Swahili: New Testament

Paite

John

7

1Baada ya hayo, Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya. Hakutaka kutembea mkoani Yudea kwa sababu viongozi wa Wayahudi walikuwa wanataka kumwua.
1Huai khitin Jesu Galili gamah a vak a; Judaten amah hihlup a tup jiakun Judia gam a pha nuam kei hi.
2Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.
2Huan, Judate Biakbukte Ankuangluina a naita a. Huchiin, a unauten a kiangah,
3Basi ndugu zake wakamwambia, "Ondoka hapa uende Yudea ili wanafunzi wako wazione kazi unazozifanya.
3Hiai akipanin Judia gamah vahoh in, na nungjuiten na thil hih a muh theihna ding un.
4Mtu hafanyi mambo kwa siri kama anataka kujulikana kwa watu. Maadam unafanya mambo haya, basi, jidhihirishe kwa ulimwengu."
4Kuamahin agukin thil bangmah a hih kei uh, amah min than ut ngalin. Hiai thilte khawng na hih tak ngal leh khovel kiangah kimusak in, a chi ua.
5(Hata ndugu zake hawakumwamini!)
5A unauten nangawnin leng amah a gingta ngal kei ua.
6Basi, Yesu akawaambia, "Wakati wangu ufaao haujafika bado. Lakini kwenu ninyi kila wakati unafaa.
6Huan, Jesun a kianguah, Ka hun a tung nai kei; nou hun jaw chikpeuhin a tung gige ahi.
7Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini mimi wanichukia kwa sababu mimi nauambia wazi kwamba matendo yake ni maovu.
7Khovelin nou hon ho theikei hi, kei jaw honho nak uhi, a thilhihte uh a gilou chih ka hilh chet nak jiakin.
8Ninyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika."
8Nou ankuangluina ah vahohtou unla, kei jaw tu ankuangluina ah ka hohtou tadih kei ding, ka hun a tun nai louh jiakin, a chi a.
9Alisema hayo kisha akabaki huko Galilaya.
9Huan, huai tuh a kianguah a gen a. Galili gamah a om nilouh a.
10Baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, Yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri.
10Himahleh, a unaute ankuangluinaa a hoh touh nung un, amah leng vantang theih louhin, a guk bangin a hoh tou sam a.
11Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; Wakauliza: "Yuko wapi?"
11Huan, Judaten ankuangluina ah amah a zong ua, Kaw om ahia? a chi ua.
12Kulikuwa na minong'ono mingi katika umati wa watu. Baadhi yao walisema, "Ni mtu mwema." Wengine walisema, "La! Anawapotosha watu."
12Huan, a tungah mipte laka mi a phunsim supsup ua, a khenin, Mi hoih ahi, a chi ua; khenkhatin, Hi dek kei e, mipi a pimang ahi, a chi ua.
13Hata hivyo hakuna mtu aliyethubutu kusema, habari zake hadharani kwa kuwaogopa viongozi wa Wayahudi.
13Himahleh, Judate a kihtak jiakun kuamahin a tungtang thu a gen lang kei uh.
14Sikukuu hiyo ilipofikia katikati, Yesu naye alikwenda Hekaluni, akaanza kufundisha.
14Huan, ankuanglui san lai takin, Jesu Pathian biakin ah a hoh tou a, thu a hilha.
15Basi, Wayahudi wakashangaa na kusema "Mtu huyu amepataje elimu naye hakusoma shuleni?"
15Huan, Judaten, Hiai min zil ngeilou pia bang achia lai siam ahia? a chi ua, lamdang a sa mahmah uh.
16Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.
16Huan, Jesun amau a dawng a, Ka thu hilh jaw keia ahi kei, honsawlpaa ahi jaw;
17Mtu anayependa kufanya yale anayotaka Mungu, atajua kama mafundisho yangu yametoka kwa Mungu, au mimi najisemea tu mwenyewe.
17kuapeuh amah deihlam hihutin, thu hilh tuh Pathian akipan hia, keimah phuahtawma ka gen, a thei ding.
18Yeye anayejisemea tu mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe; lakini anayetafuta sifa ya yule aliyemtuma, huyo ni mwaminifu, na ndani yake hamna uovu wowote.
18Kuapeuh amah phuahtawm thu gen jaw, amah hoihna zong ahi; a sawlpa hoihna zong tuh, huai mi tuh mi tak ngial ahi, amah ah dik louhna himhim a om kei hi.
