Swahili: New Testament

Paite

Acts

15

1Basi, watu wengine walifika Antiokia kutoka Yudea wakaanza kuwafundisha wale ndugu wakisema, "Kama hamtatahiriwa kufuatana na mapokeo ya Sheria ya Mose, hamtaweza kuokolewa."
1Huan, mi kuate hiam Judia gam akipanin a hongsuk ua, Mosi dan banga zek na sum kei uleh hotdam na hi theikei ding uh, chiin, unaute a hilh ua.
2Jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya Paulo na Barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa Paulo na Barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la Antiokia waende Yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.
2Huchiin, Paula leh Barnaba amau toh kisel petmaha a kisel ua a kilan jiak un, Paula leh Barnaba amau tuh a lak ua kuate hiam toh, huai thubuai tungah, Jerusalem khua a sawltakte leh upate kiangah hohtou dingin a sep ua.
3Basi, kanisa liliwaaga, nao walipokuwa wanapitia Foinike na Samaria waliwaeleza watu jinsi mataifa mengine yalivyomgeukia Mungu. Habari hizo zikawafurahisha sana ndugu hao wote.
3Huchiin, Saptuamten a vakha ua, amau Jentelte kihei kik nawndan thu gen jelin, Phinisi gam leh Samari gam a tawnsuakta uh; huchiin unaute tengteng a kipaksak mahmah uhi.
4Walipofika Yerusalemu walikaribishwa na kanisa, mitume na wazee; nao wakawapa taarifa juu ya yote Mungu aliyoyafanya pamoja nao.
4Huan, Jerusalem khua a tun touh uh saptuam pawlte, sawltakte, upaten a na kipahpih uh; huan, Pathianin amau zanga thil a hih tengteng khawng a gen uhi.
5Lakini waumini wengine waliokuwa wa kikundi cha Mafarisayo walisimama, wakasema, "Ni lazima watu wa mataifa mengine watahiriwe na kufundishwa kuifuata Sheria ya Mose."
5Himahleh, Pharisai pawl gingta sam kuate hiam a kisa ua, Jentelte zek sum ding ahi, Mosi dan zuih leng a lak uah chiam chitchiat ding ahi, a chi ua.
6Basi, mitume na wazee walifanya mkutano maalum wa kuchunguza jambo hilo.
6Huan, sawltakte leh upate, huai thu ngaihtuah dingin a kikhawm ua.
7Baada ya majadiliano marefu, Petro alisimama, akasema, "Ndugu zangu, ninyi mnafahamu kwamba hapo awali Mungu alipenda kunichagua mimi miongoni mwenu niihubiri Habari Njema, ili watu wa mataifa wapate kusikia na kuamini.
7Huan, a kisel ek nung un Peter a kisa a, a kiang uah, unaute aw, Jentelten keimah kama Tanchin Hoih thu ja a gingta dinga, Pathianin nidang laia na lak ua kipana a honsehdan na thei uhi.
8Naye Mungu anayejua mioyo ya watu, alithibitisha kwamba amewakubali kwa kuwapa nao Roho Mtakatifu kama alivyotupa sisi.
8Huan, lungsim theipa Pathianin eite honpiak bangmahin Kha Siangthou a kiang ua pe samin a tunguah a kipak chih a theisaka;
9Hakufanya ubaguzi wowote kati yetu na wao; aliitakasa mioyo yao kwa imani.
9huan, eite leh amau khentuam neilouin ginin a lungsim uh a hihsiangthou hi.
10Sasa basi, kwa nini kumjaribu Mungu kwa kuwatwika hao waumini mzigo ambao wala babu zetu, wala sisi hatukuweza kuubeba?
10Huchiin, i pipute leh eiten I zoh louhsa hakkol tunah nungjuite tunga ngak tuma bangdia Pathian kalh na hi ua leh?
11Isiwe hivyo, ila tunaamini kwamba, sisi kama vile wao, tunaokolewa kwa njia ya neema ya Bwana Yesu."
11Amau gintak bangmahin eiten leng Toupa Jesu hehpihna jiaka hotdam ding hiin i kigingta ngal ua, a chi a.
12Kikundi chote kilikaa kimya, kikawasikiliza Barnaba na Paulo wakieleza miujiza na maajabu ambayo Mungu alitenda kwa mikono yao kati ya watu wa mataifa mengine.
