Swahili: New Testament

Paite

3 John

1

1Mimi mzee nakuandikia wewe Gayo, rafiki yangu, ninayekupenda kweli.
1Upain deihtak Gaia thutaka ka it kiangah:
2Mpenzi wangu, nakutakia mafanikio mema ya kila aina; nakutakia afya njema ya mwili kama ulivyo nayo rohoni.
2Deihtak, na khain vualjawlna a muh bangin, bangkima vualjawlna na muh leh na dam theihna dingin ka thum jel ahi.
3Nimefurahi sana ndugu kadhaa walipofika hapa, wakaiambia juu ya uaminifu wako kuhusu ukweli; naam, wewe unaishi daima katika ukweli.
3Unaute hongpaiun, na hinna takdan a hontheihsak lai un, ka kipak mahmah ngala, thutaka na om taktak jiakin.
4Hakuna kitu kinachonifurahisha zaidi kuliko kusikia kwamba watoto wangu wanaishi katika ukweli.
4Ka tate thutakah a om uh chih ka jak kana kipahna thupi jaw himhim ka neikei hi.
5Mpenzi wangu, wewe ni mwaminifu kila mara unapowahudumia ndugu, hata kama ni wageni.
5Deihtak, unaute mikhual hi mahle uh, a tung na hih peuhah muanhuai takin na hih jela:
6Ndugu hao wamelieleza kanisa hapa habari za upendo wako. Tafadhali uwasaidie waendelee na safari yao kwa namna itakayompendeza Mungu,
6Huaiten saptuamte maah na itna a thei sakta uhi; amau tuh a zinna ua Pathian mi hihtuak hima na makaih leh a hoih ding hi;
7Maana wanaanza safari yao katika utumishi wa Kristo bila kupokea msaada wowote kutoka kwa watu wasioamini.
7Amah jiaka Jentelte kianga kipan bangmah la louin a pawt ngal ua.
8Basi, sisi tunapaswa kuwasaidia watu hawa, ili nasi tupate kushiriki katika kazi yao kwa ajili ya ukweli.
8Huchiin, thutak seppihte i hih theihna dingin huchibang mite tuh eiten i kipahpih ding ahi.
9Niliandika barua fupi kwa hilo kanisa; lakini Diotrefe, ambaye hupenda kuwa kiongozi wao, hataki kabisa kunisikiliza.
9Saptuamte kiangah thu neukha jaw ka gelhta; himahleh, Diotriphi a lak ua tungnun ut nakpan a kipahpih ngal keia.
10Basi, nitakapokuja nitayafichua mambo yote anayofanya, maneno mabaya anayotutolea na uongo anaosema juu yetu. Isitoshe, yeye hukataa kuwakaribisha hao ndugu walio safarini, na hata huwazuia watu wengine wanaotaka kuwakaribisha, na hujaribu kuwafukuzia nje ya kanisa.
10Huaijiakin. ka hongpai aleh, a thilhihte tuh ka thei khe sak nawn dinga, i tunguah thu giloou gena a kimtamdan; huai leng hun a sa keia, amah ngeiin unaute a kipahpih keia, a kipahpih nuamte leng a khoua, saptuamte laka kipan a delhkhia hi.
11Mpenzi wangu, usifuate mfano mbaya, bali mfano mwema. Kila atendaye mema ni wa Mungu; lakini anayetenda mabaya hajapata kumwona Mungu.
11Deihtak, gilou jaw ching ken, hoih ching jaw in. Thilhoih hihmi tuh Pathian laka ahi; thil gilou hihmin Pathian a mu ngei kei hi.
12Kila mtu anamsifu Demetrio; naam, ukweli wenyewe unamsifu. Nasi pia tunatoa ushahidi wetu juu yake, nawe wajua kwamba tunachosema ni kweli.
12Demetria-in mi tengteng phat a hoha, thutaka phat nangawn a loh behlap hi; ahi, en leng i phat ahi; i phatna tuh a dik ahi chih na thei hi.
13Ninayo bado mengi ya kukwambia, lakini sipendi kuyaandika kwa kalamu na wino.
13Na kiangah thu tampi gelh ding ka neia, himahleh, laitui leh laigelhnain na kianga gelh ka ut kei hi;
14Natumaini kukuona karibuni na hapo tutazungumza ana kwa ana. (G1-15) Nakutakia amani. Rafiki zako wanakusalimu. Wasalimu rafiki zetu wote kila mmoja binafsi.
14Sawtlou nung chiangin honmuh ka lamen jaw hi, huchiin kimatuahin i kihou ding. Khamuanna na tungah om hen.I lawmten chibai a honbuk uhi. A min uh lou chiatin lawmte khawng chibai honbuk sak in.
15I lawmten chibai a honbuk uhi. A min uh lou chiatin lawmte khawng chibai honbuk sak in.