Swahili: New Testament

Paite

Acts

28

1Tulipokwisha fika salama kwenye nchi kavu, tuligundua kwamba kile kisiwa kinaitwa Malta.
1Huan, ka galkai khit un, tuikulh min tuh Melita ahi chih ka theita uhi.
2Wenyeji wa hapo walikuwa wema sana kwetu. Mvua ilikuwa inaanza kunyesha na kulikuwa na baridi, hivyo waliwasha moto, wakatukaribisha.
2Huan, melmakten hehpihtak ngelin honna hehpih ua; vuah a hongzuk jiak leh vot jiakin mei a toh ua, ka vek un a honna kipahpih uhi.
3Paulo aliokota mzigo mdogo wa kuni akawa anazitia motoni. Hapo, kwa sababu ya lile joto la moto, nyoka akatoka katika kuni akamnasa Paulo mkononi na kujishikilia hapo.
3Huan, Paulain sing lom khat a toma, mei ah a chiha, a sat jiakin gul a hongpawt khia a, a khut a tu a, a kipden a.
4Wenyeji wa pale walipokiona kile kiumbe kinaning'inia kwenye mkono wake waliambiana, "Bila shaka mtu huyu amekwisha ua mtu, na ingawa ameokoka kuangamia baharini, Haki haitamwacha aendelee kuishi!"
4Huan, melmakten ganhing a khuta kikhai den a muh un, hiai mi tualthat ahi ding, tuipi akipanin taikhe mahleh diktatnain a hin a phalta lou ahi, a chi ua.
5Lakini Paulo alikikung'utia kile kiumbe motoni na hakuumizwa hata kidogo.
5Himahleh, aman ganhing tuh mei ah a singkhia a, bangmah a chi kei hi.
6Wale watu walikuwa wakitazamia kwamba angevimba au hapohapo angeanguka chini na kufa. Baada ya kungojea kwa muda mrefu bila kuona kwamba Paulo amepatwa na jambo lolote lisilo la kawaida, walibadilisha fikira zao juu yake, wakasema kuwa ni mungu.
6Amau bel a bawk hiam, thakhata sia puk pah hiam dingin a gingta ua; huan, sawtpi a ngak nilouh ua, bangmah a chi kei chih a theih un a lungsim uh a kheng ua, Pathian ahi, a chi jaw uhi.
7Karibu na mahali pale palikuwa na mashamba ya Publio, mkuu wa kile kisiwa. Publio alitukaribisha kirafiki, tukawa wageni wake kwa siku tatu.
7Huan, huai min kiangah huai tuikulh a hausapa a min Publia a oma, huai miin a hon naompiha, nithum kipaktakin a hontungsak hi.
8Basi, ikawa kwamba baba yake Publio alikuwa amelala kitandani, mgonjwa, ana homa na kuhara. Paulo alikwenda kumwona na baada ya kusali, akaweka mikono yake juu ya mgonjwa, akamponya.
8Huan, Publia pa khosik leh santen veiin a nalum a; huan, Paula a kiangah a luta, a thuma, a tungah a khut a koiha, a hihdamta hi.
9Kutokana na tukio hilo, wagonjwa wote katika kile kisiwa walikuja wakaponywa.
9Huai a hih khitin huai tuikulh a mi dang natna nei peuhmah a hong ua; a dam chiatta uhi.
10Watu walitupatia zawadi mbalimbali na wakati tulipoanza tena safari, walitia ndani ya meli masurufu tuliyohitaji.
10Huai miten nakpi takin a honna pahtawi ua; huan, ka pai ding un ka vante uh long ah a koih uhi.
11Baada ya miezi mitatu tulianza tena safari yetu kwa meli moja ya Aleksandria iitwayo "Miungu Pacha". Meli hiyo ilikuwa imetia nanga kisiwani wakati wote wa baridi.
11Huan, kha thum nungin, Aleksandria kho long a min, Unau-Phik, a chih uh, phalbi tuikulh a omsa, huai long ah ka paita ua.
