1Ndugu, tunapenda kuwapa habari juu ya neema ambazo Mungu ameyajalia makanisa ya Makedonia.
1Huan, unaute aw, Masidonia gama saptuam pawlte laka Pathian hehpihna piak pen ka honthei sak ding uhi;
2Waumini wa huko walijaribiwa sana kwa taabu; lakini furaha yao ilikuwa kubwa hivi hata wakawa wakarimu kupita kiasi, ingawaje walikuwa maskini sana.
2Huchia haksathuakna zeetna thupia a kipahna uh dimlet leh nakpia a gentheihna uh dimlet tuh, a thilphalna thupi uh a honghih danbang.
3Naweza kushuhudia kwamba walikuwa wakarimu kadiri ya nguvu zao na hata zaidi. Kwa hiari yao wenyewe,
3A neih bang un, ahi, a neih bang sang ua thupiin leng, amau thuthu un apia uh chih theih pih ka hi,
4walitusihi sana wapewe nafasi ya kushiriki katika huduma hii ya kuwasaidia watu wa Mungu.
4Hiai hehpihna leh misiangthoute nasepsakna thua nakpi taka honngen ngutngutin.
5Hilo lilikuwa jambo ambalo hatukulitazamia kabisa! Kwanza walijitolea wao wenyewe kwa Bwana, kisha wakajitolea wenyewe kwetu pia, kufuatana na mapenzi ya Mungu.
5Huai leng ka lamet louh bang un ahih ua, Pathian deihlamin, amau mahmah Toupa kiangah leh kou kiangah a kipe masa phot ua;
6Kwa sababu hiyo, tulimsihi Tito aliyeianza kazi hiyo awasaidieni pia muitekeleze huduma hii ya upendo miongoni mwenu.
6Huchiin, tumaa a patsa, hiai hehpihna leng noumaua hihkim nalai dingin Tita ka ngen hialta ua.
7Ninyi mna kila kitu: imani, uwezo wa kusema, elimu; bidii yote ya kutenda mema, na upendo wenu kwetu. Hivyo, tunatazamia muwe wakarimu katika huduma hii ya upendo.
7Huchiin, bangkim ginna bang, thugen siamna bang, theihna bang, phattuamngaihna tengteng bang, non itnate uh na huah bang un, huai hehpihna leng na hauh theihna dingun thanop suah un.
8Siwapi ninyi amri, lakini nataka tu kuonyesha jinsi wengine walivyo na bidii ya kusaidia ili nipate kujua jinsi upendo wenu ulivyo wa kweli.
8Thupia bangin ka gen keia, midang phattuamngaihnain na itna uh gildan leng chian dingin ka gen ahi jaw.
9Maana, ninyi mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo: yeye, ingawa alikuwa na kila kitu, alijifanya maskini kwa ajili yenu, ili kutokana na umaskini wake, awatajirishe.
9I Toupa Jesu Kris hehpihna. a gentheihna jiaka na honghauh theihna ding un hau mahleh noumau jiak ngeingeia hong genthieh takdan, na thei ngal ua.
10Kuhusu jambo hili, basi, nawapeni shauri hili: inafaa kwenu kutekeleza sasa yale mliyoanza mwaka jana. Ninyi mlikuwa wa kwanza kuchukua hatua na kuamua kufanya hivyo.
10Huchiin, huaiah ka ngaihdan bang ahia ka gen hi: kum khat paitaa na hihpat kia uleng hilou-a na ut pat uh tuin buchingsakta le uchin nou-a din a hoihpen ahi.
11Basi, kamilisheni shughuli hiyo; na kama vile mlivyokuwa na hamu kubwa ya kusaidia, basi, fanyeni bidii vivyo hivyo, kadiri ya uwezo wenu, kuikamilisha.
11Huchiin, ut dinga kimanna a om bangin, na neih bang jel ua tangtunna leng a omtheihna dingin, tunah jaw hih tangtungta un.
12Maana ikiwa mtu ana moyo wa kusaidia, Mungu hupokea kila anachoweza kutoa: hadai zaidi.
12Kimanna pen a om phot leh, mi a neih louhpi hi louin, a neih bangdan jela a piak tuh kipahpih tuak ahi ngala.
13Ninyi hampaswi kuongezewa taabu kusudi wengine wapunguziwe mzigo wao; sivyo, ila ni lazima tujali usawa na haki.