12Huchiin, mipi tengteng a dai dide ua, Barnaba leh Paulain Pathianin amau zanga Jentelte laka chiamtehna leh thillamdang a hih thu a gen lai siah uh a ngaikhia ua.
13Walipomaliza kuongea, Yakobo alianza kusema: "Ndugu zangu, nisikilizeni!
13Huan, a gen khit un Jakobin a gen sam a,
14Simoni ameeleza jinsi Mungu hapo awali alivyojishughulisha na watu wa mataifa mengine, akachagua baadhi yao wawe watu wake.
14Unaute aw, ka thu ngaikhia un, Pathianin amah min pu dingin a lak ua kipan mite lakhe dingin a lak ua kipan mite lakhe dingin Jentelte a kan tungthu Sumeonin a gen hi.
15Jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama Maandiko Matakatifu yasemavyo:
15Huan, huai thu leh jawlneite thu a kituak hi:
16Baada ya mambo haya nitarudi. Nitaijenga tena ile nyumba ya Daudi iliyoanguka; nitayatengeneza magofu yake na kuijenga tena.
16Huai khit chiangin ka kik nawn dinga, David biakbuk chim ka bawl nawn dinga, a siatna lai ka puah tou nawn ding;
17Hapo watu wengine wote, watu wa mataifa yote niliowaita wawe wangu, watamtafuta Bwana.
17Mi dang, Jentel tengteng ka min honkikoppihten, Toupa a zonna ding un huai biakbuk tuh ka tungding, chiin.
18Ndivyo asemavyo Bwana, aliyefanya jambo hili lijulikane tangu kale.
18Khovel siam chil akipan hiai thu theisakpa Toupan a chi hi, chih gelh ahi.
19"Kwa hiyo, uamuzi wangu ni huu: tusiwataabishe watu wa mataifa wanomgeukia Mungu.
19Huaijiakin hichiin ka sep ahi, Jentelte laka Pathian lam ngate hihgim kei lehang,
20Bali tuwapelekee barua kuwaambia wasile vyakula vilivyotiwa najisi kwa kutambikiwa sanamu za miungu; wajiepushe na uasherati; wasile mnyama yeyote aliyenyongwa, na wasinywe damu.
20milim biakna thilnin nek khawng kingaih khawng, sa heklup leh sisan nek khawng tawpna dingin a kiang uah gelh zo lehang, ka chu pen ahi.
21Kwa maana kwa muda mrefu maneno ya Mose yamekuwa yakihubiriwa katika kila mji na kusomwa katika masunagogi yote kila siku ya Sabato."
21Mosi in nidang lai akipan kho tengah a thu tangkoupihpa a nei jela, kikhopna in peuhah Khawlni tengin a thu sim ahi jel hi, a chi a.
22Mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma Antiokia pamoja na Paulo na Barnaba. Basi, wakamchagua Yuda aitwaye pia Barsaba, na Sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
22Huan, sawltakte, upate, saptuam tengteng toh, a pawl ua mi tel, Paula leh Barnaba kiangah Antiok khua a hohsak hoih a sa ua; a telte uh min tuh Juda (Barsaba a chih uh, ) leh Sila ahi ua, huai mite tuh unaute laka heutu deuh ahi uhi.
23Wakawapa barua hii: "Sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko Antiokia, Siria na Kilikia.
23Huan, hichibangin a gelh ua, a khut uah a khak uh: - Sawltakte leh unaute laka upaten Antiok khua ah, Suria gamah leh Silisia gama Jentel unaute chibai a buk uh.
24Tumesikia kwamba watu wengine kutoka huku kwetu waliwavurugeni kwa maneno yao, wakaitia mioyo yenu katika wasiwasi. Lakini wamefanya hivyo bila ya idhini yoyote kutoka kwetu.
24Ka pawl lak ua mi kuate hiamin thu genin nou a honhihbuai ua, na lungsim uh a honmangbangsak uh chih ka ja ua, a kiang uah thu bangmah ka pen gal kei ua.
25Hivyo, tumeamua kwa pamoja kuwachagua watu kadhaa na kuwatuma kwenu pamoja na wapenzi wetu Barnaba na Paulo,
25Huaijiakin thu khat sata ka kikhop un, ka deihtak uh Barnaba leh Paula,
26ambao wamehatarisha maisha yao kwa ajili ya jina la Bwana wetu Yesu Kristo.