12Tulifika katika mji wa Sirakusa, tukakaa hapo kwa siku tatu.
12Huan, Sirakasi khua ka tawn ua, huaiah ni thum ka tam uh.
13Toka huko tuling'oa nanga, tukazunguka na kufika Regio. Baada ya siku moja, upepo ulianza kuvuma kutoka kusini, na baada ya siku mbili tulifika bandari ya Potioli.
13Huai akipanin ka pai kawi ua, Rejiam khua ka tung ua; huan, ni khat nungin sim huih a hongnunga, a jing nawnin Puteoli khua ka tung nawn uhi;
14Huko tuliwakuta ndugu kadhaa ambao walituomba tukae nao kwa juma moja. Hivi ndivyo tulivyopata kufika Roma.
14Huaiah unaute ka mu ua, a kiang uah ni sagih tam dingin a honkhou ua; huchibangin Rome kholam ah ka pai jelta uhi.
15Ndugu wa kule Roma walipopata habari zetu, wakaja kutulaki kwenye soko la Apio na Mikahawa Mitatu. Paulo alipowaona alimshukuru Mungu, akapata moyo.
15Huan, unauten, ka tanchin uh a jak tak un huai akipanin Appia Dawl leh Khualbuk thumte chiangah hongdawn dingin a hongkuan ua; Paulain huai mite a muhin Pathian kiangah kipahthu a gena, a muangta hi.
16Tulipofika Roma, Paulo aliruhusiwa kukaa peke yake pamoja na askari mmoja wa kumlinda.
16Huan, Rome khua a ka lut un Paula bel a vengpa sepaih kianga amah kia a om a phal ua.
17Baada ya siku tatu, Paulo aliwaita pamoja viongozi wa Kiyahudi wa mahali hapo. Walipokusanyika, Paulo aliwaambia, "Wananchi wenzangu, mimi, ingawa sikufanya chochote kibaya wala kupinga desturi za wazee wetu, nilitiwa nguvuni kule Yerusalemu na kutiwa mikononi mwa Waroma.
17Huan, ni thum nungin, Paulain Judate heutu deuh peuhmah a samkhawm a; huan, a kihoukhawm ua, a kiang uah. Unaute aw, mi tengteng leh i pipute dan tungah bangmah ka hih louhin leng Jerusalem khua akipanin Rome khua a mite kiangah a honhentasak uhi.
18Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yeyote, walitaka kuniacha.
18Huan, amau a honetchet khit un sihna khop hial ka tungah bangmah a om louh jiakin khah a hontum ua.
19Lakini Wayahudi wengine walipinga jambo hilo, nami nikalazimika kukata rufani kwa Kaisari, ingawa sikuwa na chochote cha kuwashtaki wananchi wenzangu.
19Himahleh, Judaten huai a sel jiak un Kaisar kiang tun lou thei ka hita keia; himahleh, ka chite hekna neia hih ka hi kei ahi.
20Ni kwa sababu hiyo nimeomba kuonana na kuongea nanyi, maana nimefungwa minyororo hii kwa sababu ya tumaini lile la Israeli."
20Huailam thua noumau honmu ding leh, honhoupih dingin ka honsam ahi; Israelte lamet ka kikoppih jiaka hiai khainiang bun ka hi ngala, a chi a.
21Wao wakamwambia, "Sisi hatujapokea barua yoyote kutoka Yudea, wala hakuna ndugu yeyote aliyefika hapa na kutoa habari rasmi au kusema chochote kibaya juu yako.
21Huan, amau, a kiangah, na tanchin Judia gama kipan lain ka mu tuankei uh, unaute kuamahin hiaia hongom na tungah, thubuai bangmah leng a pulak kei ua, gen leng a gen ngeikei uhi.
22Lakini tunafikiri inafaa tusikie kutoka kwako mwenyewe mambo yaliyo kichwani mwako. Kwa maana tujualo sisi kuhusu hicho kikundi ni kwamba kinapingwa kila mahali."
