushe na majadiliano ya kidunia na ubishi wa kipumbavu juu ya kile wanachokiita watu wengine: "Elimu".
20Timothi aw, na kianga kepsaka om kem hoih in; Pathian zahlouhna thu gen mawkmawk leh kikalhna, dikloupia pilna kichi, nungngatsan in:huai tuh mi khenkhatin nei ki chiin ginna lam ah a paikhialta uhi. Hehpihna na kiangah om hen. Amen.
21Maana wengine wamejidai kuwa na hiyo elimu, na matokeo yake wamepoteza imani. Nawatakieni nyote neema!
21huai tuh mi khenkhatin nei ki chiin ginna lam ah a paikhialta uhi. Hehpihna na kiangah om hen. Amen.