Swahili: New Testament

Paite

Hebrews

10

1Sheria ya Wayahudi si picha kamili ya mambo yale halisi: ni kivuli tu cha mema yanayokuja. Dhabihu zilezile hutolewa daima, mwaka baada ya mwaka. Sheria yawezaje, basi, kwa njia ya dhabihu hizo, kuwafanya wale wanaoabudu wawe wakamilifu?
1Dan thuin thil hoih, hongom dingte a taktak lohkhiakna neilouin, a limkia aneih jiakin, kumtenga kithoihna ngeingei alat jelte un, a honnaih mite bangchik mahin a bukimsak thei ngei kei hi.
2Kama hao watu wanaomwabudu Mungu wangekuwa wametakaswa dhambi zao kweli, hawangejisikia tena kuwa na dhambi, na dhabihu hizo zote zingekoma.
2Huchi hita kei leh, lat tawp thamta lou ding uhia? Abemite khatvei a hihsiangthou pahngal hile uh, khelhna kitheihna lah nei nawnlou ding hi ua.
3Lakini dhabihu hizo hufanyika kila mwaka kuwakumbusha watu dhambi zao.
3Himahleh, huai kithoihna ah kum tengin khelhnate theihnawnna a hongom nak hi.
4Maana damu ya fahali na mbuzi haiwezi kamwe kuondoa dhambi.
4Bawngpate leh kelte sisanin khelhnate lamang thei vual ahingal keia.
5Ndiyo maana Kristo alipokuwa anakuja ulimwenguni, alimwambia Mungu: "Hukutaka dhabihu wala sadaka, lakini umenitayarishia mwili.
5Huchiin, khovela ahonglut laiin, Kithoihna leh thillat na deih keia, keia dingin pumpi non bawlsak jawa:
6Sadaka za kuteketezwa au za kuondoa dhambi hazikupendezi.
6Halmanga pumpiaknate leh, khelhna dinga kithoihnate khawngah kipahna himhim na neikei hi.
7Hapo nikasema: Niko hapa ee Mungu, tayari kufanya mapenzi yako kama ilivyoandikwa juu yangu katika kitabu cha Sheria."
7Huaitakin, ken, Pathian aw, ngaiin, Laibu jiala ka tungthu gelh ahih bangin, Na deihlam hih dingin ka hongpai, ka chia, achi a.
8Kwanza alisema: "Hutaki, wala hupendezwi na dhabihu na sadaka, sadaka za kuteketezwa na za kuondoa dhambi." Alisema hivyo ingawa sadaka hizi zote hutolewa kufuatana na Sheria.
8A tungah, Kithoihna te, thillatte, halmanga pumpiaknate, khelhna dinga kithoihnate na deih keia, huaiahte kipahna na nei sam kei, a chi a, (huaite tuh danthu banga lat ahi a),
9Kisha akasema: "Niko hapa, ee Mungu, tayari kufanya mapenzi yako." Hivyo Mungu alibatilisha dhabihu za zamani na mahali pake akaweka dhabihu nyingine moja.
9huaitakin, Ngaiin, na deihlam hih dingin ka hongpai, a na chita a, A nihna a tunding theihna dingin a masapen a lamangta ahi.
10Kwa kuwa Yesu Kristo alitimiza mapenzi ya Mungu, sisi tunatakaswa dhambi zetu kwa ile dhabihu ya mwili wake aliyotoa mara moja tu, ikatosha.
10Huai deihlamin, Jesu Kris pumpi khatvei thu a lat pah jiakin, hihsiangthouin I omta hi.
11Kila kuhani Myahudi humhudumia Mungu kila siku, akitoa dhabibu zilezile mara nyingi, dhabibu ambazo haziwezi kuondoa dhambi.
11Huan, siampu chitengin kawla nisuak sima na semin, khelhnate bangchik mah a hihmang theilou kithoihna ngeingei lan gige in, a ding uhi.
12Lakini Kristo alitoa dhabihu moja tu kwa ajili ya dhambi, dhabihu ifaayo milele, kisha akaketi upande wa kulia wa Mungu.