19Je, Mose hakuwapeni Sheria? Hata hivyo, hakuna hata mmoja wenu anayeishika Sheria. Kwa nini mnataka kuniua?"
19Mosiin dan na kiang uah honpe ka hia? Himahleh, na lak uah kuamahin Dan na jui kei uh. Nou bang achia honhihlup tum? a chi a.
20Hapo watu wakamjibu, "Una wazimu wewe! Nani anataka kukuua?"
20Huan, mipin, Dawi jawl neive; kuan ahia honhihlup tum? a chi ua, a dawng ua.
21Yesu akawajibu, "Kuna jambo moja nililofanya, nanyi mnalistaajabia.
21Huan, Jesun a dawng, a kiang uah. Thil khat ka hih nou tengtengin lamdang na sa uh.
22Mose aliwapeni ile desturi ya kutahiri. (Si kwamba desturi hiyo ilitoka kwa Mose, bali ilitoka kwa mababu). Sasa ninyi humtahiri mtu hata siku ya Sabato.
22Hiai jiakin ahi, Mosiin zeksum thu nou a honpiaka. (Mosi akipan ahi ngal keia, pipute akipan ahi zo ngala), Khawlnin leng mi zek na sum jel uhi.
23Ikiwa basi, mtu hutahiriwa hata siku ya Sabato kusudi Sheria ya Mose isivunjwe, mbona mnanikasirikia kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya Sabato?
23Mosi Dana tatlek louhna dinga Khawlnia leng pasalin a zek a sum sak ngal a leh, ken Khawlnia mi ka hihdam vek jiakin ka tungah na heh tuam umaw?
24Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki."
24A lat bangin ngaihtuah kei unla, diktat takin ngaihtuah jaw un, a chi a.
25Baadhi ya watu wa Yerusalemu walisema, "Je, yule mtu wanayemtafuta wamuue si huyu?
25Huan, Jerusalem khuaa mi khen khatin, Hiai mi hihlup a tuppa uh hi lou hia?
26Tazameni sasa! Anawaonya hadharani, wala hakuna mtu anayemwambia hata neno. Je, yawezekana kuwa viongozi wametambua kweli kwamba huyu ndiye Kristo?
26En dih uh, hiaiah a langtangin thu a gen a, a kiangah lah bangmah a gen kei ua. Amah Kris ahi chih vaihawmten a thei taktakta ua eita maw?
27Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!"
27Hiai mi a hongkipatna lam nangawnin I thei ngala. Kris bel a hongtun hun chiah a hongkipatna lam kuamahin a theikei ding uhi, a chi ua.
28Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye aliyenituma mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui.
28Huaijiakin Jesun Pathian biakina thu a hilh kawmin a kikou a, Nou non thei ua, ka hongkipatna lam leng na thei uh. Himahleh keimah thu a hongpai ka hi kei, amah kei honsawlpa tuh midik ahi, amah lah na thei ngal kei ua.
29Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma."
29Ken tuh amah ka thei hi; amaha kipana hongpawt ka hia, aman lah honsawl ahi ngala, a chi a.
30Basi, watu wakataka kumtia nguvuni, lakini hakuna mtu aliyethubutu kumkamata kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
30Huchiin, amah tuh mat a tumta ua, himahleh a hun a tun nai louh jiakin kuamahin a khoih kei uhi.
31Wengi katika ule umati wa watu walimwamini, wakasema, "Je, Kristo akija atafanya ishara kubwa zaidi kuliko alizozifanya huyu?"
31Mipi a khen tampiten bel amah a gingta ua, Kris a hongtun hun chiangin, hiai mi hih sanga tam jaw thillamdang a honhih dia hia? a chi uh.
32Mafarisayo waliwasikia watu wakinong'ona maneno hayo juu ya Yesu. Basi, wao pamoja na makuhani wakuu wakawatuma walinzi wamtie nguvuni.
32Huan, Pharisaiten a tunga mipi phunna thute a ja ua; huchiin, siampu liante leh Pharisaiten amah man dingin heutute a sawlta uh.
33Yesu akasema, "Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule aliyenituma.
33Huan, Jesun, Sawt lou kal na kiang uah ka om phot dia, honsawlpa kiangah ka pai ding;
34Mtanitafuta lakini hamtaniona, maana pale nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika."