13Midang a gim louh ua, nou na gimna ding un ka chi ahi keia.
14Kila mlicho nacho sasa cha ziada kiwasaidie wale wanaohitaji, ili nao wakati watakapokuwa na ziada, wawasaidie ninyi katika mahitaji yenu, na hivyo kuwe na usawa.
14Kibatlualna dingin, na hauhna u tuh tulaiin a taksap uh awnghukna a honghiha, a hauhna uleng na taksap awnghukna uh a honghih sam theihna dingin ka chi ahi jaw, huchiin, kibatlualna a hongom thei ding hi;
15Kama Maandiko yasemavyo: "Aliyekusanya kwa wingi hakuwa na ziada, na yule aliyekusanya kidogo hakupungukiwa."
15A khawm tamin a valin a neikei a, a khawm tawmin leng a tasam tuan kei, chih gelh bangin.
16Namshukuru Mungu aliyeweka ndani ya moyo wa Tito hamu hiyo niliyo nayo mimi ya kuwasaidia.
16Huan, nou kon-awlmohdan bangbang Tita lungtanga pe jel Pathian kiangah kipahthu om hen.
17Si tu kwamba alikubali ombi letu, ila pia alikuwa na hamu kubwa ya kusaidia, hata akaamua kwa hiari yake mwenyewe kuja kwenu.
17Ka ngetna uh a sang ngeia; himahleh ka nget jiak kia uh hi louin, amah mah phattuamngai tak ahi a, amah thuthuin na kiang ua hoh dia pawt dingin a kisa hi.
18Pamoja naye, tunamtuma ndugu mmoja ambaye sifa zake katika kueneza Habari Njema zimeenea katika makanisa yote.
18Huan, amah toh unaupa kon sawl ding ua, amah tuh tanchin hoih lama a phat thu uh saptuam pawl tengteng ah a thangsuak hi;
19Zaidi ya hayo, yeye amechaguliwa na makanisa awe mwenzetu safarini wakati tunapopeleka huduma hii yetu ya upendo, huduma tunayoifanya kwa ajili ya utukufu wa Bwana na uthibitisho wa nia yetu njema.
19Huchi lel leng ahi keia, Toupa thupina ding leh ka hoihdeihna uh ensak dinga hiai hehpihna thu a ka nasepna ua kou kianga zin vialvial sam dinga saptuam pawlte seh sam him leng ahi hi.
20Tunataka kuepa lawama zinazoweza kutokea kuhusu usimamizi wetu juu ya zawadi hii karimu.
20Hiai thilpiak ka hawmna lam uah kuamahin a hondem louhna ding un ka pilvang uhi;
21Nia yetu ni kufanya vema, si tu mbele ya Bwana, lakini pia mbele ya watu.
21Toupa ngaihdan kiain hi louin, mihing ngaihdana leng thil kilawm ka ngaihtuah khol jel uhi.
22Basi, pamoja na ndugu hao, tumemtuma ndugu yetu mwingine ambaye mara nyingi tumempa majaribio mbalimbali, tukamwona kuwa ni mwenye hamu kubwa ya kusaidia; hata sasa amekuwa na moyo zaidi kwa sababu ana imani sana nanyi.
22Huan, a kiang uah ka unaupa uh ka sawl ding ua, amah tuh thil tampitak ah phattuamngai tak ahi chih tamveipi ka theichianta uhi, tu khola houh nou a hontaksan mahmah jiakin phatuam a ngai nawn sem hi.
23Tito ni mwenzangu; tunafanya kazi pamoja kwa ajili yenu; lakini kuhusu hawa ndugu zetu wengine, wanaokuja pamoja nao, hao ni wajumbe wa makanisa, na utukufu kwa Kristo.
23Tita a hih leh, ka lawm leh noumau lama ka naseppih ahi a; huan, ka unaute uh a hih leh, saptuam pawlte sawltak, Kris thupina ahi uh.Huaijiakin, na it uh chih theihna leh, kon suanna uh theihna tuh saptuam pawlte maah a kiang uah hihchian un.
24Basi, waonyesheni uthabiti wa upendo wenu, makanisa yapate kuona kweli kwamba fahari ninayoona juu yenu ni ya halali.
24Huaijiakin, na it uh chih theihna leh, kon suanna uh theihna tuh saptuam pawlte maah a kiang uah hihchian un.