12Amah bel, khantawna dinga khelhnate adia kithoihna khat kia alat nungin, Pathian taklam ah a vatuta jaw hi,
13Huko anangoja mpaka adui zake watakapowekwa kama kibao chini ya miguu yake.
13huai nungsiah tuh, a melmate a khepek ngakna asiama hih masiah uh a ngak nilouh a.
14Basi, kwa dhabihu yake moja tu, amewafanya kuwa wakamilifu milele wale wanaotakaswa dhambi zao.
14Thillat khat kiain hihsiangthou sate khantawna dingin hihkim ta ngala.
15Naye Roho Mtakatifu anatupa ushahidi wake. Kwanza anasema:
15Huan, Kha Siangthouin leng a hoh theisak sam a:
16"Hili ndilo agano nitakalofanya nao, katika siku zijazo, asema Bwana: Nitaweka sheria zangu mioyoni mwao, na kuziandika akilini mwao."
16Huai ni khit chiangin a kiang ua thu ka khun ding tuh hiaite ahi, Toupan achi: a lungtang uah ka thupiakte ka koih dinga, a lungsim uah ka gelhna lai ding, chia a gen khitin,
17Kisha akaongeza kusema: "Sitakumbuka tena dhambi zao, wala vitendo vyao vya uhalifu."
17A khelhnate uh leh a tatleknate uh ka theigige ta kei ding, a chi ngala.
18Basi, dhambi zikisha ondolewa, hakutakuwa na haja tena ya kutoa dhabihu za kuondoa dhambi.
18Huchiin, huchibangte ngaihdamna omna peuh ah khelhna adingin thillat a om nawn kei ahi.
19Basi, ndugu, kwa damu ya Yesu tunapewa moyo thabiti wa kuingia Mahali Patakatifu.
19Huchiin, unaute aw, Jesu sisan jiaka Mun Siangthoua lutngamna neiin,
20Yeye ametufungulia njia mpya na yenye uzima kupitia lile pazia, yaani kwa njia ya mwili wake mwenyewe.
20Lam a honbawlsak, lam thak leh hing ah, puanjak (huai tuh a pumpi chihna ahi) kantan in,
21Basi, tunaye kuhani maarufu aliye na mamlaka juu ya nyumba ya Mungu.
21Pathian inkuante tunga Siampu thupi tak ineih jiakin,
22Kwa hiyo tumkaribie Mungu kwa moyo mnyofu na imani timilifu, kwa mioyo iliyotakaswa dhamiri mbaya, na kwa miili iliyosafishwa kwa maji safi.
22I lungtanga sia leh pha theihna sianglou thehsiansaka oma, I pumpi leng tuichima sila omin, ginna a theih chetna kimneiin lungtang tak mah puin I naih ding uhi.
23Tushikilie imara tumaini lile tunalokiri, maana Mungu aliyefanya ahadi zake ni mwaminifu.
23I lamet thugin, ling-lou in I pomkip ding uh, thuchiampa lah a muanhuai ngala;
24Tujitahidi kushughulikiana kwa ajili ya kuongezeana bidii ya kupendana na kutenda mema.
24huan, itna leh thil hoih hiha kitokthou dingin ikingaih tuah tek ding uhi;
25Tusiache ile desturi ya kukutana pamoja, kama vile wengine wanavyofanya. Bali tunapaswa kusaidiana kwani, kama mwonavyo, Siku ile ya Bwana inakaribia.
25khenkhat hih dan banga I kikhopnate uh tawpsan louin, kihasuan tuah jaw ni; nituh hongnai hulhula na thei un kihasuan tuah semsem un.
26Maana, tukiendelea kutenda dhambi makusudi baada ya kufahamu ukweli, hakuna dhabihu iwezayo kutolewa tena kwa ajili ya kuondoa dhambi.
26Thutak theihna kim itan nunga thil I hihkhelh teitei ngal injaw, khelhnate adia kithoihna a om tak het louh jiakin,
27Linalobaki ni kungojea tu kwa hofu hukumu ya Mungu na moto mkali utakaowaangamiza wote wanaompinga.