22Himahleh, hiai pawl jaw gam tengah gensiat ahi ngal ua, nang bangchin ahia na ngaih? theih ka ut uhi, a chi ua.
23Basi, walipanga naye siku kamili ya kukutana, na wengi wakafika huko alikokuwa anakaa. Tangu asubuhi mpaka jioni Paulo aliwaeleza na kuwafafanulia juu ya Ufalme wa Mungu akijaribu kuwafanya wakubali habari juu ya Yesu kwa kutumia Sheria ya Mose na maandiko ya manabii.
23Huan, ni achiam ua, huai a tuna ah a kiangah mi tampi a hong ua; jinga kipanin nitaklam phain a kiang uah huai thu a hilhchiana, Pathian gam thu a theisaka, Mosi dan laibu thu leh Jawlneite laibu thuin Jesu lamah amau a thuzoh jel hi.
24Baadhi yao walikubali maneno yake, lakini wengine hawakuamini.
24Huan, a khenin a thugen a gingta ua, a khenin a gingta kei uh.
25Basi, kukawa na mtengano wa fikira kati yao. Walipokuwa wanakwenda zao, Paulo alisema jambo hili, "Kweli ni sawa yale aliyoyanena Roho Mtakatifu kwa wazee wenu kwa njia ya nabii Isaya
25Huan, a kituakta kei ua, Pualain thu a gen khitin a paikhe ta uhi. A thugen tuh hiai ahi, Kha Siangthouin jawlnei Isai kama na pipute uh kianga a gen mah, a dik mahmah.
26akisema: Nenda kwa watu hawa ukawaambie: kusikia mtasikia, lakini hamtaelewa; kutazama mtatazama, lakini hamtaona.
26Hiai chite kiangah vagen in, Bilin jaw na za na ding ua, a ngaihna jaw na theikei hial ding ua; muh jaw na mu ding ua, theih jaw na theikei hial ding uh:
27Maana akili za watu hawa zimepumbaa, wameziba masikio yao, wamefumba macho yao. La sivyo, wangeona kwa macho yao, wangesikia kwa masikio yao. Wangeelewa kwa akili zao, na kunigeukia, asema Bwana, nami ningewaponya."
27Hiai chite lungtang a na takta a, a bilte uh a nangong deuha, a mit uh leng a si ua, huchilouinjaw a mit un a mu ding ua, a bil un a za ding ua, a lungtang un leng a thei ding uh, akiheikik ding ua, ken ka hihdam kha ding hi, a chi a, a chihpen.
28Halafu Paulo akamaliza na kusema, "Jueni basi, kwamba ujumbe wa Mungu juu ya wokovu umepelekwa kwa watu wa mataifa. Wao watasikiliza!"
28Huaijiakin Pathian hotdamna thu Jentelte kianga khakkhiak ahi chih thei un, amau jaw ngaih leng a ngaikhe ding uh, a chi a.
29Paulo alipokwisha sema hayo, Wayahudi walijiondokea huku wakiwa wanabishana vikali wao kwa wao.
29Huchia hiai thute a gen khit nungin, Judate tuh a pawtkheta ua, amau lakah nakpitaka kiselna a nei uhi.
30Kwa muda wa miaka miwili mizima Paulo aliishi katika nyumba aliyoipanga yeye mwenyewe; akawa anawakaribisha wote waliofika kumsalimu.
30Huan, Paula kum nih vengveng amah in khelhah oma, a kianga hoh peuhmah a nakipahpih a,Pathian gam thu a hilha, Toupa Jesu Kris thu leng hangsan takin a gen jela, kuamahin amah lah a kham kei uh.
31Alikuwa akihubiri Ufalme wa Mungu na kufundisha juu ya Bwana Yesu Kristo kwa uhodari, bila kizuizi.
31Pathian gam thu a hilha, Toupa Jesu Kris thu leng hangsan takin a gen jela, kuamahin amah lah a kham kei uh.