1Mungu alituahidia kwamba tutaweza kupata pumziko hilo alilosema. Basi, na tuogope ili yeyote kati yenu asije akashindwa kupata pumziko hilo.
1Huaijiakin I lau ding uh, huchilouin jaw a khawlna a lutna thuchiam om lai napiin, na lak ua kuapeuh leng chinglou bangin na om kha zenzen ding uhi.
2Maana Habari Njema imehubiriwa kwetu kama vile ilivyohubiriwa kwa hao watu wa kale. Lakini ujumbe huo haukuwafaa chochote, maana waliusikia lakini hawakuupokea kwa imani.
2Amau kianga gena hih mahbangin tanchin hoih I kianga gen ahi ngei ngal a; himahleh, a thu jak un amaute a suphatuam ngal keia, azatea ginna toh kizoma a om louh jiakin.
3Basi, sisi tunaoamini tunapata pumziko hilo aliloahidi Mungu. Kama alivyosema: "Nilikasirika, nikaapa: Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko." Mungu alisema hayo ingawa kazi yake ilikuwa imekwisha malizika tangu alipoumba ulimwengu.
3Ei gingta khinte tuh huai khawlna ah I lut lellel ahi, Ka thangpaiha ka kichiam bangin ka khawlna ah a lut kei ding uh, chih bangin; leilung pian tung akipan nate tuh sep zoh a hikhinta na a.
4Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: "Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi zake zote."
4Koilaimun ahi hiam ah ni sagih ni thu hichibangin agenve: Huan, ni sagih niin Pathianin anasep tengteng a khawlsanta a, chiin.
5Tena jambo hili lasemwa pia: "Hawataingia huko ambako ningewapa pumziko."
5Huan, hiai munah, Ka khawlna ah a lut kei ding uh, a chi nawn a.
6Wale waliotangulia kuhubiriwa Habari Njema hawakupata pumziko hilo kwa sababu hawakuamini. Wapo, basi, wengine ambao wangejaliwa kulipata.
6Huchiin, khenkhat tuh huai khawlna a a lutna ding ua thuchiam a om lai jiak leh, ni danga tanchin hoih gen tangte thumanlouh jiaka a lut tak louh jiak un,
7Jambo hili ni wazi, kwani Mungu aliweka siku nyingine ambayo inaitwa "Leo". Miaka mingi baadaye Mungu alisema juu ya hiyo siku kwa maneno ya Daudi katika Maandiko yaliyokwisha tajwa: "Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu."
7sawttak nungin David ah, Tuniin, chiin, bang ni hiam a sep tuan nawna, Tuniin a aw na jak chiangun na lungtang uh khauhsak kei un, chia a maa kigensa bangin.
8Kama Yoshua angaliwapa watu hao hilo pumziko, Mungu hangalisema baadaye juu ya siku nyingine.
8Joshuain amaute na khawlsak ta hileh jaw, huai nungin ni dang tuam thu A gen kei ding hi.
9Kwa hiyo, basi, bado lipo pumziko kwa watu wa Mungu kama kule kupumzika kwake Mungu siku ya saba.
9Huchiin, Pathian mite a dingin khawlni a khawlna a om lai ahi.
10Maana, kila anayepata pumziko aliloahidi Mungu atapumzika baada ya kazi yake kama vile pia Mungu alivyopumzika baada ya yake.
10Pathianin amah nasepte a khawlsan bangin, A khawlna a lut khinsa miin leng anasepte a khawlsan samta ahi.
11Basi, tujitahidi kupata pumziko hilo, ili asiwepo yeyote miongoni mwenu atakayeshindwa, kama walivyofanya wao kwa sababu ya ukosefu wao wa imani.
11Huchiin, kuamah huai thumanlouhna bang a om a ipuk louhna ding un huai khawlna a lut ding in phatuam ingai ding uhi.
12Neno la Mungu ni hai na lina nguvu; ni kali zaidi kuliko upanga wenye makali kuwili. Hukata kabisa mpaka mahali ambapo moyo na roho hukutana, mpaka pale vikutanapo viungo vya mwili na mafuta. Neno hilo huchambua nia na fikira za mioyo ya watu.
12Pathian thu ahing a, thil ahihthei a, namsau hiamtuah bang chibang sangin leng ahiam a, hinna leh kha, guhlawi leh guhngek tuamkhen hial hel khopin a sun thei a, lungtang a ngaihuah leh tup te a theipah ngal thei ahi.
13Hakuna kiumbe chochote kilichofichika mbele ya Mungu; kila kitu kimefunuliwa wazi mbele ya macho yake. Kwake, sisi sote tutapaswa kutoa hoja ya matendo yetu.
13Huaziakin, thil siam amah mitmuh a langlou himhim a omkei; Itan chin itutna ding mitmuh a zaw bangkim vuaktangleh kihongsa in a om zaw hi.
14Basi, tunapaswa kuzingatia kwa uthabiti imani tunayoiungama. Maana tunaye Kuhani Mkuu aliyeingia mpaka kwa Mungu mwenyewe--Yesu, Mwana wa Mungu.
14Hichiin, van khawng bang a paisuak khinsa Siampu Lianpen thupitak, Jesu Pathian Tapa, ineih ziakin I gin tuh, I pomkip ding uhi.
15Huyu Kuhani Mkuu wetu si mmoja ambaye hawezi kutuunga mkono katika unyonge wetu, ila ni Kuhani Mkuu ambaye alijaribiwa kama sisi kwa kila namna lakini hakutenda dhambi.
15Siampu Lianpen ihatlouhdan kitheihna te hon theihpih phalou nei ihi ngal kei a; eimah bang a lam tuamtuam a khemna tuaksa, khelh bel khiallou, nei ihi zaw uhi.Huchiin, zahngaihna imuh theihna ding leh huh ideih chiang a huhna hehpihna imuh theihna ding in, hehpihna mangtutphah tuh hangtakin inaih ding uhi.
16Basi, na tukikaribie bila hofu kiti cha enzi cha Mungu, palipo na neema, ili tukajipatie huruma na neema ya kutusaidia wakati wa lazima.
16Huchiin, zahngaihna imuh theihna ding leh huh ideih chiang a huhna hehpihna imuh theihna ding in, hehpihna mangtutphah tuh hangtakin inaih ding uhi.