27vaihawmna lauhuai mulkimhuai tak bang hiam leh, doumite kangmang ding thangpaihna mei maban neiin I om zota ding hi.
28Mtu yeyote asiyeitii Sheria ya Mose, huuawa bila ya huruma kukiwa na ushahidi wa watu wawili au watatu.
28Mosi dan thu khawksa lou mi tuh theihpih mi nihtou thumtou hiam thum lainat omlouin asi jel uhi.
29Je, mtu yule anayempuuza Mwana wa Mungu na kuidharau damu ya agano la Mungu iliyomtakasa, mtu anayemtukana Roho wa Mungu, anastahili kupata adhabu kali ya namna gani?
29Pathian Tapa sikdena, thukhun sisan amah hihsiangthouna pen thil namaia bawla, hehpihna Kha hihvui mi tuh, huaimi sanga bangchi pheta gawtna thupijaw ahia, thuak taka naseh uh?
30Maana tunamfahamu yule aliyesema, "Mimi nitalipiza kisasi, mimi nitalipiza," na ambaye alisema pia, "Bwana atawahukumu watu wake."
30Phulakna himhim keimah lak ding ahi, keimahin ka thuk ding, chih leh, Toupan a mite a vaihawmsak ding, chi nawnpa lah I thei ngal ua.
31Kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai ni jambo la kutisha mno!
31Pathian hing khuta puk tuh thil mulkimhuai taka hi.
32Kumbukeni yaliyotokea siku zile za kwanza mlipoangaziwa mwanga wa Mungu. Ingawa siku zile mlipatwa na mateso mengi, ninyi mlistahimili.
32Himahleh, tuma lama hihvaka na om nung ua thuakna buaina thupi tak na thuak lai nite uh thei nawn un;
33Mara nyingine mlitukanwa na kufedheheshwa hadharani; mara nyingine mlikuwa radhi kuungana na wale walioteswa namna hiyohiyo.
33Kong khatah jaw muhsit leh haksatna bang leng thuakin etnopa bawlin na om ua, kong khat ah jaw huchibanga bawla omte tuh thuakpihte na honghi uhi
34Mlishiriki mateso ya wafungwa, na mliponyang'anywa mali yenu mlistahimili kwa furaha, maana mlijua kwamba mnayo mali bora zaidi na ya kudumu milele.
34Kolbunte tuh na lainat ua, gou hoihjaw, omden ding hi behlap, noumauin na neih uh kitheiin na van honlaksakte uh leng kipak takin na nathuakzouta behlap uhi.
35Basi, msipoteze uhodari wenu, maana utawapatieni tuzo kubwa.
35Huchiin, na ginna uh, kipahman piak thupi tak nei ding ngei, paimang kei un.
36Mnahitaji kuwa na uvumilivu, ili mweze kufanya anayotaka Mungu na kupokea kile alichoahidi.
36Pathian deihlam na hih nungun thilchiam tuh na muh theihna ding un kuhkalna na kiphamoh uhi.
37Maana kama yasemavyo Maandiko: "Bado kidogo tu, na yule anayekuja, atakuja, wala hatakawia.
37Sawtlou nung chiangin hongpai dingpa hongpai ding ahi, sawt a halta kei ding.
38Lakini mtu wangu aliye mwadilifu ataamini na kuishi; walakini akirudi nyuma, mimi sitapendezwa naye."
38Himahleh, ka mi diktat tuh ginnain a hing ding; a nungtolh le bel, ka khain amah ah kipahna himhim a neikei ding, chih.Himahleh, ei jaw mangthang dinga nungtolh pawla pang I hi kei ua; hinna humbit dinga ginna nei pawla pang I hi jaw uhi.
39Basi, sisi hatumo miongoni mwa wale wanaorudi nyuma na kupotea, ila sisi tunaamini na tunaokolewa.
39Himahleh, ei jaw mangthang dinga nungtolh pawla pang I hi kei ua; hinna humbit dinga ginna nei pawla pang I hi jaw uhi.