1Nakuamuru mbele ya Mungu, na mbele ya Kristo Yesu atakayewahukumu watu walio hai na wafu, na kwa sababu anakuja kutawala akiwa Mfalme:
1Pathian muh leh, mihing leh misite ngaihtuah dingpa Kris Jesu muh in, akilakna leh a gam lou in, phatuamngaitakin ka hon theisak ahi;
2hubiri huo ujumbe, sisitiza kuutangaza (iwe ni wakati wa kufaa au wakati usiofaa), karipia, onya na himiza watu ukiwafundisha kwa uvumilivu wote.
2Thutuh gen in; ahun ah bang, ahunlou ah bang leng pangzel in; thuakzou taka thuhilh kawmin a siamlouhdan uh theisak inla, taihilh inla, hasuan in,
3Utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mafundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayari kusikia.
3Thuhilhna dik a ngaihkhiak ngaplouh hun uh hongtung ding ahi ngal a; abilte uh a zau ziakin amau deihlam bangin heutute a kiang uah a khawm zaw ding ua:
4Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.
4abilte uh thutak lamah a ngawngsak ding ua, tangthu lam naih in a pial ta ding uhi.
5Wewe, lakini, uwe macho katika kila hali; vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Habari Njema, timiza kikamilifu utumishi wako.
5Nang zaw bangkim ah pilvang in, gimthuak inla, Tanchin Hoih genna lam na sem in nasepna pen tuh hih tangtung in.
6Kwa upande wangu mimi, niko karibu kabisa kutolewa dhabihu na wakati wa kufariki kwangu umefika.
6Kei zaw tu in leng luikhiak in ka om lellel ngal a, ka pawt hun a tungta hi.
7Nimefanya bidii katika mashindano, nimemaliza safari yote na imani nimeitunza.
7Douna hoih tuh ka dou khinta, ki taitehna tuh ka tai khinta, ginna tuh ka lenkip paisuak ta.
8Na sasa imebakia tu kupewa tuzo la ushindi kwa maisha ya uadilifu, tuzo ambalo Bwana Hakimu wa haki, atanipa mimi Siku ile na wala si mimi tu, ila na wale wote wanaotazamia kwa upendo kutokea kwake.
8Tunahzaw diktatna lallukhu keia ding in koih in a omta, huaituh Toupa vaihawmpa diktat in huaini chiah kei a honpe ding; kei kiang kia hilou in, a kilakna it peuhte kiang ah leng.
9Fanya bidii kuja kwangu karibuni.
9Kintakin ka kiang ah hongpai teitei in; Dema in tulai khawvel a it ziakin a hon paisan a,
10Dema ameupenda ulimwengu huu akaniacha na kwenda zake Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia, na Tito amekwenda Dalmatia.
10Thessalonika khua ah a paita ngal a; Krisen tuh Galatia gamah a paita hi, Tita tuh Dalmatia gamah a paita hi.
11Luka peke yake ndiye aliye hapa pamoja nami. Mpate Marko uje naye, kwa maana ataweza kunisaidia katika kazi yangu.
11Luke kia ka kiang ah a om hi. Mark chial inla, honpi in, amah tuh nasepna lam ah keia ding in a phatuam ngala.
12Nilimtuma Tukiko kule Efeso.
12Taikika zaw Ephesa khua ah ka sawlta hi.
13Utakapokuja niletee koti langu nililoacha kwa Karpo kule Troa; niletee pia vile vitabu, na hasa vile vilivyotengenezwa kwa ngozi.
13Nahongpai chiang in Troasi khua a Karpa kiang a puanak tual, huai ka nutsiat, laibute khawng toh hon tawi in, savun lai mahmah hon tawi in.
14Yule sonara aitwaye Aleksanda amenitendea maovu mengi; Bwana atamlipa kufuatana na hayo matendo yake.
14Aleksandar, dal sun siampa, ka tungah a gilou mahmah hi.
15Jihadhari naye kwa sababu aliupinga ujumbe wetu kwa ukali.
15Toupan a thilhih bangzelin a thuk ding; amah lakah nang leng pilvang in, ithu a dou mahmah ngala.
16Wakati nilipojitetea kwa mara ya kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu; wote waliniacha. Mungu asiwahesabie kosa hilo!
16Ka siamna thu ka gen masak pen in kuamah himhim in ahon panpih kei ua, a hon zuaisan vek zawta uhi; amohtuh pua in om tuan khawldah uhen.
17Lakini, Bwana alikaa pamoja nami, akanipa nguvu, hata nikaweza kuutangaza ujumbe wote, watu wa mataifa wausikie; tena nikaokolewa katika hukumu ya kifo kama kinywani mwa simba.
17Tanchinhoih keimah ziaka hilh kim a a om theihna ding leh, Jentelte tengteng in a zak theihna ding un, Toupan hon-guma a hon hihhat zawta hi; huan, Humpinelkai kam a kipan in suahtaksak in ka na omta ahi.
18Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika Utawala wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina.
18Toupan tuh gitlouhna tengteng lak a kipan in a hon suakta sak dia, a vangam a bittak in a hon tun ding; Amah kiang ah khantawn a thupina om hen. Amen
19Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo.
19Prisla leh Akuila, Onesifora inkuanpihtetoh, chibai hon buksak in.
20Erasto alibaki Korintho, naye Trofimo nilimwacha Mileto kwa sababu alikuwa mgonjwa.
20Erasta tuh Korinth khua ah a om gige a, Trofima bel Melita khua ah damlou in ka nuseta hi.
21Fanya bidii kuja kabla ya majira ya baridi. Ebulo, Pude, Lino na Klaudia wanakusalimu; vilevile ndugu wengine wote.
21Phalbi ma in hongpai teitei in, Iubala te khawng, Puden te khawng Lina te khawng, Khlodia te khawng, unau tengteng in chibai a hon buk uhi.Toupa tuh na kha kiang ah om hen. Hehpihna na kiang ah om hen. Amen.
22Bwana awe nawe rohoni mwako. Nawatakieni nyote neema.
22Toupa tuh na kha kiang ah om hen. Hehpihna na kiang ah om hen. Amen.