34nou non zong ding ua, non mu kei ding uh; ka ommna ah leng na hong theikei ding uh, a chi a.
35Viongozi wa Wayahudi wakasema wao kwa wao, "Mtu huyu atakwenda wapi ambapo hatutaweza kumpata? Atakwenda kwa Wayahudi waliotawanyika kati ya Wagiriki, na kuwafundisha Wagiriki?
35Huan, Judate a kihou ua, I muh louh dingin hiai mi kaw hoh dek a ding? Grikte laka Pemdalhte kianga hohin Grikte thu vahilh ding a diam aw?
36Ana maana gani anaposema: Mtanitafuta lakini hamtanipata, na mahali nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika?"
36Nou non zong ding ua, non mu kei ding uh, ka omna ah leng na hong theikei ding uh, a chih, bang a chihna a de aw? a chi ua.
37Siku ya mwisho ya sikukuu hiyo ilikuwa siku maalum. Yesu alisimama, akasema kwa sauti kubwa, "Aliye na kiu na aje kwangu anywe.
37Huan, ankuanglui ni nanungpen, ni thupiniin, Jesu a dinga, a kikou a, Kuapeuh a dangtak leh ka kiangah hong henla, dawn hen.
38Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: Anayeniamini mimi, mito ya maji yenye uzima itatiririka kutoka moyoni mwake!"
38Kuapeuh kei hon gingta tuh laisiangthou genbangin tui hing luite a sungah a hongluang khe ding, a chi a.
39(Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado.)
39Hiai thu tuh a gingtaten Kha a tan ding thu uh a genna ahi; Khalah piak ahi nai tadih keia, Jesu lah pahtawia a om nai louh jiakin.
40Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, "Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!"
40Huchiin, mipi laka khenkhatin huai thu a jak un, Hiai jaw jawlnei hi petmah e, a chi ua.
41Wengine wakasema, "Huyu ndiye Kristo!" Lakini wengine walisema, "Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya?
41Khenkhatin, Hiai jaw Kris ahi, a chi ua. Khenkhatin bel, Bangdin Kris Galili gamah a hongpawt tel dia?
42Maandiko Matakatifu yasemaje? Yanasema: Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi, na atazaliwa Bethlehemu, mji wa Daudi!"
42Kris jaw David suante lakah, David omna khua Bethlehem ah a pawt ding ahi chih laisiangthouin a gen ka hia? a chi ua.
43Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.
43Huchiin amah jiakin mipi a kikhen ua, a kilangta uh.
44Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
44Khenkhatin mat a ut ua, himahleh kuamahin a khoih tuankei uhi.
45Kisha wale walinzi wakarudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo; nao wakawauliza, "Kwa nini hamkumleta?"
45Huan, heutute, siampu liante leh Pharisaite kiangah a hongpai nawn ua; huan, amau a kiang uah,
46Walinzi wakawajibu, "Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!"
46Bang achia honpi lou? a chi ua. Heututen, Huai mi bang himhimin kuamahin thu a gen ngei kei hi, a chi ua, a dawng uhi.
47Mafarisayo wakawauliza, "Je, nanyi pia mmedanganyika?
47Huan, Pharisaiten a kiang uah, Nou leng pimangin na om samta ua hia?
48Je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?
48Vaihawmte leh Pharisaite laka mi himhim amah gingta a omta ahia?
49Lakini umati huu haujui Sheria ya Mose; umelaaniwa!"
49Huai dan theilou mipite soplai, hamse thuak eive ua, a chi ua, a dawng uhi.
50Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,
50Nikodem, tumaa Jesu kianga hong, a lak ua pangsam ahi a, aman tuh a kiang uah,
51"Je, Sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?"
51Amah kam ngei a thu jak leh a thilhih theih main i dan un mi siamlouh a tangsak ngei ahia? a chi a.
52Nao wakamjibu, "Je, wewe pia umetoka Galilaya? Haya, kayachunguze Maandiko Matakatifu nawe utaona kwamba Galilaya hakutoki kamwe nabii!"
52Amau tuh a kiangah, Nang leng huai Galili mi na hi sam maw? Zong lechin, Galili gamah jawlnei kuamah pawt ding a om kei uh chih thei tanla, a chi ua, a dawng ua.Huan, mi chih amau in chiat ah a paita uh.
53Basi, wote wakaondoka, kila mtu akaenda zake;
53Huan, mi chih amau in chiat ah a paita uh.