1Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili ujumbe wa Bwana uzidi kuenea upesi na kupokelewa kwa heshima kama vile ulivyo kati yenu.
1A tawppenin, unaute aw, Toupa thu tuh, noumau laka a om bangin, khanga hihthupia a om theihna ding leh,
2Ombeni pia ili Mungu atuokoe na watu wapotovu na waovu, maana si wote wanaoamini ujumbe huu.
2Migenhakte leh mi giloute laka ka bit theihna ding un, honthum sak un; mi tengtengin lah ginna a nei vek kei ua.
3Lakini Bwana ni mwaminifu. Yeye atawaimarisheni na kuwalinda salama na yule Mwovu.
3Himahleh, Toupa tuh a muanhuaia, aman tuh a hihkipin mi gilou lakah nou a honveng ding hi.
4Naye Bwana anatupatia tumaini kubwa juu yenu, na hatuna shaka kwamba mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaambieni.
4Kon thupiak peuhmah uh na hih zou ua. na hih jeljel uleng Toupa ah ka honum uhi.
5Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo.
5Huan, Toupan na lungtangte uh Pathian itna ah leh Kris kuhkalna ah pi lut hen.
6Ndugu, tunawaamuru kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, mjiepushe na ndugu wote walio wavivu na ambao hawafuati maagizo tuliyowapa.
6Huan, unaute aw, ka lak ua kipana thugousiah a muh bang ua om loua, dan lou banga om unau tengteng laka kihemkhe dingin i Toupa Jesu Kris minin thu ka honpia uhi.
7Ninyi wenyewe mnajua kwamba mnapaswa kufuata mfano wetu. Sisi tulipokuwa nanyi hatukuwa wavivu;
7Noumau mahmahin non zuihdan ding uh na thei ngal ua; na lak uah dan lou bangin ka gamta ngei kei uhi.
8hatukula chakula kwa mtu yeyote bila ya kumlipa. Tulifanya kazi kwa bidii na taabu mchana na usiku ili tusiwe mzigo kwa mtu yeyote kati yenu.
8Kuamah khuta kipanin a mawkin na tanghou uh leng ka ne ngei kei uhi; na lak ua kuamah kon tuailuaisak louhna ding un sun leh jana gimtak leh tawl taka sem kawmin ka ne phet uhi;
9Tulifanya hivyo si kwa kuwa hatuna haki ya kutaka msaada wenu, ila kwa sababu tunataka kuwapeni mfano.
9Huai thu neihna ka neihlouh jiak uh hilouin, noumau zuih dingin ka omdan uah zuih ding konpia uh ahi jaw.
10Tulipokuwa pamoja nanyi tulikuwa tukiwaambieni, "Mtu asiyefanya kazi, asile."
10Na kiang ua ka om lai un leng, hiai thu ka honpia uhi: kuapeuhin na a sep nop keileh, nek leng ne kei hen, chih.
11Tunasema mambo hayo kwa sababu tumesikia kwamba wako baadhi yenu ambao ni wavivu na ambao hawafanyi chochote, isipokuwa tu kujiingiza katika mambo ya watu wengine.
11Na lak ua khenkhat dan lou banga om nakte tungtang ka za ngal ua, huaiten tuh na himhim a sem kei ua, a lawptawp jaw uhi.
12Kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo tunawaamuru na kuwaonya watu hao wawe na nidhamu na kufanya kazi ili wajipatie maslahi yao wenyewe.
12Huchi a hih chiangin, huai bang mite tuh sem hiathiat ding leh, amau tanghou ne dingin Toupa Jesu Kris ah thupiain ka hasuan uhi.
13Lakini ninyi ndugu, msichoke kutenda mema.
13Unaute aw, nou jaw thil hoih hih chimtak kei un.
14Huenda kwamba huko kuna mtu ambaye hatautii huu ujumbe tunaowapelekeeni katika barua hii. Ikiwa hivyo, basi, mfichueni mtu huyo na msiwe na uhusiano wowote naye kusudi aone aibu.
14Huan, kuapeuhin hiai ka laikhak ua ka thu uh a zuih keileh, huai mi tuh na kithuahpih het louhna ding un chiamteh un, a zum theihna dingin.
15Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.
15Himahleh, melma bangin jaw bawl kei un, unau bangin hilh jaw un.
16Bwana mwenyewe ndiye chanzo cha amani, awajalieni amani siku zote kwa kila namna. Bwana awe nanyi nyote.
16Huan, lemna Toupa ngeiin khantawnin banglam peuhah nou lemna honpia hen. Toupa tuh na vek ua lakah om hen.
17Kwa mkono wangu mwenyewe naandika hivi: Salamu kutoka kwa Paulo! Hivi ndivyo ninavyotia sahihi kila barua; ndivyo ninavyoandika.
17Kei, Paulain, keimah khut ngeiin hiai chibaibukna ka gelh hi; hiai tuh ka laikhak tengah chiamtehna ahi; hichibang tuh ka gelh dan ahi.I Toupa Jesu Kris hehpihna na vek ua kiangah om hen. Amen.
18Tunawatakieni nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.
18I Toupa Jesu Kris hehpihna na vek ua kiangah om hen. Amen.