Swahili: New Testament

Paite

Ephesians

3

1Kutokana na hayo, mimi Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu kwa ajili yenu, namwomba Mungu.
1Huchi a hih jiakin, kei Paula, nou Jentelte jiaka Kris Jesu hentain,
2Bila shaka mmekwisha sikia kwamba Mungu, kwa neema yake, alinikabidhi kazi hii niifanye kwa faida yenu.
2Nou adinga Pathian hehpihna kepna na a honpiak lam na theita ngei ding ua;
3Mimi nilijulishwa kwa njia ya ufunuo mpango wake uliofichika. (Nimeandika kwa ufupi juu ya jambo hili,
3Huchia thuguk ka kianga theihsaka a omdan, tumaa tom chika ka gelh bangin.
4nanyi mkiyasoma maneno yangu mtaweza kujua jinsi ninavyoielewa siri hiyo ya Kristo.)
4Huaia na sim un Kris thuguk ka theihdan na theithei ding uhi.
5Zamani watu hawakujulishwa siri hiyo; lakini sasa Mungu amewajulisha mitume na manabii wake watakatifu kwa njia ya Roho.
5Huaituh tulaia a sawltak siangthoute leh a jawlnei siangthoute kiangah Kha theihsakin a omta bangin, tumalamin leng mihing tate kiangah theihsakin a om ngei kei hi;
6Siri yenyewe ni hii: kwa njia ya Habari Njema watu wa mataifa mengine wanapata sehemu yao pamoja na Wayahudi katika zile baraka za Mungu; wao ni viungo vya mwili uleule, na wanashiriki ahadi ileile aliyofanya Mungu kwa njia ya Kristo Yesu.
6Huaituh hiai ahi, Tanchin Hoih jiakin Kris Jesu ah, Jentelte gouluahpihte, pumpi hiangte, thuchiam tanpihte ahi uhi.
7Mimi nimefanywa kuwa mtumishi wa Habari Njema kwa neema ya pekee aliyonijalia Mungu kwa uwezo wake mkuu.
7A thilhihtheihna sepdan banga, a thawna piak Pathian hehpihna tuh a honpiak bang jelin huai tanchin hoih nasemtu dinga bawl ka hi.
8Mimi ni mdogo kuliko watu wote wa Mungu; lakini amenijalia neema yake, ili niwahubirie watu wa mataifa utajiri wake Kristo usiopimika,
8Kei, misiangthou tengtenga neupen sanga neujaw kiangah hiai hehpihna piak ahi: Kris hauhsakna suikhiak vuallouh Jentelte kiangah gen dingin;
9tena niwaangazie watu wote waone jinsi mpango wa Mungu uliofichika unavyotekelezwa. Mungu aliye Muumba wa vitu vyote alificha siri hiyo yake tangu milele,
9Huan, Pathian thil bangkim siampaa tangtawna sela naom, thuguk thilseh tuh bang ahia chih mi tengteng musak dingin;
10kusudi, sasa kwa njia ya kanisa, wakuu na wenye enzi wa mbinguni wapate kuitambua hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi.
10Huchia, Pathian pilna chiteng tuh vanmun khawnga lalnate leh thuneihnate kianga, saptuamte zanga, tu huna theihsak ahihna dingin;
11Mungu alifanya jambo hilo kufuatana na azimio lake la milele ambalo amelifanya kwa njia ya Kristo Bwana wetu.
11Hiai tuh tangtawn thiltup, Toupa Jesu Kris Jesua a tup leh sep dan ahi.
12Basi, katika kuungana na Kristo, na kwa njia ya imani katika Kristo, sisi tunathubutu kumkaribia Mungu kwa uhodari.
12Huai Kris Jesu i gin jiakin amahmahah maingalna leh hangtaka lut theihna i nei hi.
13Kwa hiyo, nawaombeni msife moyo kwa sababu ya mateso ninayopata kwa ajili yenu, maana hayo ni kwa ajili ya utukufu wenu.
13Huchiin, noute jiaka ka gimthuak jiakin lungkelou dingin ka honngen hi, huaite tuh na thupina uh ahi.
14Kwa sababu hiyo, nampigia magoti Baba,
14Huai jiakin Pa maah ka khukdin jela;
15aliye asili ya jamaa zote duniani na mbinguni.
15Lei leh vana inkuan chiteng min phuah khiakna pa,
16Namwomba Mungu, kadiri ya utajiri wa utukufu wake, awajalieni kwa uwezo wa Roho wake, nguvu ya kuwa imara ndani yenu,
16A thupina hauhdan bang jela, a Kha jiaka mihing sung lama thilhihtheihnaa hihhata a honom sak theihna dingin,
17naye Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani. Namwomba mpate kuwa na mzizi na msingi katika mapendo
17Huan, Kris ginna jiaka na lungtang ua a ten theihna dingin, nou itnaa zungkai leh kingakna neia omin,
18kusudi muweze kufahamu pamoja na watu wote wa Mungu jinsi upendo wa Kristo ueneavyo kwa mapana na marefu, kwa kimo na kina.
18Misiangthou tengteng toh a zatdan, a saudan, a sandan, leh a thukdan khawng theih chian theihna leh,
19Naam, mpate kujua upendo wa Kristo upitao elimu yote, mjazwe kabisa utimilifu wote wa Mungu.
19Kris itna theih phaklouh, Pathian tangchinna chitengteng banga hihdima na om theihna ding un.
20Kwake yeye ambaye kwa nguvu yake ifanyayo kazi ndani yetu, aweza kufanya mambo makuu zaidi ya yale tuwezayo kuomba au kufikiria;
20Huan, eimaha sem jel thilhihtheihna bangin, i nget leh i ngaihtuah tengteng sanga thupi zo tham hih theipa kiang ngeiah,Khantawnin suan tengteng tanin, saptuam te leh Kris Jesu ah thupina om hen. Amen.
21kwake Mungu uwe utukufu katika kanisa na katika Kristo Yesu, nyakati zote, milele na milele! Amina.
21Khantawnin suan tengteng tanin, saptuam te leh Kris Jesu ah thupina om hen. Amen.