26Toupa Jesu Kris min jiaka sih khawk saloute toh, mi telte na kiang ua honsawl hoih ka sa uhi.
27Kwa hiyo, tunawatuma Yuda na Sila kwenu; hawa watawaambieni wao wenyewe haya tuliyoandika.
27Huchiin, Juda leh Sila ka honsawl uhi, amau leng hiai thu mah kamin a honhilh ding uh.
28Basi, Roho Mtakatifu na sisi tumekubali tusiwatwike mzigo zaidi ya mambo haya muhimu:
28Kha Siangthou leh kou hiai thu poimohte chihlouhngal, puakgik tuan na tunguah bangmah nga kei le ung hoih ka sa uhi:
29Msile vyakula vilivyotambikiwa sanamu; msinywe damu; msile nyama ya mnyama aliyenyongwa; na mjiepushe na uasherati. Mtakuwa mmefanya vema kama mkiepa kufanya mambo hayo. Wasalaam!"
29milim biakna sa nek khawng, sa sisan nek khawng, kingaih khawng tawp le uchin ka chi uh; hiaite na tawp uleh nou adingin a hoih ding hi. Damtakin om un, chiin.
30Baada ya kuwaaga, hao wajumbe walielekea Antiokia ambako waliita mkutano wa waumini, wakawapa hiyo barua.
30Huchiin, a sawl un a kuan ua, Antiok khua ah a tung suk ua; huan, mipi a sam khawm ua, lai tuh a pia ua.
31Walipoisoma hiyo barua, maneno yake yaliwatia moyo, wakafurahi sana.
31Huan, a simkhit un lungmuanna thu jiakin a kipak mahmahta uhi.
32Yuda na Sila, ambao nao walikuwa manabii, walizungumza na hao ndugu kwa muda mrefu wakiwatia moyo na kuwaimarisha.
32Huan, Juda leh Silain, jawlnei leng ahi ua, thu tampiin unaute tuh a khamuan ua, a hihkip uhi.
33Baada ya kukaa huko kwa muda fulani, ndugu wa Antiokia waliwaaga wakiwatakia amani, kisha wakarudi kwa wale waliokuwa wamewatuma.
33Huan, huaiah sawt khop a om nung un amau honsawlte kianga pain awn dingin,
34Lakini Sila aliamua kubaki.
34unauten khamuangtakin a pawtsak nawnta uhi.
35Paulo na Barnaba walibaki huko Antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la Bwana, pamoja na watu wengine wengi.
35Paula leh Barnaba bel Antiok khua ah Toupa thu hilh leh genin a om nilouh ua, mi dang tampite toh.
36Baada ya siku kadhaa, Paulo alimwambia Barnaba, "Turudi tukawatembelee wale ndugu katika kila mji tulikolihubiri neno la Bwana tukajionee jinsi wanavyoendelea."
36Huan, ni bangzah hiam nungin Paulain Barnaba kiangah, Tuin hoh nawn lehang, kho tenga Toupa thu i genna peuha unau omte vaveh jel lehang la, a omdan uh va en leng, a chi a.
37Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko.
37Huan, Barnabain Johan (Marka a chih uh) a kiang ua tonpih a tum a;
38Lakini Paulo hakupendelea kumchukua Marko, ambaye awali aliwaacha kule Pamfulia na kukataa kushiriki katika kazi yao.
38Paulain bel amah a kiang ua a tonpih uh hoih a sa keia, Pamphilia gamah amau a kiksana, nasepna a a kiang ua a hoh sam tak louh jiakin.
39Basi kukatokea ubishi mkali kati yao, na wakaachana. Barnaba akamchukua Marko, wakapanda meli kwenda Kupro.
39Huchiin, nakpiin a kiselta ua, huan, a kikhen ua, Barnabain Marka a kiangah a tonpih a, Kupra tuikulh lamah longin a hohta hi.
40Naye Paulo akamchagua Sila, na baada ya ndugu wa mahali hapo kumweka chini ya ulinzi wa neema ya Bwana, akaondoka.
40Paulain tuh Sila a tela, unauten Toupa hehpihna a kepsak nung un a paikheta hi.Huan, saptuam pawlte hihkip jelin Siria leh Silisia gam a tawn suak uh.
41Katika safari hiyo alipitia Siria na Kilikia akiyaimarisha makanisa.
41Huan, saptuam pawlte hihkip jelin Siria leh Silisia gam a tawn suak uh.