Swahili: New Testament

Paite

2 Peter

1

1Mimi Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo, nawaandikia ninyi ambao, kwa wema wake Mungu wetu, na Mwokozi Yesu Kristo, mmejaliwa imani ileile ya thamani kuu tuliyojaliwa sisi.
1Simon Peter, Jesu Kris sikha leh sawltakin, Jesu Kris i Pathian leh Hondampa diktatna jiaka ginna mantam tak i tan bang tang samte kiagah:
2Nawatakieni neema na amani tele katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.
2Pathian leh i Toupa Jesu Kris theihna ah na tunguah hehpihna leh lemna hihkhanin om hen.
3Kwa uwezo wake wa kimungu, Mungu ametujalia mambo yote tunayohitaji, ili tuishi maisha ya kumcha Mungu kwa kumjua yeye aliyetuita tuushiriki utukufu na wema wake yeye mwenyewe.
3Amah thupina leh hoihna jiaka honsampa, a tanchin theih jiakin a Pathian thilhihtheihnain hinna leh Pathianlimsak na lam thuah thil tengteng a honpe ngala.
4Kwa namna hiyo ametujalia zawadi kuu na za thamani ambazo alituahidia, ili kwa zawadi hizo mpate kuziepa kabisa tamaa mbaya zilizomo duniani, na mpate kuishiriki hali yake ya kimungu.
4Huaite jiakin a thuchiam manpha tak leh thupi petpette tuh honpia ahi; huchiin utna jiaka khovela siatna hongom tuh taikhiak santa in; huai thuchiam manpha tak leh thupi petpette jiakin Pathian omdan na kikoppih thei sam ding uhi.
5Kwa sababu hiyo, fanyeni bidii ya kuongeza fadhila katika imani yenu: ongezeni elimu katika fadhila yenu,
5A hi, huai jiak takin, thanop himhim suahin, na ginna uah hoihna hel unla, na hoihna uah theihna hel unla,
6kuwa na kiasi katika elimu yenu, uvumilivu katika kuwa na kiasi, uchaji wa Mungu katika uvumilivu wenu,
6na theihna uah kidekna hel unla, na kidekna uah kuhkalna hel unla, na kukhalna uah Pathianlimsakna hel unla,
7udugu katika uchaji wenu, na mapendo katika udugu wenu.
7na Pathianlimsakna uah unaute itna hel unla, na unaute itna uah itna hel un.
8Mkiwa na sifa hizo zote kwa wingi, zitawawezesheni kuwa watendaji na kupata faida katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.
8Huaite noua a hiha, a khanjel ngalleh, i Toupa Jesu Kris theihna lamah thadah lou leh gah loulouin nou a honbawl nak hi.
9Lakini mtu asiye na sifa hizo ni kipofu, hawezi kuona na amesahau kwamba alikwisha takaswa dhambi zake za zamani.
9Kuapeuh huai thilte neilou tuh mittaw ahi, naichik ate kia a mu theia, a nidanglai khelhnate silsiang sakna tuh a mangngilhta ngala.
10Kwa hiyo basi, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi kuufanya huo wito wenu mlioitiwa na Mungu uwe jambo la kudumu katika maisha yenu; kama mkiishi namna hiyo hamtaanguka kamwe.
10Huaijiakin, unaute aw, nou a honsapna leh a hontelna hihkip dingin thanop suah semsem un; tuate na hih uleh chiklai mahin na puk kei ding uhi;
11Kwa namna hiyo mtafaulu kupewa haki kamili ya kuingia katika Utawala wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
11huchiin, Jesu Kris i Toupa leh Hondampa khantawn gama lutna a honmu sak lo mahmah ding uhi.
12Kwa hiyo nitaendelea kuwakumbusheni daima mambo haya, ingawa mmekwisha yafahamu, na mko imara katika ukweli mlioupokea.
12Huaijiakin, huai thilte theiin, thutak na kiang ua om na kipna uah, huai thilte tuh nou hontheihpih dingin ka mansa gige ding hi.
13Nadhani ni jambo jema kwangu, muda wote niishio hapa duniani, kuwapeni moyo na kuwakumbusheni juu ya mambo haya.
13Huan, hiai pumpi-a ka om laiteng noumau hontheihpihin hontohhalh gige hoih ka sa ahi;
14Najua kwamba karibu nitauweka kando mwili huu wenye kufa, kama Bwana alivyoniambia waziwazi.
14i Toupa Jesu Krisin hontheihsak bangin kapumpi koih mangna ding a tung zok ding chih ka thei ngala.
15Basi, nitajitahidi kuwapatieni njia ya kuyakumbuka mambo haya kila wakati, baada ya kufariki kwangu.
15A hi, ka pai khiak nungin huai thilte na theihgige theihna ding un, ka kisuk ding hi.
16Wakati tulipowafundisheni juu ya ukuu wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo, hatukutegemea hadithi tupu zisizo na msingi. Sisi tuliuona utukufu wake kwa macho yetu wenyewe.
16I Toupa Jesu Kris thilhihtheihna leh a hongpai na thu ka hontheihsak laiun, tangthu pil taka ngaihtuah khiak phet juite ka hi kei ua, a thupina mute ka hi jaw uhi.
17Sisi tulikuwapo wakati alipopewa heshima na kutukuzwa na Mungu Baba, wakati sauti ilipomjia kutoka kwake yeye aliye Utukufu Mkuu, ikisema: "Huyu ni Mwanangu mpenzi, nimependezwa naye."
17Aman tuh Pa Pathian kiangah kipanin pahtawina leh thupina a mu a, huchihlaiin thupina thupitak akipanin hichibang aw a kiang a hongtung, Hiai ka tapa deihtak, ka kipahna mahmah ahi, chiin.
18Tena, sisi wenyewe tulisikia sauti hiyo kutoka mbinguni wakati tulipokuwa pamoja naye juu ya ule mlima mtakatifu.
18Huan, tang siangthoua a kianga ka om jiak un huai aw tuh van akipana hong suak koumau ngeiin ka ja uhi.
19Tena, ujumbe wa manabii watuthibitishia jambo hilo; nanyi mwafanya vema kama mkiuzingatia, maana ni kama taa inayoangaza mahali penye giza mpaka Siku ile itakapopambazuka na mwanga wa nyota ya asubuhi utakapong'ara mioyoni mwenu.
19Huchiin genkholhna thu kip nawn sem i nei uhi. Khua a hongvaka, jingsolaksi tuh na lungtang ua a hongsuah masiah hiai thu khawnvak mun miala vak a limsak bang ua, na limsak uleh na hih hoih ding uhi,
20Zaidi ya hayo, lakini, kumbukeni kwamba hakuna mtu yeyote awezaye kufafanua mwenyewe unabii ulio katika Maandiko Matakatifu.
20Laisiangthoua thu gen kholh himhim eimah kihilhchian ding ahi kei chih thei masa phot unlaThu genkholh himhim mihing thua pawt ahi ngei ngal keia, miten Kha Siangthou sawlin, Pathian kianga kipanin a gen zo nak uhi.
21Maana hakuna ujumbe wa kinabii unaotokana na matakwa ya binadamu, bali watu walinena ujumbe wa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
21Thu genkholh himhim mihing thua pawt ahi ngei ngal keia, miten Kha Siangthou sawlin, Pathian kianga kipanin a gen zo nak uhi.